Umbali kati ya Misri na Israel ni KM 613, lakini wana wa Israel walisafiri kwa miaka 40

Umbali kati ya Misri na Israel ni KM 613, lakini wana wa Israel walisafiri kwa miaka 40

Hapa nafikiri tulipigwa changa la macho!! Kama wazee wa kibondei walitembea kutoka Tanga hadi Dar es Salaam kwa siku 6 kuunga mkono Azimio la Arusha, umbali wa km 326 huku wakiimba Daisaama ni hai kwa mwendo wa miundi(Dar es Salaam ni mbali kwa mwendo wa miguu) lakini walitoboa maana yake hizo km 600+ wangetumia less than 14 days!! Huo ni mchanga wa wazi kabisa..
 
QURAN 5:20-26

20. Na pale Musa alipo waambia watu wake: Enyi watu wangu! Kumbukeni neema za Mwenyezi Mungu zilizo juu yenu, alipo wateuwa Manabii kati yenu, na akakufanyeni watawala, na akakupeni ambayo hakuwapa wowote katika walimwengu.

21. Enyi watu wangu! Ingieni katika nchi takatifu ambayo Mwenyezi Mungu amekuandikieni. Wala msirudi nyuma, msije mkawa wenye kupata hasara.

22. Wakasema: Ewe Musa! Huko kuna watu majabari(jeuri). Nasi hatutaingia huko mpaka wao watoke humo. Wakitoka humo hapo tutaingia.

23. Watu wawili miongoni mwa wacha Mungu ambao Mwenyezi Mungu amewaneemesha, walisema: Waingilieni kwa mlangoni. Mtakapo waingilia basi kwa yakini nyinyi mtashinda (vita). Na mtegemeeni Mwenyezi Mungu ikiwa nyinyi ni Waumini. 24. Wakasema: Ewe Musa! Sisi hatutaingia humo kamwe maadamu wao wamo humo. Basi nenda wewe na Mola wako Mlezi mkapigane. Sisi tutakaa hapa hapa(kusubiri kitakachojiri)

25. Akasema (Musa): Mola wangu Mlezi! Hakika mimi similiki ila nafsi yangu na ndugu yangu (Haruni). Basi tutenge na hawa watu wapotovu.

26. (Mwenyezi Mungu) akasema: Basi nchi hiyo wameharimishiwa muda wa miaka arubaini, watakuwa wakitanga-tanga katika ardhi. Basi wewe usiwasikitikie watu wapotovu."



Aya ya 26 imetoa majibu. Asante sana
 
Hi
Tunasoma katika bibilia kuwa wana wa israel walichukua muda wa miaka 40 kufika nchi ya ahadi wakitokea utumwani misri. Hapa najiuliza sana. Miaka 40 kutoka hapo kairo kwenda yerusalemu?

Mbona ni miaka mingi sana? Au walikuwa hawajui njia? Mimi napata mashaka, miaka waliyokuwa wanahesabu cyo hii tunayohesabu sisi.

Hivi kuna umbali gani kutoka misri (cairo) kwenda israel (yerusalemu)?

====

Yericko Nyerere
Huwa nasoma maandiko yote yaliyombele yangu, yawe ya wasomi na wanamajumui ama ya wajinga na yakijinga, mimi husoma tu. Hii imenipa uwezo na ujasiri wakuyajua mambo mengi yaliyohifadhiwa kwa maandishi,

Lakini kuna jambo hakika kwa miaka mingi nimekuwa nikiumiza akili yangu bila kupata jibu, nimejaribu kuzama kiroho imeshindikana, nimejaribu kuzama kihistoria imeshindikana,

Umbali kati ya Misri na Israel ni km 613, kwamjibu wa Biblia inasema wana wa Israel walisafiri kwa miaka 40, inamana kila siku walisafiri mita 43?

Mafanikio ya binadamu duniani hutazamiwa afikapo miaka 18-40. Inaelezwa kwamba huo ndio mwenendo pia wa mafanikio ya taifa.

Wanamajumui wanasema ukizidi umri huo wewe uwe unatafuta hela ya kula tu, utajiri na hekima utavisikia tu

Wachungaji naomba msaada wa ufunuo hapa hapa.
img-20160920-wa0176-jpg.403864

[/QUOTE swali huwa najiuliza piai swali
 
Hi
Misri ya Leo sio Misri ya enzi za Musa, pia haimaanishi kuwa walikuwa wakisafiri kwa miaka yote hiyo, Kuna process kuweza kuachiliwa kutoka mtumwa hadi kwa huru

Tunaziomba hizo process tafadhari na Nina Imani ndiyo shida ya mtoa post kukua kwanini?
 
Tunasoma katika bibilia kuwa wana wa israel walichukua muda wa miaka 40 kufika nchi ya ahadi wakitokea utumwani misri. Hapa najiuliza sana. Miaka 40 kutoka hapo kairo kwenda yerusalemu?

Mbona ni miaka mingi sana? Au walikuwa hawajui njia? Mimi napata mashaka, miaka waliyokuwa wanahesabu cyo hii tunayohesabu sisi.

Hivi kuna umbali gani kutoka misri (cairo) kwenda israel (yerusalemu)?

====

Yericko Nyerere
Huwa nasoma maandiko yote yaliyombele yangu, yawe ya wasomi na wanamajumui ama ya wajinga na yakijinga, mimi husoma tu. Hii imenipa uwezo na ujasiri wakuyajua mambo mengi yaliyohifadhiwa kwa maandishi,

Lakini kuna jambo hakika kwa miaka mingi nimekuwa nikiumiza akili yangu bila kupata jibu, nimejaribu kuzama kiroho imeshindikana, nimejaribu kuzama kihistoria imeshindikana,

Umbali kati ya Misri na Israel ni km 613, kwamjibu wa Biblia inasema wana wa Israel walisafiri kwa miaka 40, inamana kila siku walisafiri mita 43?

Mafanikio ya binadamu duniani hutazamiwa afikapo miaka 18-40. Inaelezwa kwamba huo ndio mwenendo pia wa mafanikio ya taifa.

Wanamajumui wanasema ukizidi umri huo wewe uwe unatafuta hela ya kula tu, utajiri na hekima utavisikia tu

Wachungaji naomba msaada wa ufunuo hapa hapa.
img-20160920-wa0176-jpg.403864
Sijapitia majibu ya watu wengine. Lakini safari ya Waisraeli kutoka Misri hadi Kanaani, iliyochukua miaka 40, ilitokana na sababu kadhaa zilizoelezwa vizuri katika maandiko ya Biblia (huhitaji reference ya vitabu vingine vilivyonakili mapokeo ya agano la kale), hasa katika Kitabu cha Kutoka na Hesabu:

1. Kutotii na Kukosa Imani: Sababu kuu ilikuwa kutotii kwa Waisraeli na ukosefu wa imani kwa Mungu. Walipofika karibu na Nchi ya Ahadi (Kanaani), Musa aliwatuma wapelelezi 12 kuichunguza nchi hiyo. Hata hivyo, wapelelezi kumi walirudi na ripoti ya kutia hofu, wakisema nchi imejaa majitu na miji yenye ngome imara, jambo ambalo liliwakatisha tamaa watu. Ni Yoshua na Kalebu pekee waliosadiki kwamba wangeweza kuiteka nchi kwa msaada wa Mungu. Kwa sababu ya ukosefu huo wa imani, Mungu aliamuru kwamba kizazi hicho (isipokuwa Yoshua na Kalebu) kisingeingia katika Nchi ya Ahadi (Hesabu 13-14).

2. Kutangatanga kama Adhabu: Kama adhabu kwa uasi wao na ukosefu wa imani, Mungu aliwafanya Waisraeli wenye umri wa kwenda vitani watangetange jangwani kwa miaka 40 hadi kizazi cha wazee kife. Hii ilikuwa kuhakikisha kuwa kizazi kipya, ambacho hakikuasi, kingeingia Kanaani.

Hes 14:26-33 SUV
[26] Kisha BWANA akanena na Musa na Haruni, na kuwaambia, [27] Je! Nichukuane na mkutano mwovu huu uninung’unikiao hata lini? Nimesikia manung’uniko ya wana wa Israeli, waninung’unikiayo. [28] Waambieni, Kama niishivyo, asema BWANA, hakika yangu kama ninyi mlivyonena masikioni mwangu, ndivyo nitakavyowafanyia ninyi; [29] mizoga yenu itaanguka katika jangwa hili, na wote waliohesabiwa miongoni mwenu, kama jumla ya hesabu yenu, tangu waliopata umri wa miaka ishirini na zaidi, hao walioninung’unikia, [30] hakika yangu hamtaingia ninyi katika nchi, ambayo niliinua mkono wangu ya kwamba nitawaketisha humo, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune, na Yoshua mwana wa Nuni. [31] Lakini Watoto wenu, ambao mlisema watakuwa mateka, ndio nitakaowaleta na kuwatia ndani, nao wataijua nchi ninyi mliyoikataa. [32] Lakini katika habari zenu, mizoga yenu itaanguka katika jangwa hili. [33] Kisha watoto wenu watakuwa wachungaji jangwani muda wa miaka arobaini nao watauchukua mzigo wa uasherati wenu, hata mizoga yenu itakapoangamia jangwani.

3.
Maandalizi na Majaribio: Miaka 40 jangwani pia ilikuwa kipindi cha majaribio na ukuaji wa kiroho kwa Waisraeli. Walijifunza kumtegemea Mungu kwa mahitaji yao ya kila siku, kama chakula (mana) na maji, na kilikuwa kipindi cha kujitakasa kabla ya kuingia Nchi ya Ahadi (Kumbukumbu la Torati 8:2-5).

Hivyo, safari iliyochukua muda mrefu ilikuwa adhabu kwa kutotii, lakini pia kipindi cha maandalizi ya kiroho.
 
Hahaa haah ahaa! Mkuu lyinga umenichekesha sana. We unadhani walikuwa wanafanya nini miaka yote hiyo njiani.

Eti kama kulikuwa na mama mjamzito, then akajifungua alikuwa na uwezekano wa kupata mjukuu akiwa safarini .emegine!
...kumbe ndo maana walitumia miaka 40...walikuwa wanagonga hadi kutiana mimba...kwa hiyo walikuwa pia wanakaa kulea...by the way jangwani hakuna nyumba walikuwa wanagongania wapi!!
 
Tunasoma katika bibilia kuwa wana wa israel walichukua muda wa miaka 40 kufika nchi ya ahadi wakitokea utumwani misri. Hapa najiuliza sana. Miaka 40 kutoka hapo kairo kwenda yerusalemu?

Mbona ni miaka mingi sana? Au walikuwa hawajui njia? Mimi napata mashaka, miaka waliyokuwa wanahesabu cyo hii tunayohesabu sisi.

Hivi kuna umbali gani kutoka misri (cairo) kwenda israel (yerusalemu)?

====

Yericko Nyerere
Huwa nasoma maandiko yote yaliyombele yangu, yawe ya wasomi na wanamajumui ama ya wajinga na yakijinga, mimi husoma tu. Hii imenipa uwezo na ujasiri wakuyajua mambo mengi yaliyohifadhiwa kwa maandishi,

Lakini kuna jambo hakika kwa miaka mingi nimekuwa nikiumiza akili yangu bila kupata jibu, nimejaribu kuzama kiroho imeshindikana, nimejaribu kuzama kihistoria imeshindikana,

Umbali kati ya Misri na Israel ni km 613, kwamjibu wa Biblia inasema wana wa Israel walisafiri kwa miaka 40, inamana kila siku walisafiri mita 43?

Mafanikio ya binadamu duniani hutazamiwa afikapo miaka 18-40. Inaelezwa kwamba huo ndio mwenendo pia wa mafanikio ya taifa.

Wanamajumui wanasema ukizidi umri huo wewe uwe unatafuta hela ya kula tu, utajiri na hekima utavisikia tu

Wachungaji naomba msaada wa ufunuo hapa hapa.
img-20160920-wa0176-jpg.403864
Kumbukumbu la Torati 8 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
² Nawe utaikumbuka njia ile yote Bwana, Mungu wako aliyokuongoza miaka hii arobaini katika jangwa, ili akutweze, kukujaribu kuyajua yaliyo moyoni mwako, kwamba utashika amri zake, au sivyo.
³ Akakutweza, akakuacha uone njaa, akakulisha kwa mana, usiyoijua wewe wala baba zako hawakuijua; apate kukujulisha ya kuwa mwanadamu haishi kwa mkate tu, bali huishi kwa kila litokalo katika kinywa cha Bwana.
⁴ Mavazi yako hayakuchakaa, wala mguu wako haukuvimba, miaka hiyo arobaini.
 
Hao walisha laaniwa kitambo hio creature haifai kwa mwanadam
 
Tunasoma katika bibilia kuwa wana wa israel walichukua muda wa miaka 40 kufika nchi ya ahadi wakitokea utumwani misri. Hapa najiuliza sana. Miaka 40 kutoka hapo kairo kwenda yerusalemu?

Mbona ni miaka mingi sana? Au walikuwa hawajui njia? Mimi napata mashaka, miaka waliyokuwa wanahesabu cyo hii tunayohesabu sisi.

Hivi kuna umbali gani kutoka misri (cairo) kwenda israel (yerusalemu)?

====

Yericko Nyerere
Huwa nasoma maandiko yote yaliyombele yangu, yawe ya wasomi na wanamajumui ama ya wajinga na yakijinga, mimi husoma tu. Hii imenipa uwezo na ujasiri wakuyajua mambo mengi yaliyohifadhiwa kwa maandishi,

Lakini kuna jambo hakika kwa miaka mingi nimekuwa nikiumiza akili yangu bila kupata jibu, nimejaribu kuzama kiroho imeshindikana, nimejaribu kuzama kihistoria imeshindikana,

Umbali kati ya Misri na Israel ni km 613, kwamjibu wa Biblia inasema wana wa Israel walisafiri kwa miaka 40, inamana kila siku walisafiri mita 43?

Mafanikio ya binadamu duniani hutazamiwa afikapo miaka 18-40. Inaelezwa kwamba huo ndio mwenendo pia wa mafanikio ya taifa.

Wanamajumui wanasema ukizidi umri huo wewe uwe unatafuta hela ya kula tu, utajiri na hekima utavisikia tu

Wachungaji naomba msaada wa ufunuo hapa hapa.
img-20160920-wa0176-jpg.403864
Unaweza tembea dar to moshi bila kupumzika sehemu yeyotee ? Elewa neno kupumzika , hiyo miguu itakuwaj kama unatembea bila mapumziko ? Kama umeelewa utaacha kuuliza maswali ya kipuuz , kwenye watu zaid ya 100 lzm Kuna sehemu mtahitaj kupumzika ili muwe fit kuendele na safari
 
Unaweza tembea dar to moshi bila kupumzika sehemu yeyotee ? Elewa neno kupumzika , hiyo miguu itakuwaj kama unatembea bila mapumziko ? Kama umeelewa utaacha kuuliza maswali ya kipuuz , kwenye watu zaid ya 100 lzm Kuna sehemu mtahitaj kupumzika ili muwe fit kuendele na safari
Watumishi wa Mungu wanavyoelezea hili hua wanasema watu wa zamani walikua na nguvu sana..

Kuna jamaa shabiki wa mpira hapa Tz alitembea Mbeya - Dar almost Chini ya wiki 1


Thanks Google 👇👇
Screenshot_20240930-121710.jpg
Screenshot_20240930-122010.jpg


Hata kama utapumzika, huwezi tembea Kilimanjaro dar kwa miaka 40, watu wa dini mna shida gani mmefunga akili zenu au?
 
Tunasoma katika bibilia kuwa wana wa israel walichukua muda wa miaka 40 kufika nchi ya ahadi wakitokea utumwani misri. Hapa najiuliza sana. Miaka 40 kutoka hapo kairo kwenda yerusalemu?

Mbona ni miaka mingi sana? Au walikuwa hawajui njia? Mimi napata mashaka, miaka waliyokuwa wanahesabu cyo hii tunayohesabu sisi.

Hivi kuna umbali gani kutoka misri (cairo) kwenda israel (yerusalemu)?

====

Yericko Nyerere
Huwa nasoma maandiko yote yaliyombele yangu, yawe ya wasomi na wanamajumui ama ya wajinga na yakijinga, mimi husoma tu. Hii imenipa uwezo na ujasiri wakuyajua mambo mengi yaliyohifadhiwa kwa maandishi,

Lakini kuna jambo hakika kwa miaka mingi nimekuwa nikiumiza akili yangu bila kupata jibu, nimejaribu kuzama kiroho imeshindikana, nimejaribu kuzama kihistoria imeshindikana,

Umbali kati ya Misri na Israel ni km 613, kwamjibu wa Biblia inasema wana wa Israel walisafiri kwa miaka 40, inamana kila siku walisafiri mita 43?

Mafanikio ya binadamu duniani hutazamiwa afikapo miaka 18-40. Inaelezwa kwamba huo ndio mwenendo pia wa mafanikio ya taifa.

Wanamajumui wanasema ukizidi umri huo wewe uwe unatafuta hela ya kula tu, utajiri na hekima utavisikia tu

Wachungaji naomba msaada wa ufunuo hapa hapa.
img-20160920-wa0176-jpg.403864
Soma Biblia yako vizuri,kuna sehemu walikuwa wanaweka vituo na wanakaa kwa miaka kadhaa kabla ya kuanza tena safari...
 
Kumben
Nyie watu kwa nini hamtumii akili kuchanganua mambo???

Hivi kweli hilo ni jambo la kukusumbua akili???

Summary ya historia:

Waisrael walitoka misri mpaka mpakani kuingia kanani kwa mda mfupi tu.

Walipofika pale walipeleka wapelelezi 12 kuchunguza hio nchi. Wapelelezi wakarudisha taarifa za kuleta taharuki. Watu wakagoma kuendelea na safari wakataka kurudi misri.

Mungu alikasirika na aliwapa adhabu ya kuzunguka jangwani miaka 40 yaani ili wote waliotoka misri waishi na kufa na watoto wao ndio waingie nchi ya ahadi.

Kwa hio ilikua wanatoka hapa wanaenda pale wanarudi kule!!! Mpaka miaka 40 ilipotimia ndipo watoto wa wale waliotoka misri wakaingia nchi ya ahadi wakianza na Yeriko!!!

Someni basi Biblia yote. Kama vipi soma kitabu cha kutoka na kumbukumbu hizi habari utazipata. Usisome mstari mmoja tu kisha ukaacha utapata shida sana na manabii wa uongo watakupepeta kama ngano!!
Kumbe muuaji alafu anasema kuua dhambi.
Je kusamehe anakotaka ss tufanye ni kupi wakati yy alishindwa kuwasamehe..??

Yote hayo yanaonesha kuwa yy naye hajakamilika
 
Tunasoma katika bibilia kuwa wana wa israel walichukua muda wa miaka 40 kufika nchi ya ahadi wakitokea utumwani misri. Hapa najiuliza sana. Miaka 40 kutoka hapo kairo kwenda yerusalemu?

Mbona ni miaka mingi sana? Au walikuwa hawajui njia? Mimi napata mashaka, miaka waliyokuwa wanahesabu cyo hii tunayohesabu sisi.

Hivi kuna umbali gani kutoka misri (cairo) kwenda israel (yerusalemu)?

====

Yericko Nyerere
Huwa nasoma maandiko yote yaliyombele yangu, yawe ya wasomi na wanamajumui ama ya wajinga na yakijinga, mimi husoma tu. Hii imenipa uwezo na ujasiri wakuyajua mambo mengi yaliyohifadhiwa kwa maandishi,

Lakini kuna jambo hakika kwa miaka mingi nimekuwa nikiumiza akili yangu bila kupata jibu, nimejaribu kuzama kiroho imeshindikana, nimejaribu kuzama kihistoria imeshindikana,

Umbali kati ya Misri na Israel ni km 613, kwamjibu wa Biblia inasema wana wa Israel walisafiri kwa miaka 40, inamana kila siku walisafiri mita 43?

Mafanikio ya binadamu duniani hutazamiwa afikapo miaka 18-40. Inaelezwa kwamba huo ndio mwenendo pia wa mafanikio ya taifa.

Wanamajumui wanasema ukizidi umri huo wewe uwe unatafuta hela ya kula tu, utajiri na hekima utavisikia tu

Wachungaji naomba msaada wa ufunuo hapa hapa.
img-20160920-wa0176-jpg.403864

Waisrael walisafiri kwa mpango maalum na waliongozwa na wingi maalum la Mungu​

Hesabu 9:17​

Wakati wowote wingu lilipoinuka kutoka juu ya Hema, nao Waisraeli waliondoka; mahali popote wingu liliposimama, Waisraeli walipiga kambi.
 
Unaweza tembea dar to moshi bila kupumzika sehemu yeyotee ? Elewa neno kupumzika , hiyo miguu itakuwaj kama unatembea bila mapumziko ? Kama umeelewa utaacha kuuliza maswali ya kipuuz , kwenye watu zaid ya 100 lzm Kuna sehemu mtahitaj kupumzika ili muwe fit kuendele na safari
Hata kama wangekuwa wanatembea kwa masaa 6 kisha kupumzika mpaka siku ingine inaanza ndio wachukue miaka 40?
Niambie wewe kuna kilomita ngapi toka cairo mpaka jerusalem?
 
Back
Top Bottom