Umbali kati ya Misri na Israel ni KM 613, lakini wana wa Israel walisafiri kwa miaka 40

Halafu mambo ya MUNGU kama haya usiyalete kwenye jukwaa la utani na usiyaelezee kiutaniutani.
Eti sipendi ujinga,ndiyo nini sasa?
 
Halafu mambo ya MUNGU kama haya usiyalete kwenye jukwaa la utani na usiyaelezee kiutaniutani.
Eti sipendi ujinga,ndiyo nini sasa?
mkuu mi mwenyewe sipendi ujinga, mita 42 kwa siku? uongo gani huu? sipendi ujinga kabisa
 
.Namba ya Musa
现在,你至少开始学习日语字母,让我们来学习一些基本词汇和简单的日本现在,你至少开始学习日语字母,让我们来现在,你至少开始学习日语字母,让我们来学习一些基本词汇和简单的日本习一些基本 词汇和现在,你至少开始学习日语字母,让我们来学习一些基本词汇和简单的日本现在,你至少开始学习日语字母,让我们来现在,你至少开始学习日语字母,让我们来学习一些基本词汇和简单的日本习一些基本词汇和简单的日本的日本

SIPENDAGI UJINGA MIMI!
 
umeelezea vizuri ila sio kwa uongo wa mita 42 kwa siku!!! unazijua mita 42? ubungo plaza na stendi ya mkoa mbali. sasa kweli jamani, hata kama hatutakiwi kuhoji mambo ya Mungu ila hii kweli jamani? si changa la macho kabisa hili? [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Musa ana kesi ya msingi ya kujibu hapa, na ikiwa atapatikana na hatia inabidi ashitakiwe kwa kosa la matumizi mabaya ya muda!
 
Musa ana kesi ya msingi ya kujibu hapa, na ikiwa atapatikana na hatia inabidi ashitakiwe kwa kosa la matumizi mabaya ya muda!
labda Musa na wana wa israel walikua wanashtua kijoti kila baada ya hatua mbili ndo mana walikua wanatembea mita 42 kwa siku!!! [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mbona hujauliza kwanini viatu na nguo zao havikuchakaa!
 
Sijamuelewa mleta mada,hesabu zake zinaonesha umbali kutoka misri mpaka israel lakini watu hao waliekea katika nchi yA AHADI,Je,Nchi ya ahadi haina umbali kutoka misri au israel?
Jifunze kunena na Bwana Mungu wako kwa busara na hekima.Usidanganye watu hapa kwa comedy katika imani,mambo haya hayahitaji comedy.
 
wewe naona ndo hueleweki hebu weka vizuri swali lako
 
labda Musa na wana wa israel walikua wanashtua kijoti kila baada ya hatua mbili ndo mana walikua wanatembea mita 42 kwa siku!!! [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Na chakushangaza zaidi M 42 kwa siku ni sawa na umbali wa 1.75 M kwa saa mwendo ambao hata mtoto mdogo anayejifunza kutambaa anaweza kuu cover kwa dakika mbili nukta 33!
 
Na chakushangaza zaidi M 42 kwa siku ni sawa na umbali wa 1.75 M kwa saa mwendo ambao hata mtoto mdogo anayejifunza kutambaa anaweza kuu cover kwa dakika mbili nukta 33!
kubwa kuliko yote ni kwamba ukichukua 1.75m ÷ 60 minutes = 2.9 cm per minute.. hivi kweli mtu ndani ya dakika anakava umbali wa sentimita 2.9?? dah huu si uongo kabisa huu mkuu? [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
we unazani kupita katikati yabaharivni rahisi???[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji81] musa sio mtu wa mchezomchezo[emoji35] [emoji35] [emoji35]
 
we unazani kupita katikati yabaharivni rahisi???[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji81] musa sio mtu wa mchezomchezo[emoji35] [emoji35] [emoji35]
hivi baada ya bahari kutenganishwa, kile kina cha bahari nani alikijaza kifusi mpaka kufikia ground level? [emoji53] [emoji53]
 
kubwa kuliko yote ni kwamba ukichukua 1.75m ÷ 60 minutes = 2.9 cm per minute.. hivi kweli mtu ndani ya dakika anakava umbali wa sentimita 2.9?? dah huu si uongo kabisa huu mkuu? [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ni wakati sasa wa kuunda jopo litakaloongozwa na wewe,na watu wengine watano...mpande [HASHTAG]#pangaboi[/HASHTAG] si tumeambiwa zinatua mazingira magumu! Mpite route msafara wa wana Israel walipita ili kubaini ni nini kiliwachelewesha na kujua kama walianzisha miradi yoyote njiani...isijekuwa ndiyi janja waliotumia kung'oa tembo wetu meno ha ha haa!
 
sifanyagi trip za kijinga mimi [emoji23] [emoji23] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
 
sifanyagi trip za kijinga mimi [emoji23] [emoji23] [emoji35] [emoji35] [emoji35]

JF bhana,juzi kati hapa member mmoja alileta mastaka ya kum accuse nadhani Mtume Paulo kwa kupotosha ukweli,sijui kama kesi yake imeshapata hakimu?
 
Zamani nilifundishwa kuwa wanahistoria wana dhania kuwa hawa watu walipita njia ya mbali na kuna possibility ya kuwepo kwa njia karibu tatu za wao kufika Israel ila hawa kwenda moja kwa moja.

Nilivo fundishwa ni enzi hizo ni kuwa hawa jamaa walikuwa gosheni kutoka gosheni mpaka Misri kwa kutembea inadhaniwa ni inachukua mwezi mmoja tuu.
Lakini hawakupita huko walikuja chini huku kufuata mto naili, wali pita mpaka bahari nyekundu ambako ni mbali sana, baadaye walikatisha wakaenda mpaka mlima sinai unao dhaniwa kuwa uko saudi arabia, walikuwa wakizunguka jangwani sana then wakapandisha mpaka bahari ya chumvi wakaja kushuka kidogoogo
Ndio wakaingia yeriko na kaanan

Sasa humo njiani walipiga kambi, walipigana vita na mambo kadhaa, niliambiwa kuwa lengo la Mungu lilikuwa ni kuhakikisha kizazi chote kilicho toka Misri kina fia njiani hada kwenye jangwa na wanao ingia kaanan ni watu wapya na kweli waliotoka Misri walifika kanan wa wili tu , joshua na mwenzie.
Pia wana sema hii iliwasaidia hao waisraeli kwani walitengeneza jeshi, walitengeneza uongozi , silaha na vikosi vya upelelezi vililifanya kuwa taifa lenye nguvu kwa nyakati hizo, toka siku ya kwanza

*hivo ndo nijuavo marekebisho yata pokelewa, ila ukitaka kuipata stori hii inatakiwa uijue miji ya zamani ya.middle east karibu yote

Cc Deadbody

Cc nanya
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
..Ujinga hutaki kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…