Umebaini tofauti gani Uwanja wa Mkapa na Uwanja wa Samia unaotarajiwa kujengwa Arusha?

Ndio liwe ongezeko la bilioni mia mbili kwa nusu kazi ndugu yangu, bora tuendelee kuitwa wajinga lakini sio kuingizwa sipo aisee
Hujawahi kua engineer wala hujui contract ina vitu gani
 
Tofauti zaidi ya billion 200. Hapo ni kusema uwanja mdogo umeumeza uwanja mkubwa zaidi ya mara nne kwa bajeti ya ujenzi ili hali ni mdogo mara mbili ya ule wa zamani.

Yajayo yanafurahisha.
Dollars za kimarekani zimepanda tofauti na kipndi Benjamin William mkapa stadium unajengwa ila licha ya hivyo upigaji ni mkubwa wapi Lucas

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…