imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Yaani mpaka huwaga nawashangaa sijui hivi mbona mafuvu yenu magumu kuelewa hivi?!!Endelea ku predict
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani mpaka huwaga nawashangaa sijui hivi mbona mafuvu yenu magumu kuelewa hivi?!!Endelea ku predict
Mkuu 'imhotep',Lazaro Nyalandu anafanya kazi nzuri sana, juzi nilikuwa Kindai karibia mkoa wote wa Singida ni Chadema tu, muda huu ninaoandika... No hate No fear
View attachment 1415752
Watu wanaumiza vichwa halafu anakuja kusikilizwa Musiba 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Nani alikudanganya kwamba Lowassa alishindwa ? angalia picha hizi halafu muulize mama yako maana ya picha hizi ni nini .
View attachment 1415759
Mkuu 'misasa'Weka ushahidi hapa
we ni hewa kweli, kwani mtu kuwekwa karantini ndio kuwa mgonjwa?!.Kumbe hujui kama alikuwa karantin?
Mwenuekiti wa chadema sio mtu wa kuaminika au hajitambui. Utashangaa linakuja jitu na timu yake toka ccm na kupewa nafasi "muhimu" na wafuasi wake kupewa nafasi za upendeleo dhidi ya makada wenyeji waliowahi nafasi hizo.Msikosee tu mkabeba tena zile taka ngumu toka ccm za dakika ya majeruhi. Hiyo ni hatua namba moja, lakini hatua kubwa kabisa ni kudai tume huru ya uchaguzi, maana bila hiyo ni kupoteza muda na fedha.
Kwanini?Humu JF kuna akina Dr Shika wengi sana
Wewe kwenye saccos huna maamuzi wenye.saccos wanajua cha kufanya tuliza boli
Mwenuekiti wa chadema sio mtu wa kuaminika au hajitambui. Utashangaa linakuja jitu na timu yake toka ccm na kupewa nafasi "muhimu" na wafuasi wake kupewa nafasi za upendeleo dhidi ya makada wenyeji waliowahi nafasi hizo.