Mwambieni jiwe arudishe zile tri. 2.4 alizoficha Rwanda na Uganda zitmike kwenye stimulus package ya biashara zilizoathirika,Kwani umesikia kuna mfanyakazi kakosa mshahara? Au posho ya mwenyekiti na lissu awajapokea kule bungeni?
Jiwe anajua nchi haina mzigo ndo Anajidai eti sifungi mipaka na sitaki total lockdown,
Hili janga LA corona hakika natabiri litamng'oa kiulaini kwenye mawe yake