Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyo mungu alikua anataka wafike nchi ya ahadi kweli? mbona anawachezeachezea hivyo? duh. na nyie waislam kumbe mna hadithi zinazozungumzia israel kama nchi tukufu!! duh kwa hio hadi nyie waislam mnaita israel nchi ya ahadi? dih.Kwa mujibu wa uislamu mtume mussa baada ya kukamilisha siku 40 na kwenda kuchukua kitabu alivyorudi aliwakuta wana wa Israel wakiabudia ngombe
Mungu akawapa adhabu ya kutanga tanga jangwani na kusafiri kwa muda wa miaka 40
Ivi wewe urefu hu umepima njia ya miguu waliopita wao au we umepima kwa ndege unataka kuniambia toka dodoma na gari ni sawa ukienda na ndege kumbuka safari ilikua ni kuhama na sio kingine wameondoka mpk na bata wao na kila kitu usisome bibilia kama kitabu cha hadithi bwege we yusufu alisafir kwa muda gani je familia yake ilipo fika misri na yusufu kuwaambia wakamchukue baba yao walienda kwa muda gani kwaiyo jumla walisafiri miaka 80 mana 40 kurudi then tena kwenda na baba yao 40 na safai yao ya kwanza 40 jumla 120 jiongeze usisome kama gazeti la udaku bwegeHuwa nasoma maandiko yote yaliyombele yangu, yawe ya wasomi na wanamajumui ama ya wajinga na yakijinga, mimi husoma tu. Hii imenipa uwezo na ujasiri wakuyajua mambo mengi yaliyohifadhiwa kwa maandishi,
Lakini kuna jambo hakika kwa miaka mingi nimekuwa nikiumiza akili yangu bila kupata jibu, nimejaribu kuzama kiroho imeshindikana, nimejaribu kuzama kihistoria imeshindikana,
Umbali kati ya Misri na Israel ni km 613, kwamjibu wa Biblia inasema wana wa Israel walisafiri kwa miaka 40, inamana kila siku walisafiri mita 43?
Mafanikio ya binadamu duniani hutazamiwa afikapo miaka 18-40. Inaelezwa kwamba huo ndio mwenendo pia wa mafanikio ya taifa...
Wanamajumui wanasema ukizidi umri huo wewe uwe unatafuta hela ya kula tu, utajiri na hekima utavisikia tu
Wachungaji naomba msaada wa ufunuo hapa hapa....View attachment 403864
Unajua kwa mtu anaetoa nondo za research kwa siasa maendeleo na fikra mbadala na kusimamia jambo ni huyu jamaa sasa naanza kuona kama anatulisha tango pori hata kwenye siasa mana wengine tunaishi na kuamini kwenye dini dah amenivuruga kabs yani kashindwa kutafakari sitaki kuamini hii account sio yake mana siwezi amini kabs labda kama anapima uwezo wa watu kuamua jambo ila kama ndo anasimamia fact dah nakushusha cheo manyota yote nakuvuaHuwa nasoma maandiko yote yaliyombele yangu, yawe ya wasomi na wanamajumui ama ya wajinga na yakijinga, mimi husoma tu. Hii imenipa uwezo na ujasiri wakuyajua mambo mengi yaliyohifadhiwa kwa maandishi,
Lakini kuna jambo hakika kwa miaka mingi nimekuwa nikiumiza akili yangu bila kupata jibu, nimejaribu kuzama kiroho imeshindikana, nimejaribu kuzama kihistoria imeshindikana,
Umbali kati ya Misri na Israel ni km 613, kwamjibu wa Biblia inasema wana wa Israel walisafiri kwa miaka 40, inamana kila siku walisafiri mita 43?
Mafanikio ya binadamu duniani hutazamiwa afikapo miaka 18-40. Inaelezwa kwamba huo ndio mwenendo pia wa mafanikio ya taifa...
Wanamajumui wanasema ukizidi umri huo wewe uwe unatafuta hela ya kula tu, utajiri na hekima utavisikia tu
Wachungaji naomba msaada wa ufunuo hapa hapa....View attachment 403864
chukua huo umri wako, jumlisha na miaka 40, nambie ungekuwa wewe ungefika misri ukiwa na miaka mingapi kama sio kikongwe? sasa kulikua na haja gani ya kuwatoa misri mpaka israel angali watu wangefika huko vikongwe havina hata uwezo wa kujenga vibanda vyao? unapoteza miaka yako ukiwa unarandaranda jangwani we umekuwa vumbi?Wakuu hebu tuanzie hapa....
Wanaposema safari ya wana wa israel kutoka misri kwenda nchi ya maziwa na asali (ahadi) wanamaanisha nini?
1. Wanamaanisha mchakato wote wa kuanzia Mungu anamu-"approach" Musa pale kichakani? Au
2. Tunaanzia pale Farao baada ya kutoa kibali waondoke baada ya lile pigo la mwisho?
Kama tutaanzia kwa case 1 hapo juu nadhani hiyo miaka 40 inaweza kuwa sahihi kwasababu kuna mlolongo wa matukio mengi sana hapo katikati na sio kama unavyosoma kwenye biblia dk 2 au 3 page 1 na kuimaliza au kama unavyotizama filamu ya Mussa ukadhani basi hiyo michakato ilikua ya masaa au siku 1.
Suala lingine ni njia. Tukijua hawa jamaa walipita njia ipi unaweza kuwahukumu au laa. Mfano kutoka Muscat kwenda Dar es salaam ni masaa 5 na nusu mpk 6 ukipanda direct flight (Oman air) ambayo itapita zanzibar kwanza itarud dar es salaam then. Jenga picha ingetua dar es salaam kabla ya kwenda zenji basi ingetumia masaa machache zaid ya hayo. Vivyo hivyo ukipanda Ethiopian kuja dar es salaam kutoka Muscat utatumia masaa zaid ya 15+. Pia itatofautiana ukitumia emirates, qatar nk. Kwa hiyo ukiangalia hapo kila route ina ETA yake ila umbali wa muscat - dar ni constant.
Ikumbukwe bado hawa jamaa kuna kipindi walikua wanaweka kambi huko njiani kutafuta vyakula nk. Mfano kuna kipindi Musa alienda milimani kusali akachelewa kurudi mpk wakajua amekufa wakaomba wachongewe ndama wa dhahabu wamfanye Mungu wao kama nipo sahihi. Huwezi jua Musa alikaa mda gani huko milimani mpk watu wakakosa imani na kukata tamaa juu yake. Jiulize tu wewe binafsi ndugu yako au mwanao akipotea utachukua mda gani kumtafuta mpaka uamue kuweka hitimisho kwamba wacha niamini amekufa.
Mwisho,
Tunaposema safari ya Bongo star search BSS au Maisha plus tunamaanisha mchakato wa kutafuta washiriki mpaka mshindi anapopatikana. Hatuanzii pale washiriki washaingia kambini. Vivyo hivyo binafsi ninaposikia safari ya wanaislaeri kutoka misri kufika nchi ya ahadi najenga picha kuanzia Mungu anamtokea Mussa hadi kufika nchi ya ahadi.
Mkuu kama ujinga kwako ni no hebu shughulisha basi halmashauri ya kichwa chako. Hebu jiulize kama wao wangefikiria kama unavyowaza wewe leo hii waisraeli wangekua wapi? Definitely wangekua kasehemu kadogo ka wamisri..Kufanya kwao maamuzi ya kushift ndo neema ya waislaer wa sasa kama dola kamili na miongoni mwa super power countries zaidi ya hiyo misri ya sasa. Kulikua na haja gani kina mkwawa kupigana na wajerumani? Kwani mkwawa na kinjeketile wasingeweza kuishi maisha ya furaha?chukua huo umri wako, jumlisha na miaka 40, nambie ungekuwa wewe ungefika misri ukiwa na miaka mingapi kama sio kikongwe? sasa kulikua na haja gani ya kuwatoa misri mpaka israel angali watu wangefika huko vikongwe havina hata uwezo wa kujenga vibanda vyao? unapoteza miaka yako ukiwa unarandaranda jangwani we umekuwa vumbi?
ujinga kwangu no.
wa kushugulisha akili ni wewe unaeona kutoka Dar hadi Tabora(sawa na umbali wa misri hadi israel) kwa kutembea itakuchukua miaka 40!!! weka umbumbumbu wako pembeni jaribu kufikiri.Mkuu kama ujinga kwako ni no hebu shughulisha basi halmashauri ya kichwa chako. Hebu jiulize kama wao wangefikiria kama unavyowaza wewe leo hii waisraeli wangekua wapi? Definitely wangekua kasehemu kadogo ka wamisri..Kufanya kwao maamuzi ya kushift ndo neema ya waislaer wa sasa kama dola kamili na miongoni mwa super power countries zaidi ya hiyo misri ya sasa. Kulikua na haja gani kina mkwawa kupigana na wajerumani? Kwani mkwawa na kinjeketile wasingeweza kuishi maisha ya furaha?
Mkuu acha kua mbinafsi usijifikirie peke yako fikiria vizazi vya usoni.....
uumbaji siku 6 blaza.Kwa maana hiyo matukio yote ya Biblia ni mpango wa Mungu (kwa ishara kwa njia ya namba kuonyesha urefu wa kila nyakati - 7; 40; 400, nk). Kuna uumbaji siku 7; gharika siku 40, mnara wa Babeli siku 40, nk.
Siku ya 7 akapumzika kumalizia mchakato wa uumbaji. Japo Biblia inatamka hivyo, kwa mwono wa kibinadamu atakuwa ameitumia kukagua na kujiridhisha alichokiumba kiko vilevile alivyokusudiauumbaji siku 6 blaza.
Mkuu hebu kaitendee haki ID yako kwanza usije ukajiharishia naona tutakesha hapa ili hali unafikiri huku unakunya.....maliza haja kwanza kisha uje tena.....wa kushugulisha akili ni wewe unaeona kutoka Dar hadi Tabora(sawa na umbali wa misri hadi israel) kwa kutembea itakuchukua miaka 40!!! weka umbumbumbu wako pembeni jaribu kufikiri.
Namba e kweli tupuMtoa mada kabla hujauliza swali lako kuna vitu vingi unatakiwa ujiulize,
a) Idadi ya watu kwenye msafara.
Kwa vile walikuwa wengi, iliwabidi waende taratibu, mmoja wapo akipata tatizo ni lazima wamsubirie. Kundi lilikuwa kubwa ilibidi ifike sehemu watafute chakula.
b) Jiografia ya kati ya Misri na nchi ya ahadi, kuna jangwa,milima,mabonde,mito na bahari. Kutokana na hayo inabidi sehemu ya kutumia siku moja inabidi mutumie miezi kadhaa kuuzunguka mlima au kukwepa bonde. Kumbuka kizazaa walichokipata wakati wanavuka bahari ya shamu.
c) Umri tofauti katika kundi, kulikuwa na watoto wazee na vijana.
d) Aina ya usafiri waliokuwa wanautumia, fikiria unatembea kwenye jangwa itakuchukua muda gani kurudisha nguvu zilizopotea.
e) Muda wa ibada, kuna wakati Musa ilibidi aende mlimani(sehemu yenye utulivu) kusali na kuongea na Mungu, kumbuka Mungu hapangiwi muda,unaweza msubiri hata miezi 8 hajakujibu.
Mwisho kabisa ulikuwa ndio mpango wa Mungu watumie miaka 40 kufika nchi ya mito na maziwa. ATAKAYE VUMILIA MPAKA MWISHO HUYO NDIE ATAKAYEIONA NCHI MUNGU ALIYOWAAHIDI WATU WAKE
Siku ya 7 akapumzika kumalizia mchakato wa uumbaji. Japo Biblia inatamka hivyo, kwa mwono wa kibinadamu atakuwa ameitumia kukagua na kujiridhisha alichokiumba kiko vilevile alivyokusudia
wewe lazima utakua na K kama ID yako inavyosema.Mkuu hebu kaitendee haki ID yako kwanza usije ukajiharishia naona tutakesha hapa ili hali unafikiri huku unakunya.....maliza haja kwanza kisha uje tena.....
Utakua ushamaliza haja sasa ndo maana umerudi haya sasa "EFATHA" (maana yake funguka) na ufikiri nje ya box.wewe lazima utakua na K kama ID yako inavyosema.
Umenielewa nilichokiandika au ubishi tu ili siku dhana yako ikubalike!kulikua hamna haja ya kukagua wakati kila alipomaliza uumbaji alisema "akaona kuwa ni vyema, ikawa usiku, ikawa asubuhi" manake kila uumbaji ulimpendeza.
kusema Mungu alifanya ukaguzi siku ya 7 aone kama kila kitu kipo sawa ni kumkosoa Mungu kwamba anakosea. so Mungu wenu hajiamini mpaka afante ukaguzi? kwanza huo mstari wa ukaguzi umeupata wapi wakati biblia inasema siku ya 7 ye alikua anakula bata tu?