Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Ametaka solution nimempa solutionWe ni ke au me!!, maana unajua mipasho kweli kweli mmmh!!,lkn si poa hivyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ametaka solution nimempa solutionWe ni ke au me!!, maana unajua mipasho kweli kweli mmmh!!,lkn si poa hivyo.
Tumbo sawa lakini lisiwe lakusukuma ndio nione mbususu.We mzabzab unayasemea matumbo yetu yamekukosea nini?
Piga chiniNi mwaka Sasa tangia mke wangu ajifungue lakini umbo lake limeongezeka amekuwa mnene kweli.
Ndugu zangu nyie mliwezaje ku handle hii kitu. Mimi huyu sahivi hanivutii kabisa kwa huu unene!
Mtu unamuoa akiwa mwembamba lakin mara pap hyu hapa anakuwa bonge.
Inasikitisha kwakweli.
Kama kala bomu! Halafu likalipuka!Ni mwaka Sasa tangia mke wangu ajifungue lakini umbo lake limeongezeka amekuwa mnene kweli.
Ndugu zangu nyie mliwezaje ku handle hii kitu. Mimi huyu sahivi hanivutii kabisa kwa huu unene!
Mtu unamuoa akiwa mwembamba lakin mara pap hyu hapa anakuwa bonge.
Inasikitisha kwakweli.
Kwani ndugu ulitoroka kundi la kataa ndoa na kutorokea kundi la ndoa?Kwenye ndoa ni kuwa mmekubaliana kwenye shida na raha,na hali zingine kama hizo.Kama ni kundi la kataa ndoa je ulimtambilisha mwenzio kabla ya kuingia kwenye ndoa kama ulikuwa kundi kataa ndoa?Ni mwaka Sasa tangia mke wangu ajifungue lakini umbo lake limeongezeka amekuwa mnene kweli.
Ndugu zangu nyie mliwezaje ku handle hii kitu. Mimi huyu sahivi hanivutii kabisa kwa huu unene!
Mtu unamuoa akiwa mwembamba lakin mara pap hyu hapa anakuwa bonge.
Inasikitisha kwakweli.
Kaka tulikubaliana hamna kuoa mwanamke mwenye mtotoNipee pass kwa kunipa namba yake mkurungwa niishi nae we utafute kibinti kingine muanze upya kasiko na tumbo wala nyamanyama
Duh🤔Msimange na maneno kuhusu mwili wake
Mengine chakula au mpe kidogo
Mcheat ajue
Mwambie nahisi huyu mtoto sio wangu
Mwambie kwanza nilikuonea huruma ndio maana nikakuoa wala sikukupenda
Akikosea kidogo mtukane na utaje unene wake
Usilale naye kitanda kimoja lala sebuleni mwambie unene wake unamaliza space
Waambie kaka zako na dada zako wawe wanampigia mafumbo ya mwili wake wakija kukusalimia wamuite hata simtank
Hayo niliyokwambia mkuu lazima apungue arudi kwenye mwili wake fanya hivyo utakuja kunishukuru
Hafu tugawane hichi kiduku Cha nyumba? Hio hapanaPiga chini
Huu ushauri naona Kuna vitu baadh naweza vifanyia kazi.Msimange na maneno kuhusu mwili wake
Mengine chakula au mpe kidogo
Mcheat ajue
Mwambie nahisi huyu mtoto sio wangu
Mwambie kwanza nilikuonea huruma ndio maana nikakuoa wala sikukupenda
Akikosea kidogo mtukane na utaje unene wake
Usilale naye kitanda kimoja lala sebuleni mwambie unene wake unamaliza space
Waambie kaka zako na dada zako wawe wanampigia mafumbo ya mwili wake wakija kukusalimia wamuite hata simtank
Hayo niliyokwambia mkuu lazima apungue arudi kwenye mwili wake fanya hivyo utakuja kunishukuru
Hio hapo mkuuTupia picha yake ndo tujue jinsi ya kukushauri
Kuchepuka hio haipngiki mkuu hata angebaki kama alivyokuja awaliSoon utaanza kuchepuka sasa!
Dah🥹Msimange na maneno kuhusu mwili wake
Mengine chakula au mpe kidogo
Mcheat ajue
Mwambie nahisi huyu mtoto sio wangu
Mwambie kwanza nilikuonea huruma ndio maana nikakuoa wala sikukupenda
Akikosea kidogo mtukane na utaje unene wake
Usilale naye kitanda kimoja lala sebuleni mwambie unene wake unamaliza space
Waambie kaka zako na dada zako wawe wanampigia mafumbo ya mwili wake wakija kukusalimia wamuite hata simtank
Hayo niliyokwambia mkuu lazima apungue arudi kwenye mwili wake fanya hivyo utakuja kunishukuru
Nini tena mremboDah🥹
Vifanyie vyote kwa suluhu ya harakaHuu ushauri naona Kuna vitu baadh naweza vifanyia kazi.
Nini we mkenyaDuh🤔
Ni mwaka Sasa tangia mke wangu ajifungue lakini umbo lake limeongezeka amekuwa mnene kweli.
Ndugu zangu nyie mliwezaje ku handle hii kitu. Mimi huyu sahivi hanivutii kabisa kwa huu unene!
Mtu unamuoa akiwa mwembamba lakin mara pap hyu hapa anakuwa bonge.
Inasikitisha kwakweli.
🤣🤣Kaka tulikubaliana hamna kuoa mwanamke mwenye mtoto