Kai_andrew
New Member
- Oct 10, 2023
- 4
- 1
Mimi nimebaini kitu kimoja tu hapa!! Wahuni siyo watu wazuri hata kidogo.Uwanja wa Mkapa ulijengwa kwa ushirikiano wa Serikali ya #Tanzania na #China, mpango uliopo mezani ni mchakato wa ujenzi wa uwanja mwingine wa kisasa ambao Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu Utamaduni na Michezo imesema itawasilisha mapendekezo uitwe Uwanja wa Samia Suluhu Hassan.
Pia, Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo nayo ilieleza mipango iliyopo ni kuwa Uwanja wa Samia ukamilike kabla ya Mwaka 2027 ili utumike kwenye Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON).
Uwanja wa Mkapa
Mkoa: Dar es Salaam
Idadi ya siti: 60,000
Ulizinduliwa: Mwaka 2007
Gharama za Ujenzi: Dola Milioni 56 (Tsh. Bilioni 64 wakati huo)
Umiliki: Serikali ya Tanzania
Mkandarasi: Beijing Construction Engineering Group (BCEG)
Uwanja wa Samia
Mkoa: Arusha
Idadi ya Siti: 30,000
Kuzinduliwa: Kati ya Mwaka 2025 hadi 2027
Gharama za Ujenzi: Dola Milioni 112 (Tsh Bilioni 286) kabla ya kodi
Umiliki: Serikali ya Tanzania
Mkandarasi: China Railway Construction Engineering Group (CRCEG)
View attachment 2940937
View attachment 2940938
Muonekano wa Uwanja wa Samia unavyotarajiwa
View attachment 2940941
Uwanja wa Mkapa
Sikubali Smart Awamu hii ukienda A town namie twende wote nikaione jeniva ov Afurika🤠
Usijali sweetheart...Sikubali Smart Awamu hii ukienda A town namie twende wote nikaione jeniva ov Afurika🤠
💃🕺😁😁Usijali sweetheart...
Ndio tofauti iwe bilioni 200?Hii nchi wajinga ni wengi sana. Yani kabisa mtu unalinganisha gharama za miaka 17 iliyopita na leo hii?
Mfano mdogo, mfuko mmoja wa cement mwaka 2007 ulikuwa bei gani na leo hii ni bei gani? Kibarua atakayepewa kazi pale atalipwa sawa na 2007? Hapo hatujaongelea skilled labor.
Wakati mwingine ni vyema kutumia akili kabla ya kupinga kila kitu.
Nilidhani utakuwa na idadi kubwa kuliko wa mkapa ,your projects do not think about future generationsUwanja wa Mkapa ulijengwa kwa ushirikiano wa Serikali ya #Tanzania na #China, mpango uliopo mezani ni mchakato wa ujenzi wa uwanja mwingine wa kisasa ambao Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu Utamaduni na Michezo imesema itawasilisha mapendekezo uitwe Uwanja wa Samia Suluhu Hassan.
Pia, Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo nayo ilieleza mipango iliyopo ni kuwa Uwanja wa Samia ukamilike kabla ya Mwaka 2027 ili utumike kwenye Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON).
Uwanja wa Mkapa
Mkoa: Dar es Salaam
Idadi ya siti: 60,000
Ulizinduliwa: Mwaka 2007
Gharama za Ujenzi: Dola Milioni 56 (Tsh. Bilioni 64 wakati huo)
Umiliki: Serikali ya Tanzania
Mkandarasi: Beijing Construction Engineering Group (BCEG)
Uwanja wa Samia
Mkoa: Arusha
Idadi ya Siti: 30,000
Kuzinduliwa: Kati ya Mwaka 2025 hadi 2027
Gharama za Ujenzi: Dola Milioni 112 (Tsh Bilioni 286) kabla ya kodi
Umiliki: Serikali ya Tanzania
Mkandarasi: China Railway Construction Engineering Group (CRCEG)
View attachment 2940937
View attachment 2940938
Muonekano wa Uwanja wa Samia unavyotarajiwa
View attachment 2940941
Uwanja wa Mkapa
200760k vs 30k
bajeti
Hata mimi kwa tathmini ninaona hio ndio thamani halisi ya 30k capacity Arena. Ingekuwa 60K ndio ingefika kwenye 100B kihaki tu.ni kweli gharama zimepanda, ila kiuhalisi thamani halisi ya uwanja wenye capacity ya 30k kwa standard zetu ni $60m, haizidi hapo!
kikawaida kiti kimoja kinagharimu $1000 (ndio simple calculation ya viwanja ilivyo), so at maximum uwanja wa 30k unaojengwa tanzania (nchi ambayo maeneo wazi ni mengi wala hulipi fidia) haikutakiwa kyzidi $60m
Inashangaza mno, hebu waza nyumba tu ya room 3 ya ukubwa wa 9×12 kama mwaka 2007 ilikuwa inakamilika kwa 40M hadi finishing, mtu akikwambia kwamba leo atakujengea nyumba nyingine mpya ya vyumba viwili ya 8×10 lakini gharama zitakuwa 160M utakubali?Ndio tofauti iwe bilioni 200?
Hivi sasa ndio watu wanapiga pesa balaa yaani inafikilisha sana imagineInashangaza mno, hebu waza nyumba tu ya room 3 ya ukubwa wa 9×12 kama mwaka 2007 ilikuwa inakamilika kwa 40M hadi finishing, mtu akikwambia kwamba leo atakujengea nyumba nyingine mpya ya vyumba viwili ya 8×10 lakini gharama zitakuwa 160M utakubali?
Kigezo akwambie dollar imepanda sijui material na cement bei iko juu. Hivi inaingia akilini kweli hio?
Duuuh,na hapa umetumia akili???Hii nchi wajinga ni wengi sana. Yani kabisa mtu unalinganisha gharama za miaka 17 iliyopita na leo hii?
Mfano mdogo, mfuko mmoja wa cement mwaka 2007 ulikuwa bei gani na leo hii ni bei gani? Kibarua atakayepewa kazi pale atalipwa sawa na 2007? Hapo hatujaongelea skilled labor.
Wakati mwingine ni vyema kutumia akili kabla ya kupinga kila kitu.
Value ya hela miaka20 iliyopota ni ile ile ya leo? Billions 60 miaka 20.iliyopita unajua leo itakuwa kiasi gani?Duh! Yani uwanja wa Benjamin Mkapa wenye capacity ya 60,000 thamani yake inaingia mara 4 na upuuzi kwenye huu uwanja wa capacity ya watu 30,000!
Haya maajabu, ngojea tuuone huo uwanja mpya!