Bongotunacheza
JF-Expert Member
- Dec 7, 2018
- 983
- 2,306
- Thread starter
- #41
Umasikini mbaya sana kakaNdio maana sikutaka kukoment chochote, minilikua nakuangalia tu...🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umasikini mbaya sana kakaNdio maana sikutaka kukoment chochote, minilikua nakuangalia tu...🤣🤣
Amen kubwa,, Tubarikiwe sawa sawa na mapenzi yake Mola.NINAUKATAA NA KUULAANI UMASIKINI KWA NGUVU ZANGU ZOTE ROHO YANGU YOTE NA AKILI ZANGU ZOTE.
Jigga, yule ni mnomaa" Being broke is childish"
" Being broke is childish and am quite grown up" Jay Z
Sure sure" Being broke is childish"
" Being broke is childish and am quite grown up" Jay Z
Watu tunaochezwa na machale tumejipanga kukushtukia kuwa wewe ni Baba Keagan Bashite....Miezi kadhaa iliyo pita nilianzisha Uzi hapa jukwaani nikielezea "FAIDA"nilizo zipata baada ya kuwahamisha watoto wangu kutoka English Mediums na kuwapeleka kayumba.
U know what? Ilikuwa ni umasikini mkuu. Umasikini mbaya sana. The evil spirit of poverty is very evil. Ndio maana huko Shinyanga wakikujua wewe mchawi unawatia watu vifungo vya umasikini unakula mapanga tu kama ilivyo amriwa kwenye kitabu cha KUTOKA 18:22 ( KUTOKA 22:18?)
Namshukuru Mungu sasa nyota yangu ya hela imerudi tena. Biashara zimesimama. Ile ishu niliyo kuwa naisikilizia imesha tiki. Watoto wangu nimewarejesha tena shule za English Mediums na maisha mengine yanaendelea.
NINAUKATAA NA KUULAANI UMASIKINI KWA NGUVU ZANGU ZOTE ROHO YANGU YOTE NA AKILI ZANGU ZOTE.
Watu wote walio nitosa wakati napitia kipindi kigumu hasa hasa wale ambao niliwahi kuwasaidia nimewasamehe wote but I will never hang up with you again . I will never help you about anything. You will never get even a penny from me. I eill never pick up your phone. I will never call you I will never reply to ur message. ( I am.saying I will.never pick up ur phones as if namba yangu mpya mnaijua/mtaijua) I will give anyone of you a lift in any of my cars. Ntaonana na nyinyi labda kwenye misiba too and even though still I will.never talk to you again cause I don't know anything that me and you can talk about )
Na kwale ambao mlisimama na Mimi katika kipindi hicho cha mpito mbarikiwe sana. Nitasimama na nyinyi kwa kila.hali na.mali.
Kama.mapito niliyo kuwa nayapitia yanatokana na kurogwa au kuibiwa nyota basi NINAWALAANI wahusika wote wao na vizazi vyao vyote.
And as for you the evil spirit of poverty. I curse you to the depth of the abyss
Shida mbinu kaka tupeane connection na mbinu hizohuwez kuukataa umaskini ikiwa huna mbinu za kuuondoa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umasikini unanuka kuliko mzoga wa mbwa-Sirjeff Denis (Ontario) mzee wa kudownload hela.
Mkuu wewe ni me au ke, pia je wewe ni Mtanzania au raia wa wapi?Kwel Bongo Tunacheza
Kuna kipindi nilichakaa kiasi kwamba watoto wangu utumbo uligeuka kuwa wa kijani,yaana mboga za majani ndizo zilikuwa chaguo la kwanza na la lazima. Ilinibidi tukiwa mezani tunakula nikawa ninaimba (napenda mchichaaa ni mtamu sana) vijana wanajaza tumbo muda huohuo nafikiria namna ya kuupata mlo wa pili ama wa kesho.Miezi kadhaa iliyo pita nilianzisha Uzi hapa jukwaani nikielezea "FAIDA"nilizo zipata baada ya kuwahamisha watoto wangu kutoka English Mediums na kuwapeleka kayumba.
U know what? Ilikuwa ni umasikini mkuu. Umasikini mbaya sana. The evil spirit of poverty is very evil. Ndio maana huko Shinyanga wakikujua wewe mchawi unawatia watu vifungo vya umasikini unakula mapanga tu kama ilivyo amriwa kwenye kitabu cha KUTOKA 18:22 ( KUTOKA 22:18?)
Namshukuru Mungu sasa nyota yangu ya hela imerudi tena. Biashara zimesimama. Ile ishu niliyo kuwa naisikilizia imesha tiki. Watoto wangu nimewarejesha tena shule za English Mediums na maisha mengine yanaendelea.
NINAUKATAA NA KUULAANI UMASIKINI KWA NGUVU ZANGU ZOTE ROHO YANGU YOTE NA AKILI ZANGU ZOTE.
Watu wote walio nitosa wakati napitia kipindi kigumu hasa hasa wale ambao niliwahi kuwasaidia nimewasamehe wote but I will never hang up with you again . I will never help you about anything. You will never get even a penny from me. I eill never pick up your phone. I will never call you I will never reply to ur message. ( I am.saying I will.never pick up ur phones as if namba yangu mpya mnaijua/mtaijua) I will give anyone of you a lift in any of my cars. Ntaonana na nyinyi labda kwenye misiba too and even though still I will.never talk to you again cause I don't know anything that me and you can talk about )
Na kwale ambao mlisimama na Mimi katika kipindi hicho cha mpito mbarikiwe sana. Nitasimama na nyinyi kwa kila.hali na.mali.
Kama.mapito niliyo kuwa nayapitia yanatokana na kurogwa au kuibiwa nyota basi NINAWALAANI wahusika wote wao na vizazi vyao vyote.
And as for you the evil spirit of poverty. I curse you to the depth of the abyss
😈 umeanza kujinadi umepeleka watoto Eng Med.We will come back soonThe evil spirit of poverty is very evil.