Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
Sasa mimi Sina mpnzi wala mwandani nawezaje kusavi madangaMoja kati ya vitu vizuri na kuvutia zaidi ni kuona jina zuri aliloku sev mwandani wako
Mbali na kutia faraja ila pia huleta hari kujihisi furaha kwa mwenza
Je umesev vipi jina la kipenzi chako?
😊 good night african beauty Bantu Lady
Nyiewengine lolote liwakute😅
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huenda na mie nimsave shemela ako.Mambo ya Wakubwa hayo Dogo...Ukifika utaelewa..
Kwa sasa tulia kwanza[emoji1787]
Wanawake unaweza kuwagawa kwa makundi kwa jinsi tu wanavyo waita waume zao, wanawake kama nyie mko sensitive sana na mapenzi.Jina lake tu linatosha…
Hakuna kitu kinanipa raha kama kumuita mpenzi wangu jina lake
Mpaka sasa mzani ni 50/50Jitahidi usiwe Kijana wa hovyo tu 😜
inbox umeifunga nashindwa kukupataUnanizingua tu
Hata sas ukitakaa
Mpaka sasa sina makuu ila huwezi jua future imeniandalia nini.
Stick on thatMpaka sasa sina makuu ila huwezi jua future imeniandalia nini.
Hongera kwa wazazi wangu kwa msingi mzuri wa malezi yaliyonifanya niwe hivi hadi sasa.Stick on that
Wazee hufurahia sana kupata watoto wanao watii na wasio na Makuu
Hongera sana Mkuu
Hahahahaha..swahiba we ume save vipi sijaona ukisemaMambo ya Wakubwa hayo Dogo...Ukifika utaelewa..
Kwa sasa tulia kwanza[emoji1787]
Update iwe ‘Lovely GG my love♥️...
Her mkisi 🤣
Mungu awape maisha marefuHongera kwa wazazi wangu kwa msingi mzuri wa malezi yaliyonifanya niwe hivi hadi sasa.
Nimemsave Mali Swahiba[emoji7]Hahahahaha..swahiba we ume save vipi sijaona ukisema
Hahahahaha...imekaa vzr sana hii SwahibaNimemsave Mali Swahiba[emoji7]
Ahsante Swahiba...Hahahahaha...imekaa vzr sana hii Swahiba