Umasikini mbaya nyie bora kusikia tu. Watoto wangu nimewarejesha tena English Medium

Eti waliokutosa umewasamehe..!! Kwa uliyopanga kuwafanyia hao waliokutosa, HUJAWASAMEHE..!! HUWEZI MSAMEHE MTU HUKU UNASEMA I will never do this or that to you again..!!
 
Kama umeamua kuwasomesha watoto English medium basi pambana mpaka mwisho wa uwezo wako.

Kuwarudisha kayumba ni kuwaharibu kisaikolojia
 
Eti waliokutosa umewasamehe..!! Kwa uliyopanga kuwafanyia hao waliokutosa, HUJAWASAMEHE..!! HUWEZI MSAMEHE MTU HUKU UNASEMA I will never do this or that to you again..!!
Yes nimewasamehe kwa maana ya kwamba sinto watafuta kulipa kisasi au kuwadhuru kwa sababu wengine nilikuwa nawadai hela wakanidhulumu hawakunilipa hata kidogo plus maneno ya uzushi mtaani na kunisengenya.

Sintofanya hivyo but i will never deal with them again.

Mimi sio Yesu mkuu
 
We jamaaa duhhh
 
kumbe na wewe ni wale wale malofa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…