Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu usipoteze muda kujibizana na Elungata. Huyo yuko upande ule ambao mkuu wao anadai aliteremshiwa kitabu chao kutoka mbinguni. Huyo ni against chochote kinachohusu ukristo. Ukitaka kuthibitisha, tafuta post zake uone.
Tiba
achana na tiba huyo keshazoea kubishana mambo ya vyama atakudanganya tu,Tiba Ahsante. Uniokoa sana kiongozi!.
eti bahari ilitenganishwa,bahari ipi hapo wakati watu wanatembea hata kupitia tunnel kutoka misri kwenda gaza.halafu wanakimbia askari wa misri wakati wanadai walikuwa wamepewa uwezo wa kupigana na jehova,kwanini wasipambane na askari wa misri?
bila shaka wewe ni mfuasi wa imani ya mjukuu wa bi hajra.
Misri ya Leo sio Misri ya enzi za Musa, pia haimaanishi kuwa walikuwa wakisafiri kwa miaka yote hiyo, Kuna process kuweza kuachiliwa kutoka mtumwa hadi kwa huru
Wakuu ni siku 40 sio miaka 40
wanasayansi wengine ni vichaa usiwaamini kirahisi sana, mabaki ya mafuvu ili yaweze survive kuna mazingira yake.Bila hivyo culcium ,sijui na phosporus yote inayeyuka ktk ardhi au maji au hata hewa.Km watagemea mafuvu kwa nini wasione ya waturuki,waruki,warumi kwanza.Pia wajui na uzikaji wa wayahudi kipindi kile km uliruhuru mwili kuhifadhiwa.km fisi walikuwa kila mzoga,sijui km fisi anaacha mifupa mingi kihivyo.wenyewe wanajua inahitaji mazingira special ili mfupa ubaki biaka mingi hivyo.otherwise tungekuwa na mifupa mingi sana duniani kwa vita zote hizi,watu walioliwa na wanyama mwituni kwa miaka mingi sana.Hadi sasa serengeti wanyama wanaliwa na kufa kila siku ila mifupo si mingi kihivyo.Baada ya kusoma post za Elungata na wengine nimegundua mambo kama mawili. 1. Misri inayotajwa kwenye biblia siyo hii ya sasa. Sababu kama alivyoonyesha ushahidi mkuu Elungata kwenye wikipedia, kwamba hakuna ushahidi wa mabaki/mafuvu ya watu yaliyopatikana kwenye eneo linaloaminiwa kuwa wana waisrael walipita kuelekea nchi ya ahadi. 2. Kitabu cha kutoka hakipo kiimani zaidi, kipo kiuhalisia zaidi.
Hao jamaa walitegema vitu vingi ili kufanikisha safari..walitegemea mapito hospitable,dira sahihi, ili wasipotee ktk jangwa.Abrahamu alifika hapo kwa kutambaa na mto akipata malisho ya wanyama,mifugo na kundi la wafanyakazi km jeshi vile.Angetoka nje ya mto angepotea na kulia jangwa km wajukuu zake.unaweza dhani TZ na Kenya zipo karibu sana ukingalia ktk hiyo misri na israeli civilization ilikaa wapi ktk maeneo ya hizo nchi.Na pia waliporudi walitegemea nini baada ya kukaa nje miaka mingi.Ni wazi kulikuwa na wakazi wapya.Baada ya mchwa huwa viumbe wengine huamia ktk vichuguu vyao.Tunasoma katika bibilia kuwa wana wa israel walichukua muda wa miaka 40 kufika nchi ya ahadi wakitokea utumwani misri. Hapa najiuliza sana. Miaka 40 kutoka hapo kairo kwenda yerusalemu? Mbona ni miaka mingi sana? Au walikuwa hawajui njia? Mimi napata mashaka, miaka waliyokuwa wanahesabu cyo hii tunayohesabu sisi. Hivi kuna umbali gani kutoka misri (cairo) kwenda israel (yerusalemu)?