Umbo la mke wangu limebadilika baada ya kujifungua

Piga chini
 
Kama kala bomu! Halafu likalipuka!
Hahahahah
Uzazi huo ndugu, mtoto akikuwa mfanye mazoezi! Vumilia
Hahahahaha
 
Kwani ndugu ulitoroka kundi la kataa ndoa na kutorokea kundi la ndoa?Kwenye ndoa ni kuwa mmekubaliana kwenye shida na raha,na hali zingine kama hizo.Kama ni kundi la kataa ndoa je ulimtambilisha mwenzio kabla ya kuingia kwenye ndoa kama ulikuwa kundi kataa ndoa?
 
Duh🤔
 
Huu ushauri naona Kuna vitu baadh naweza vifanyia kazi.
 
Dah🥹
 


Una utoto sana, bado hujawa mwanaume kamili, nyoko wee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…