Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala usisikitike. Mwanamme anaoa mwanamke akitegemea hatabadirika. Mwanamke anaolewa na mwanamme akitegemea atambadirisha. Mara nyingi matokeo yake ni kinyume na matarajio. Kaza moyo uishi na mkeo, ni wewe mwenyewe uliyemchagua na kuapa kuishi naye jua liwake au mvua inyeshe.Ni mwaka Sasa tangia mke wangu ajifungue lakini umbo lake limeongezeka amekuwa mnene kweli.
Ndugu zangu nyie mliwezaje ku handle hii kitu. Mimi huyu sahivi hanivutii kabisa kwa huu unene!
Mtu unamuoa akiwa mwembamba lakin mara pap hyu hapa anakuwa bonge.
Inasikitisha kwakweli.
Kama ulimpendea umbo tu mzee ishakula kwako na bado apo wanakuwaga mabonge kama viboko.Ni mwaka Sasa tangia mke wangu ajifungue lakini umbo lake limeongezeka amekuwa mnene kweli.
Ndugu zangu nyie mliwezaje ku handle hii kitu. Mimi huyu sahivi hanivutii kabisa kwa huu unene!
Mtu unamuoa akiwa mwembamba lakin mara pap hyu hapa anakuwa bonge.
Inasikitisha kwakweli.
Siku wanaume huwapeleka wake zao kutengenezwa shape baada ya uzazi tumboYaani mwanamke ajifungue anenepe akafanyie surgery, akili ya wapi hiyo?
na akijifungua tena na tena???
Mtoto akikua anaweza kupungua ila kama hana stress itakua ngumuNi mwaka Sasa tangia mke wangu ajifungue lakini umbo lake limeongezeka amekuwa mnene kweli.
Ndugu zangu nyie mliwezaje ku handle hii kitu. Mimi huyu sahivi hanivutii kabisa kwa huu unene!
Mtu unamuoa akiwa mwembamba lakin mara pap hyu hapa anakuwa bonge.
Inasikitisha kwakweli.
Unakuta unaandika haya na wewe ukiwa na bonge moja la ndambi anyways , anzeni kufanya mazoezi na mzingatie diet.Ni mwaka Sasa tangia mke wangu ajifungue lakini umbo lake limeongezeka amekuwa mnene kweli.
Ndugu zangu nyie mliwezaje ku handle hii kitu. Mimi huyu sahivi hanivutii kabisa kwa huu unene!
Mtu unamuoa akiwa mwembamba lakin mara pap hyu hapa anakuwa bonge.
Inasikitisha kwakweli.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Msimange na maneno kuhusu mwili wake
Mengine chakula au mpe kidogo
Mcheat ajue
Mwambie nahisi huyu mtoto sio wangu
Mwambie kwanza nilikuonea huruma ndio maana nikakuoa wala sikukupenda
Akikosea kidogo mtukane na utaje unene wake
Usilale naye kitanda kimoja lala sebuleni mwambie unene wake unamaliza space
Waambie kaka zako na dada zako wawe wanampigia mafumbo ya mwili wake wakija kukusalimia wamuite hata simtank
Hayo niliyokwambia mkuu lazima apungue arudi kwenye mwili wake fanya hivyo utakuja kunishukuru
Huu sasa ni utoto. Je mtoto ana kuvutia? Ukimuangalia mtoto unajisikiaje?Ni mwaka Sasa tangia mke wangu ajifungue lakini umbo lake limeongezeka amekuwa mnene kweli.
Ndugu zangu nyie mliwezaje ku handle hii kitu. Mimi huyu sahivi hanivutii kabisa kwa huu unene!
Mtu unamuoa akiwa mwembamba lakin mara pap hyu hapa anakuwa bonge.
Inasikitisha kwakweli.
ahahaha et man to man nimecheka mie jaman loooh JF is a nice place to be. ukiwa na stress chukua kiti sogea karibu na JFKaa nae chini muongee, mwite mwambie baby let's talk man to man
Hukuwa unalitambua hili kabla hujaoa? Ni muda sasa umefika vijana wa kiume mfanyiwe kitchen party.Ni mwaka Sasa tangia mke wangu ajifungue lakini umbo lake limeongezeka amekuwa mnene kweli.
Ndugu zangu nyie mliwezaje ku handle hii kitu. Mimi huyu sahivi hanivutii kabisa kwa huu unene!
Mtu unamuoa akiwa mwembamba lakin mara pap hyu hapa anakuwa bonge.
Inasikitisha kwakweli.
wakati wa ujauzito mwili huifadhi vimiminika (maji na damu)vya ziada ili kuwezesha ukuaji wa mimba hii hipelekea misuli ya tumbo kutanuka kabla na mara baada ya kujifungua( sasa hapa asipofanya mazoezi kutokana na lifestyle after birth hupelkea kuongezeka mwili
We ni ke au me!!, maana unajua mipasho kweli kweli mmmh!!,lkn si poa hivyo.Msimange na maneno kuhusu mwili wake
Mengine chakula au mpe kidogo
Mcheat ajue
Mwambie nahisi huyu mtoto sio wangu
Mwambie kwanza nilikuonea huruma ndio maana nikakuoa wala sikukupenda
Akikosea kidogo mtukane na utaje unene wake
Usilale naye kitanda kimoja lala sebuleni mwambie unene wake unamaliza space
Waambie kaka zako na dada zako wawe wanampigia mafumbo ya mwili wake wakija kukusalimia wamuite hata simtank
Hayo niliyokwambia mkuu lazima apungue arudi kwenye mwili wake fanya hivyo utakuja kunishukuru
Kwani we ulioa wembamba au mke?,,tambua kuwa mabadiliko ni kawaida,usimwache kwa sababu hizo za kipuuzi,utakuwa wa ajabu sana katika jamii,,kwa fikra hizo potofu utaacha wengi sana.,alafu jikite katika imani yako kikamilifu,utaishinda hii mitazamo ya ovyo.Ni mwaka Sasa tangia mke wangu ajifungue lakini umbo lake limeongezeka amekuwa mnene kweli.
Ndugu zangu nyie mliwezaje ku handle hii kitu. Mimi huyu sahivi hanivutii kabisa kwa huu unene!
Mtu unamuoa akiwa mwembamba lakin mara pap hyu hapa anakuwa bonge.
Inasikitisha kwakweli.
Huyo ni chaguo lako, sasa unataka umpe nani?. RubbishNi mwaka Sasa tangia mke wangu ajifungue lakini umbo lake limeongezeka amekuwa mnene kweli.
Ndugu zangu nyie mliwezaje ku handle hii kitu. Mimi huyu sahivi hanivutii kabisa kwa huu unene!
Mtu unamuoa akiwa mwembamba lakin mara pap hyu hapa anakuwa bonge.
Inasikitisha kwakweli.
Mkuu nataka ushauri tuHuyo ni chaguo lako, sasa unataka umpe nani?. Rubbish
We mzabzab unayasemea matumbo yetu yamekukosea nini?Mke kawa michellin man 🤣🤣🤣🤣🤣
Mbususu kuiona mpaka usogeze tumbo lake