Hapa inadhihilisha kuwa hukumpenda mkewe ila Kuna kitu ulipenda sasaiv hukioni ndyo maana humtakiNi mwaka Sasa tangia mke wangu ajifungue lakini umbo lake limeongezeka amekuwa mnene kweli.
Ndugu zangu nyie mliwezaje ku handle hii kitu. Mimi huyu sahivi hanivutii kabisa kwa huu unene!
Mtu unamuoa akiwa mwembamba lakin mara pap hyu hapa anakuwa bonge.
Inasikitisha kwakweli.
Na bado. Kuna vitu vingi vitabadirika. Usipokuwa mwanaume anayefaa kuwa mume utamchukia sana maana muda si mrefu hata chuchu zitakuwa kama malapa. Kiuno kama kiboko vimeungana na shingo.Ni mwaka Sasa tangia mke wangu ajifungue lakini umbo lake limeongezeka amekuwa mnene kweli.
Ndugu zangu nyie mliwezaje ku handle hii kitu. Mimi huyu sahivi hanivutii kabisa kwa huu unene!
Mtu unamuoa akiwa mwembamba lakin mara pap hyu hapa anakuwa bonge.
Inasikitisha kwakweli.
we Jamaa kweli mswahili wa manzese, tip top ehh!Msimange na maneno kuhusu mwili wake
Mengine chakula au mpe kidogo
Mcheat ajue
Mwambie nahisi huyu mtoto sio wangu
Mwambie kwanza nilikuonea huruma ndio maana nikakuoa wala sikukupenda
Akikosea kidogo mtukane na utaje unene wake
Usilale naye kitanda kimoja lala sebuleni mwambie unene wake unamaliza space
Waambie kaka zako na dada zako wawe wanampigia mafumbo ya mwili wake wakija kukusalimia wamuite hata simtank
Hayo niliyokwambia mkuu lazima apungue arudi kwenye mwili wake fanya hivyo utakuja kunishukuru
Atakuwa kamchoka sana, yaani anamuona ni man to man? Siyo man to woman?Kaa nae chini muongee, mwite mwambie baby let's talk man to man
Born and raisewe Jamaa kweli mswahili wa manzese, tip top ehh!
Yesu una mjua?, juma Cha ulevi?Born and raise
Amekuwa kama kiboko?mwaka Sasa tangia mke wangu ajifungue lakini umbo lake limeongezeka amekuwa mnene kweli.
Ndugu zangu nyie mliwezaje ku handle hii kitu. Mimi huyu sahivi hanivutii kabisa kwa huu unene!
Mtu unamuoa akiwa mwembamba lakin mara pap hyu hapa anakuwa bonge.
Inasikitisha kwakweli.
A jew guy died broke with no hoes why do we even look up to him?Yesu una mjua?, juma Cha ulevi?
Yesu yule Jamaa mwenye rasi maarufu Sana hapo tip top.A
A jew guy died broke with no hoes why do we even look up to him?
πππ Yesu huyo kumbe .mitaa yako nini ?Yesu yule Jamaa mwenye rasi maarufu Sana hapo tip top.
pale kwenye maduka ya mchele wanapo beba mizigo ya mchele, ma brother wote wale.
Nawa manya tu π€£π, tuki kutana mizinguo kibao.πππ Yesu huyo kumbe .mitaa yako nini ?