ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,698
- 4,488
Hujawahi kua engineer wala hujui contract ina vitu ganiNdio liwe ongezeko la bilioni mia mbili kwa nusu kazi ndugu yangu, bora tuendelee kuitwa wajinga lakini sio kuingizwa sipo aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujawahi kua engineer wala hujui contract ina vitu ganiNdio liwe ongezeko la bilioni mia mbili kwa nusu kazi ndugu yangu, bora tuendelee kuitwa wajinga lakini sio kuingizwa sipo aisee
Tofauti zaidi ya billion 200. Hapo ni kusema uwanja mdogo umeumeza uwanja mkubwa zaidi ya mara nne kwa bajeti ya ujenzi ili hali ni mdogo mara mbili ya ule wa zamani.
Yajayo yanafurahisha.
Dollars za kimarekani zimepanda tofauti na kipndi Benjamin William mkapa stadium unajengwa ila licha ya hivyo upigaji ni mkubwa wapi Lucas
Dodoma ni sh 19,000 mfuko mmoja wa saruji.Wapi huko mkuu kwa 17000?