imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Mimi nilikuwa huko majuzi tu sasa nani anayeota mimi wewe??Endelea kuota subiri October
Nilikuwa Singida juzi
No hate No fear
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nilikuwa huko majuzi tu sasa nani anayeota mimi wewe??Endelea kuota subiri October
Unaelewa maana ya umati?...Kwa aina ya siasa za Tanzania za sasa Umati huu wa watia nia wa Chadema una maana gani?...
Uchaguzi bado mkuu! Nyalandu hana ubavu wa kushindana na chama dume hata yeye anajua ila kuleni pesa zake tu. Kama alishindwa Lowassa aliyekuwa na mtandao mkubwa nchini kila idara na chamani atakuwa huyu Nyalandu?Mimi nilikuwa huko majuzi tu sasa nani anayeota mimi wewe??
Nilikuwa Singida juzi
No hate No fear
Watalii wengie wametumia savings kujilisha wakati kutotoka ndani ili kurudi itatuchukua miaka 4-5Tourism industry imecollapse na viwanda vinavyotegemea ku export vinaelekea huko huko
Eti USA hakuna packages??? Tatizo la kutegemea TBC daima.Niambie viwanda au biashara ngapi vimeathiriwa na hii so called pandemic?
Mbona mnapenda kukuza mambo? Maana huko USA kwenye cases nyingi sijasikia wakitangaza stimulus package. Nahisi utakuwa mpigaji unatafuta pesa za bure kwa kisingizio cha Corona, kumbuka JK alitoa stimulus package kipindi chake, zilinufaisha mini?
Mahoteli yanahali mbaya sana maelfu ya wafanyakazi wako mbioni kupoteza vibarua vyao kodi na tozo mbalimbali zinatakiwa zisimamishwe mara moja ili kuwapunguzia mzigo sio kwenda kujichimbia Chato hali ni mbayaWatalii wengie wametumia savings kujilisha wakati kutotoka ndani ili kurudi itatuchukua miaka 4-5
Mahoteli yote makubwa ya Dsm , Zanzibar , Arusha na Kilimanjaro yamefungwaTourism industry imecollapse na viwanda vinavyotegemea ku export vinaelekea huko huko
Unaweza kuwa na maana nyingi tu.Kwa aina ya siasa za Tanzania za sasa Umati huu wa watia nia wa Chadema una maana gani?
Mkuu asante sanaEti USA hakuna packages??? Tatizo la kutegemea TBC daima.
Ushauri wako umepokelewaUnaweza kuwa na maana nyingi tu.
Kwa sasa sitaki kukukatisha tamaa, lakini nakukaribisha wakati ukifika kuwachuja, unaweza kurudi hapa na kuomba msaada wa mapendekezo ya vigezo vinavyostahiri kutumika kuchambua magugu na mbegu safi.
Nani alikudanganya kwamba Lowassa alishindwa ? angalia picha hizi halafu muulize mama yako maana ya picha hizi ni nini .Uchaguzi bado mkuu! Nyalandu hana ubavu wa kushindana na chama dume hata yeye anajua ila kuleni pesa zake tu. Kama alishindwa Lowassa aliyekuwa na mtandao mkubwa nchini kila idara na chamani atakuwa huyu Nyalandu?
Weka ushahidi hapaEti USA hakuna packages??? Tatizo la kutegemea TBC daima.
Endelea ku predictTourism industry imecollapse na viwanda vinavyotegemea ku export vinaelekea huko huko
Shughuli imekwisha .Kwenye Urais wametia nia wangapi? Au mnasubiri CCM wakatane muwape nafasi!?
Sent using Jamii Forums mobile app
U.S. stocks advanced Thursday, capping their best week in more than four decades after the Federal Reserve said it would provide $2.3 trillion in loans to households, local governments and businesses in another effort to shield the economy from the coronavirus pandemic.Weka ushahidi hapa
Kwenye hili swali Mrema kabaki kujiuma uma tu.Kwenye Urais wametia nia wangapi?...