Umbo la mke wangu limebadilika baada ya kujifungua

Umbo la mke wangu limebadilika baada ya kujifungua

Ni mwaka Sasa tangia mke wangu ajifungue lakini umbo lake limeongezeka amekuwa mnene kweli.

Ndugu zangu nyie mliwezaje ku handle hii kitu. Mimi huyu sahivi hanivutii kabisa kwa huu unene!

Mtu unamuoa akiwa mwembamba lakin mara pap hyu hapa anakuwa bonge.

Inasikitisha kwakweli.
Hapa inadhihilisha kuwa hukumpenda mkewe ila Kuna kitu ulipenda sasaiv hukioni ndyo maana humtaki

Yaan unaishi na mwanamke katika stage ya pili ya mahusiano "power struggle" huna maarifa ya ndoa kabisa unatakiwa ujue kuhandle ya mwenzio
 
Ni mwaka Sasa tangia mke wangu ajifungue lakini umbo lake limeongezeka amekuwa mnene kweli.

Ndugu zangu nyie mliwezaje ku handle hii kitu. Mimi huyu sahivi hanivutii kabisa kwa huu unene!

Mtu unamuoa akiwa mwembamba lakin mara pap hyu hapa anakuwa bonge.

Inasikitisha kwakweli.
Na bado. Kuna vitu vingi vitabadirika. Usipokuwa mwanaume anayefaa kuwa mume utamchukia sana maana muda si mrefu hata chuchu zitakuwa kama malapa. Kiuno kama kiboko vimeungana na shingo.

Unapooa jua mwanamke akizaa kutakuwa na mabadiriko
 
Msimange na maneno kuhusu mwili wake
Mengine chakula au mpe kidogo
Mcheat ajue
Mwambie nahisi huyu mtoto sio wangu
Mwambie kwanza nilikuonea huruma ndio maana nikakuoa wala sikukupenda
Akikosea kidogo mtukane na utaje unene wake
Usilale naye kitanda kimoja lala sebuleni mwambie unene wake unamaliza space
Waambie kaka zako na dada zako wawe wanampigia mafumbo ya mwili wake wakija kukusalimia wamuite hata simtank


Hayo niliyokwambia mkuu lazima apungue arudi kwenye mwili wake fanya hivyo utakuja kunishukuru
we Jamaa kweli mswahili wa manzese, tip top ehh!
 
mwaka Sasa tangia mke wangu ajifungue lakini umbo lake limeongezeka amekuwa mnene kweli.

Ndugu zangu nyie mliwezaje ku handle hii kitu. Mimi huyu sahivi hanivutii kabisa kwa huu unene!

Mtu unamuoa akiwa mwembamba lakin mara pap hyu hapa anakuwa bonge.

Inasikitisha kwakweli.
Amekuwa kama kiboko?
 
Back
Top Bottom