Umegharamia bill zote ila bado anataka umlipe...

Umegharamia bill zote ila bado anataka umlipe...

Kwani alikuwa hatoi kwa mkopo? 😜😜
Mambo ni vipi?

Weekend ilopita kuna manzi mmoja hv alinishangaza sana, ipo hv..

Huyu manzi nafahamiana nae tu ni kitambo tulibadilishanaga namba ila hatukuwa intouched zaid ya kuview status lkn sio kuchat wala call.
 
Huo uzi inaonekana ulikua bado haujausoma basi ukipata time pitia upate hata hints kidogo zitakusaidia siku nyingine.
 
Umenishangaza hapo ulitaka kumla bure kisa umelipa lunch ya 250K kwani yeye shida yake ilikuwa kula hata Demu wa ushahilini kabisa ukimpa Option ya kuchagua umtoe lunch ya 300K au umpe 30K cash umle anachagua Cash.

Kingine ujamlipia BILL hapo bali wewe ndio umejilipia MEETING umeita wewe na wewe umewaambia waagize wanachotaka....pia bado wakaagiza vya 250K eti unashangaa.

Andika lako lina sehemu dhaifu nyingi sana

Pengine ONCE sio mpenzi wako inawezekana vipi umle bure kirahisi
 
Chuo gani anasoma. Watu mna hela yani unatoa 300k kwa outing ya mademu hawa ninaopiga nao discussion?

300k kwa outing ya mwanachuo wa lower to middle income class ni mbali sana. Ukute huyo huyo huwa anasubiri boom la 510k kwa miezi miwili. Tena msimu wa njaa kama huu hapa (bado kama 2 weeks boom lije) watu kibao hawana hela ukiwaita outing ya laki tu wanakuwa wamepata. Sema kwa vile walikuja watatu ila bado ulitoa parefu.

Kwanza ungemuita kwako achukue hata 150k angekuja mwenyewe. Next time aje peke yake location mfanye biashara ya kuuza na kununua uchi. Hana woga na wewe una kianziao, hao wenzake unaweza wakaribisha kwa muda wao maana wote wajasiriauchi. How comes wanywe pombe za laki 3 na mwenzao atake kulala nawewe kwa malipo wakiwepo. Wote walewale wanatunziana siri.

Wewe mwongo eti hukuwa na ratiba nae. Ratiba ulikuwa nayo sana ila uliingia kwa fujo.
 
Oyaaa sikuhz wanataka before yan unampa cash anakupa mchongo, kutuma kwa simu hawataki. Na mshikaj wangu alipata dem maison pale toto shombe kali wakakubaliana 150k jamaa akawa hana cash akamwambia nakutumia kwa simu. Huwezi amini dada aligoma akasema kama hana cash bhs, ikabd jamaa aende nae atm akadraw ndo kumpa.
Oyaaa sikuhz wanataka before yan unampa cash anakupa mchongo, kutuma kwa simu hawataki. Na mshikaj wangu alipata dem maison pale toto shombe kali wakakubaliana 150k jamaa akawa hana cash akamwambia nakutumia kwa simu. Huwezi amini dada aligoma akasema kama hana cash bhs, ikabd jamaa aende nae atm akadraw ndo kumpa.
haha hao mabitch wa club za masaki wanakuaga na misimamo kinoma. huko mabaharia ambao bado tupo uchumi wa kati wa chini tunaendaga kula kwa macho tu.
 
Back
Top Bottom