Umasikini mbaya nyie bora kusikia tu. Watoto wangu nimewarejesha tena English Medium

Huna jipya umesoma uzi wako ukajifunza ww ni mjinga sasa umeanzisha uzi mpya wa kujifariji wakati watoto wapo kayumba bado. Skia maisha haya ulipangiwa kuwa maskini na utaendelea hivyo hivyo hakuna mwenye hela akawa na mawazo kama yako. Unajieleza sana maskini tulia
 
Umefanya la maana sana ila Kwa ushauri wangu siku hizi English medium zipo nyingi so wapeleke watoto shule za jirani Ili kupunguza gharama zisizo za lazima kama usafiri
Mawazo yale yale ya kimaskini unapungiza gharama za nini yaani kulipia SB 200k napo ni gharama
 
Nimecheka sana jf humu kuna vituko.
 
Mkuu huna

Mkuu Huna haja ya kuwalaani, WABARIKI WOTE TU. Maana sisi sote ni wamoja. WE ALL ARE ONE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…