Umbo la mke wangu limebadilika baada ya kujifungua

Umbo la mke wangu limebadilika baada ya kujifungua

Wewe mbona km soda imeisha gesi? [emoji81]

Uko sawa kweli?? Ulivyomkojolea mishahawa yako ulitegemea abaki hivo hivo??

Sasa subiri huyo mtoto aanze shule, majukumu yaongezeke uone utakavyopunyuka km wasomali wa mogadishu [emoji1787][emoji81][emoji81]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni vizuri akaweka picha ya umbile la zamani wakati anampenda na picha ya umbile la sasa ili tumshauri vizuri. Hata kavideo ni sawa tu
Weka picha members wakupe miongozo... Before and after...


Cc: Mahondaw
Kama vipi namba ya mkeo wake aweke hapa ili tumwambie PUNGUZA UNENE UNAMKWAZA MUMEO, HAPENDI ULIVYONENEPEANA. Au unasemaje kuhusu hilo la namba? Akitoa mpigie
 
Wewe mbona km soda imeisha gesi? 😹

Uko sawa kweli?? Ulivyomkojolea mishahawa yako ulitegemea abaki hivo hivo??

Sasa subiri huyo mtoto aanze shule, majukumu yaongezeke uone utakavyopunyuka km wasomali wa mogadishu 🤣😹😹
😂 inatosha jirani mbona mfano n kwa ndugu zangu ?
 
Ni mwaka Sasa tangia mke wangu ajifungue lakini umbo lake limeongezeka amekuwa mnene kweli.

Ndugu zangu nyie mliwezaje ku handle hii kitu. Mimi huyu sahivi hanivutii kabisa kwa huu unene!

Mtu unamuoa akiwa mwembamba lakin mara pap hyu hapa anakuwa bonge.

Inasikitisha kwakweli.
Kwani ulimpendea nini? Tuanze hapo
 
Hapo bado hajanenepa mbona akifikisha watoto watatu utashangaa.

Ni bora azae kabisa idadi ya watoto mnaotaka kisha ndio ajipunguze mwili, mkipunguza sasa atazaa tena mnarudi kule kule..

Kuna watu wanaweza kucontrol unene baada ya uzazi wengine hawawezi
Hapo bado mbona utapenda......zaidiii subiriii
 
Ni mwaka Sasa tangia mke wangu ajifungue lakini umbo lake limeongezeka amekuwa mnene kweli.

Ndugu zangu nyie mliwezaje ku handle hii kitu. Mimi huyu sahivi hanivutii kabisa kwa huu unene!

Mtu unamuoa akiwa mwembamba lakin mara pap hyu hapa anakuwa bonge.

Inasikitisha kwakweli.
Sasa ulitaka abaki namba 8 na saa 6 wakati ameshapata mtoto?
 
Wewe mbona km soda imeisha gesi? 😹

Uko sawa kweli?? Ulivyomkojolea mishahawa yako ulitegemea abaki hivo hivo??

Sasa subiri huyo mtoto aanze shule, majukumu yaongezeke uone utakavyopunyuka km wasomali wa mogadishu 🤣😹😹
Duuu alooo lazima utakuwa single mother
 
Ni mwaka Sasa tangia mke wangu ajifungue lakini umbo lake limeongezeka amekuwa mnene kweli.

Ndugu zangu nyie mliwezaje ku handle hii kitu. Mimi huyu sahivi hanivutii kabisa kwa huu unene!

Mtu unamuoa akiwa mwembamba lakin mara pap hyu hapa anakuwa bonge.

Inasikitisha kwakweli.
Mke kawa michellin man 🤣🤣🤣🤣🤣
Mbususu kuiona mpaka usogeze tumbo lake
 
Back
Top Bottom