Umbo la mke wangu limebadilika baada ya kujifungua

Umbo la mke wangu limebadilika baada ya kujifungua

Ni mwaka Sasa tangia mke wangu ajifungue lakini umbo lake limeongezeka amekuwa mnene kweli.

Ndugu zangu nyie mliwezaje ku handle hii kitu. Mimi huyu sahivi hanivutii kabisa kwa huu unene!

Mtu unamuoa akiwa mwembamba lakin mara pap hyu hapa anakuwa bonge.

Inasikitisha kwakweli.
Wala usisikitike. Mwanamme anaoa mwanamke akitegemea hatabadirika. Mwanamke anaolewa na mwanamme akitegemea atambadirisha. Mara nyingi matokeo yake ni kinyume na matarajio. Kaza moyo uishi na mkeo, ni wewe mwenyewe uliyemchagua na kuapa kuishi naye jua liwake au mvua inyeshe.
 
Ni mwaka Sasa tangia mke wangu ajifungue lakini umbo lake limeongezeka amekuwa mnene kweli.

Ndugu zangu nyie mliwezaje ku handle hii kitu. Mimi huyu sahivi hanivutii kabisa kwa huu unene!

Mtu unamuoa akiwa mwembamba lakin mara pap hyu hapa anakuwa bonge.

Inasikitisha kwakweli.
Kama ulimpendea umbo tu mzee ishakula kwako na bado apo wanakuwaga mabonge kama viboko.
Kuinusuru ndoa tafuta kitu kingine cha kumpendea haraka sana.
 
Yaani mwanamke ajifungue anenepe akafanyie surgery, akili ya wapi hiyo?
na akijifungua tena na tena???
Siku wanaume huwapeleka wake zao kutengenezwa shape baada ya uzazi tumbo
Linatolewa ndio ugharamike
 
Ni mwaka Sasa tangia mke wangu ajifungue lakini umbo lake limeongezeka amekuwa mnene kweli.

Ndugu zangu nyie mliwezaje ku handle hii kitu. Mimi huyu sahivi hanivutii kabisa kwa huu unene!

Mtu unamuoa akiwa mwembamba lakin mara pap hyu hapa anakuwa bonge.

Inasikitisha kwakweli.
Mtoto akikua anaweza kupungua ila kama hana stress itakua ngumu
 
Ni mwaka Sasa tangia mke wangu ajifungue lakini umbo lake limeongezeka amekuwa mnene kweli.

Ndugu zangu nyie mliwezaje ku handle hii kitu. Mimi huyu sahivi hanivutii kabisa kwa huu unene!

Mtu unamuoa akiwa mwembamba lakin mara pap hyu hapa anakuwa bonge.

Inasikitisha kwakweli.
Unakuta unaandika haya na wewe ukiwa na bonge moja la ndambi anyways , anzeni kufanya mazoezi na mzingatie diet.
 
Msimange na maneno kuhusu mwili wake
Mengine chakula au mpe kidogo
Mcheat ajue
Mwambie nahisi huyu mtoto sio wangu
Mwambie kwanza nilikuonea huruma ndio maana nikakuoa wala sikukupenda
Akikosea kidogo mtukane na utaje unene wake
Usilale naye kitanda kimoja lala sebuleni mwambie unene wake unamaliza space
Waambie kaka zako na dada zako wawe wanampigia mafumbo ya mwili wake wakija kukusalimia wamuite hata simtank


Hayo niliyokwambia mkuu lazima apungue arudi kwenye mwili wake fanya hivyo utakuja kunishukuru
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ni mwaka Sasa tangia mke wangu ajifungue lakini umbo lake limeongezeka amekuwa mnene kweli.

Ndugu zangu nyie mliwezaje ku handle hii kitu. Mimi huyu sahivi hanivutii kabisa kwa huu unene!

Mtu unamuoa akiwa mwembamba lakin mara pap hyu hapa anakuwa bonge.

Inasikitisha kwakweli.
Huu sasa ni utoto. Je mtoto ana kuvutia? Ukimuangalia mtoto unajisikiaje?
 
Kaa nae chini muongee, mwite mwambie baby let's talk man to man
ahahaha et man to man nimecheka mie jaman loooh JF is a nice place to be. ukiwa na stress chukua kiti sogea karibu na JF
 
Ni mwaka Sasa tangia mke wangu ajifungue lakini umbo lake limeongezeka amekuwa mnene kweli.

Ndugu zangu nyie mliwezaje ku handle hii kitu. Mimi huyu sahivi hanivutii kabisa kwa huu unene!

Mtu unamuoa akiwa mwembamba lakin mara pap hyu hapa anakuwa bonge.

Inasikitisha kwakweli.
Hukuwa unalitambua hili kabla hujaoa? Ni muda sasa umefika vijana wa kiume mfanyiwe kitchen party.
 
Huyo naweza kuwa namjua kama anafanya kazi, Niko naye offisini hapa.

Lakini ushauri Kwa wasiooa na wanatafuta mke na wanapenda wembamba. Usidanganyike Kwa Hali yake ya Sasa, Chungunza familia yake kwanza mama, dada, shangazi na Hata bibi zake. Ukiona wembamba Kwa level yako ya ustahimilivu chukua, maana na yeye akizaa uwezekano wa kuwa mnene kupitikiza ni nadra sana.

Kwa Sasa nakushauri mtengenezee mawazo aka stress akinyauka Kwa kiwango chako unaregeza kamba(jinsi ya kutengeneza stress si husiki)
 
DR SANTOS Dr Nyimwa ni kwamba lazima mwanamke awe mnene baada ya kujifungua au vipi?

Kitaalam hii imekaa vipi?

Changamoto kweli.
wakati wa ujauzito mwili huifadhi vimiminika (maji na damu)vya ziada ili kuwezesha ukuaji wa mimba hii hipelekea misuli ya tumbo kutanuka kabla na mara baada ya kujifungua( sasa hapa asipofanya mazoezi kutokana na lifestyle after birth hupelkea kuongezeka mwili

Pia mabadiliko homoni (yanaweza kukufanya unenepe ama ubaki kawaida tu)

Ikiwa homoni (estrogen &progesterone) zikiongezeka baada ya mwanamke kujifungua hufanya mwanamke anenepe na vice versa.
 
Msimange na maneno kuhusu mwili wake
Mengine chakula au mpe kidogo
Mcheat ajue
Mwambie nahisi huyu mtoto sio wangu
Mwambie kwanza nilikuonea huruma ndio maana nikakuoa wala sikukupenda
Akikosea kidogo mtukane na utaje unene wake
Usilale naye kitanda kimoja lala sebuleni mwambie unene wake unamaliza space
Waambie kaka zako na dada zako wawe wanampigia mafumbo ya mwili wake wakija kukusalimia wamuite hata simtank


Hayo niliyokwambia mkuu lazima apungue arudi kwenye mwili wake fanya hivyo utakuja kunishukuru
We ni ke au me!!, maana unajua mipasho kweli kweli mmmh!!,lkn si poa hivyo.
 
Ni mwaka Sasa tangia mke wangu ajifungue lakini umbo lake limeongezeka amekuwa mnene kweli.

Ndugu zangu nyie mliwezaje ku handle hii kitu. Mimi huyu sahivi hanivutii kabisa kwa huu unene!

Mtu unamuoa akiwa mwembamba lakin mara pap hyu hapa anakuwa bonge.

Inasikitisha kwakweli.
Kwani we ulioa wembamba au mke?,,tambua kuwa mabadiliko ni kawaida,usimwache kwa sababu hizo za kipuuzi,utakuwa wa ajabu sana katika jamii,,kwa fikra hizo potofu utaacha wengi sana.,alafu jikite katika imani yako kikamilifu,utaishinda hii mitazamo ya ovyo.
 
Ni mwaka Sasa tangia mke wangu ajifungue lakini umbo lake limeongezeka amekuwa mnene kweli.

Ndugu zangu nyie mliwezaje ku handle hii kitu. Mimi huyu sahivi hanivutii kabisa kwa huu unene!

Mtu unamuoa akiwa mwembamba lakin mara pap hyu hapa anakuwa bonge.

Inasikitisha kwakweli.
Huyo ni chaguo lako, sasa unataka umpe nani?. Rubbish
 
Back
Top Bottom