Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Mkuu kuna wanawake kwao ndoa ina umuhimu kuliko utajiri ujue, yeye akipata ndoa anakua kafanikiwa kuliko kua tajiri. Ni ajabu ila wapo hawa viumbe wao wanaomba ndoa kuliko utajiri.Mwenyewe nachekaga sana maana kwa dunia hii ilipofikia mtu huna hela utasema umefanikiwa nini?ππ...ila sema nini, nimegundua pia maisha haya saizi hayahitaji userious, ujuaji wala kukariri. We have to dance kuendana na tune na kudeal na fursa zilizopo upande wako, ukisema ufuatishe watu unapotea maana kila mtu ana njia zake alizopita hadi akafanikiwa na sio zote anaweza akazisimulia watu mjueππ
Mkuu kuna wanawake kwao ndoa ina umuhimu kuliko utajiri ujue, yeye akipata ndoa anakua kafanikiwa kuliko kua tajiri. Ni ajabu ila wapo hawa viumbe wao wanaomba ndoa kuliko utajiri.Mwenyewe nachekaga sana maana kwa dunia hii ilipofikia mtu huna hela utasema umefanikiwa nini?ππ...ila sema nini, nimegundua pia maisha haya saizi hayahitaji userious, ujuaji wala kukariri. We have to dance kuendana na tune na kudeal na fursa zilizopo upande wako, ukisema ufuatishe watu unapotea maana kila mtu ana njia zake alizopita hadi akafanikiwa na sio zote anaweza akazisimulia watu mjueππ
Aisee πππ€Mkuu kuna wanawake kwao ndoa ina umuhimu kuliko utajiri ujue, yeye akipata ndoa anakua kafanikiwa kuliko kua tajiri. Ni ajabu ila wapo hawa viumbe wao wanaomba ndoa kuliko utajiri.
Hio chanjo walizuiwa kuitumiaUmemsikiliza Rais wa South Africa kwenye G20 meeting anasema walienda WTO kuomba kutengeneza Chanjo za Covid walikataliwa. Big Pham zinanguvu kubwa mno
Waziri mkuu wa Italy aliwacha France kuwa wanasababisha wahamiaji ulaya kwa sababu hawataki Ex colony zao ziwe independent.
Bongo mtu akimiliki kigari chake kibovu Cha milioni 5 anajiona yeye ndiye ana akili na wasiokuwa na gari basi hawana akili, wazembe, Wana laana nkUmasikini upo wa aina nyingi unalengwa hapa ni ule wa kipato.
Umasikini ni matokeo ya akili kushindwa kubaini fursa zinazokuzunguka ili uzigeuze mtaji.
Popote penye watu Pana pesa,watu ndio soko lenyewe.
umasikini ni hali ya mtu kushindwa kuchukua pesa Toka kwa watu.Bakhresa anachukua pesa Toka kwa watu kwa kubadilishana na kile wanachohitaji.
Mtaji ni 4H
1. Head
2. Health
3. Hand
4. Heart
Umasikini ni laana, kuzaliwa masikini hakumfanyi mtu kuwa masikini, kutokuwa elimu sio kisingizio cha kuwa masikini.
Utajiri unaozungumzwa hapa sio ule wa ukwasi Bali wa mtu binafsi kumudu kupata mahitaji yake na ziada.
Bongo mtu akimiliki kigari chake kibovu Cha milioni 5 anajiona yeye ndiye ana akili na wasiokuwa na gari basi hawana akili, wazembe, Wana laana nkUmasikini upo wa aina nyingi unalengwa hapa ni ule wa kipato.
Umasikini ni matokeo ya akili kushindwa kubaini fursa zinazokuzunguka ili uzigeuze mtaji.
Popote penye watu Pana pesa,watu ndio soko lenyewe.
umasikini ni hali ya mtu kushindwa kuchukua pesa Toka kwa watu.Bakhresa anachukua pesa Toka kwa watu kwa kubadilishana na kile wanachohitaji.
Mtaji ni 4H
1. Head
2. Health
3. Hand
4. Heart
Umasikini ni laana, kuzaliwa masikini hakumfanyi mtu kuwa masikini, kutokuwa elimu sio kisingizio cha kuwa masikini.
Utajiri unaozungumzwa hapa sio ule wa ukwasi Bali wa mtu binafsi kumudu kupata mahitaji yake na ziada.