Umbo la mke wangu limebadilika baada ya kujifungua

Umbo la mke wangu limebadilika baada ya kujifungua

Ni mwaka Sasa tangia mke wangu ajifungue lakini umbo lake limeongezeka amekuwa mnene kweli.

Ndugu zangu nyie mliwezaje ku handle hii kitu. Mimi huyu sahivi hanivutii kabisa kwa huu unene!

Mtu unamuoa akiwa mwembamba lakin mara pap hyu hapa anakuwa bonge.

Inasikitisha kwakweli.
Piga chini
 
Ni mwaka Sasa tangia mke wangu ajifungue lakini umbo lake limeongezeka amekuwa mnene kweli.

Ndugu zangu nyie mliwezaje ku handle hii kitu. Mimi huyu sahivi hanivutii kabisa kwa huu unene!

Mtu unamuoa akiwa mwembamba lakin mara pap hyu hapa anakuwa bonge.

Inasikitisha kwakweli.
Kama kala bomu! Halafu likalipuka!
Hahahahah
Uzazi huo ndugu, mtoto akikuwa mfanye mazoezi! Vumilia
Hahahahaha
 
Ni mwaka Sasa tangia mke wangu ajifungue lakini umbo lake limeongezeka amekuwa mnene kweli.

Ndugu zangu nyie mliwezaje ku handle hii kitu. Mimi huyu sahivi hanivutii kabisa kwa huu unene!

Mtu unamuoa akiwa mwembamba lakin mara pap hyu hapa anakuwa bonge.

Inasikitisha kwakweli.
Kwani ndugu ulitoroka kundi la kataa ndoa na kutorokea kundi la ndoa?Kwenye ndoa ni kuwa mmekubaliana kwenye shida na raha,na hali zingine kama hizo.Kama ni kundi la kataa ndoa je ulimtambilisha mwenzio kabla ya kuingia kwenye ndoa kama ulikuwa kundi kataa ndoa?
 
Msimange na maneno kuhusu mwili wake
Mengine chakula au mpe kidogo
Mcheat ajue
Mwambie nahisi huyu mtoto sio wangu
Mwambie kwanza nilikuonea huruma ndio maana nikakuoa wala sikukupenda
Akikosea kidogo mtukane na utaje unene wake
Usilale naye kitanda kimoja lala sebuleni mwambie unene wake unamaliza space
Waambie kaka zako na dada zako wawe wanampigia mafumbo ya mwili wake wakija kukusalimia wamuite hata simtank


Hayo niliyokwambia mkuu lazima apungue arudi kwenye mwili wake fanya hivyo utakuja kunishukuru
Duh🤔
 
Msimange na maneno kuhusu mwili wake
Mengine chakula au mpe kidogo
Mcheat ajue
Mwambie nahisi huyu mtoto sio wangu
Mwambie kwanza nilikuonea huruma ndio maana nikakuoa wala sikukupenda
Akikosea kidogo mtukane na utaje unene wake
Usilale naye kitanda kimoja lala sebuleni mwambie unene wake unamaliza space
Waambie kaka zako na dada zako wawe wanampigia mafumbo ya mwili wake wakija kukusalimia wamuite hata simtank


Hayo niliyokwambia mkuu lazima apungue arudi kwenye mwili wake fanya hivyo utakuja kunishukuru
Huu ushauri naona Kuna vitu baadh naweza vifanyia kazi.
 

Attachments

  • Screenshot_20250217-195543.jpg
    Screenshot_20250217-195543.jpg
    206.2 KB · Views: 3
Msimange na maneno kuhusu mwili wake
Mengine chakula au mpe kidogo
Mcheat ajue
Mwambie nahisi huyu mtoto sio wangu
Mwambie kwanza nilikuonea huruma ndio maana nikakuoa wala sikukupenda
Akikosea kidogo mtukane na utaje unene wake
Usilale naye kitanda kimoja lala sebuleni mwambie unene wake unamaliza space
Waambie kaka zako na dada zako wawe wanampigia mafumbo ya mwili wake wakija kukusalimia wamuite hata simtank


Hayo niliyokwambia mkuu lazima apungue arudi kwenye mwili wake fanya hivyo utakuja kunishukuru
Dah🥹
 
Ni mwaka Sasa tangia mke wangu ajifungue lakini umbo lake limeongezeka amekuwa mnene kweli.

Ndugu zangu nyie mliwezaje ku handle hii kitu. Mimi huyu sahivi hanivutii kabisa kwa huu unene!

Mtu unamuoa akiwa mwembamba lakin mara pap hyu hapa anakuwa bonge.

Inasikitisha kwakweli.


Una utoto sana, bado hujawa mwanaume kamili, nyoko wee
 
Back
Top Bottom