Umegharamia bill zote ila bado anataka umlipe...

Umegharamia bill zote ila bado anataka umlipe...

Chuo gani anasoma. Watu mna hela yani unatoa 300k kwa outing ya mademu hawa ninaopiga nao discussion?

300k kwa outing ya mwanachuo wa lower to middle income class ni mbali sana. Ukute huyo huyo huwa anasubiri boom la 510k kwa miezi miwili. Tena msimu wa njaa kama huu hapa (bado kama 2 weeks boom lije) watu kibao hawana hela ukiwaita outing ya laki tu wanakuwa wamepata. Sema kwa vile walikuja watatu ila bado ulitoa parefu.

Kwanza ungemuita kwako achukue hata 150k angekuja mwenyewe. Next time aje peke yake location mfanye biashara ya kuuza na kununua uchi. Hana woga na wewe una kianziao, hao wenzake unaweza wakaribisha kwa muda wao maana wote wajasiriauchi. How comes wanywe pombe za laki 3 na mwenzao atake kulala nawewe kwa malipo wakiwepo. Wote walewale wanatunziana siri.

Wewe mwongo eti hukuwa na ratiba nae. Ratiba ulikuwa nayo sana ila uliingia kwa fujo.

Mkuu nilitaka mpa offa tu, afu unaoveenda viwanja vya masaki inabd uwe na pesa umeichanga imejaaa otherwise utatia aibu. Nadhani kuna wataalam wanafaham, jameson 120k hio ni moja heineken 6000 cocktail anzia 15k sio poa
 
Chuo gani anasoma. Watu mna hela yani unatoa 300k kwa outing ya mademu hawa ninaopiga nao discussion?

300k kwa outing ya mwanachuo wa lower to middle income class ni mbali sana. Ukute huyo huyo huwa anasubiri boom la 510k kwa miezi miwili. Tena msimu wa njaa kama huu hapa (bado kama 2 weeks boom lije) watu kibao hawana hela ukiwaita outing ya laki tu wanakuwa wamepata. Sema kwa vile walikuja watatu ila bado ulitoa parefu.

Kwanza ungemuita kwako achukue hata 150k angekuja mwenyewe. Next time aje peke yake location mfanye biashara ya kuuza na kununua uchi. Hana woga na wewe una kianziao, hao wenzake unaweza wakaribisha kwa muda wao maana wote wajasiriauchi. How comes wanywe pombe za laki 3 na mwenzao atake kulala nawewe kwa malipo wakiwepo. Wote walewale wanatunziana siri.

Wewe mwongo eti hukuwa na ratiba nae. Ratiba ulikuwa nayo sana ila uliingia kwa fujo.

Sikua na plan ya kumla mkuu NAKAZIA
 
Kuna mwenzio anamla bure huyo tena anaipeleka mwenyewe. Na hapo baada kukuacha na majuto yako kampelekea mtu bure huko kitaa!
Yaani mie wakati nahitaji kuoa,nilikuwa namuuliza demu maswali mawili: unanipenda ama unanipenda ili nikuoe.
Binti Kama anakupenda atakupa tu k yake muda wote unaohitaji,siku akaolewa na mwingine anakuambia njoo uniage mwezi ujao naolewa.yaani hapo unayeaga ndiye unayependwa Ila anayeoa amependwa aoe ampe social capital ama status tu kuwa na yeye ni Mrs somebody.
Nishawahi kukaa na binti mmoja bana ni nesi marangu hospital afu kwao ni boma. Yaani tulitumia naye hela ikaisha bana afu sikuwa poa mfukoni hata ni washkaji walinidhamini nikaenda. Hela ilipoisha mpaka ya kwake alianza kuwakamua wale wote inaonekanaga wanamshobokeaga. Walituma hela tukazidi ku extend siku za kukaa hapo njia panda ya himo. Ningemuoa sema Kuna shida moja kiokoo ya kurithi ya kikwao nikakwepa.
 
View attachment 1805140
Ilikua jmc 23/05 bill nmelipa usiku tyr trh 23 angalia trh na muda kama bado huamin na muamala nakutumia nililipa kwa simu
Watu hawaaamini ujue ,mtu anapokosa buku mfukoni anadhani kuwa ni wote wako Kama yeye. Kumbe Kuna mmoja anampatia jamaa laki akamletee binti pale chuo gani Cha pale mjini jamani.
If you've problems ni wewe pekee sio wote. So sema Sina hela
 
Emu malizia story ulimla au mlishindwana hyo ndo ilibidi iwe maini body,

Kingine alipiga mzinga kulingana na mapokeo yako kwenye ofa bili ya 35k si haba kuomba 20k maana bill tiari ilionesha ni pochi nene
 
Mie Kuna mmoja aliniambia Kama nakuja price yangu ni 50k.yaani sikutegemea Kama angeniuzia ,yaani nikafuta namba yake papo kwa papo.
Ila inaonekana huyo demu hakupendi mkuu. Huwa naamini kuwa anayekupenda haombi kitu anasubiria ujiongeze mwenyewe.pia huyo ukienda naye hautaenjoi Mana kukupa Ile high romance hutopata.
Namie huwa napenda Sana romance sana
Mbona hawakuwa wapenzi hata
 
haha mim nawatorokaga tu lodge naamka saa kumi na moja au kumi alfajiri. akiamka anakuta ten tu ya nauli juu ya meza.
Utakutana na anayetaka malipo kabla ya shoo ndo utapoelewa ujanja una mwisho
 
Mambo ni vipi?

Weekend ilopita kuna manzi mmoja hv alinishangaza sana, ipo hv..

Huyu manzi nafahamiana nae tu ni kitambo tulibadilishanaga namba ila hatukuwa intouched zaid ya kuview status lkn sio kuchat wala call.

Hio siku nikaona amepost anakula msuli anasoma nikamuuliza hujamaliza chuo tu? Akanambia bado ndo story zikaanza nikampa code atokee maeneo akakubali. Moja ya viwanja maarufu pale masaki.

Akanicheki anaomba kuja na best zake wa2 nikamwambia nataka uwe comfortable njoo nao. Mida ya sa4 hivi akatokea aneo la tukio mapema tu akiwa na best zake wakiwa wamependeza sana, nikamwambia awe huru na best zake waagze wanachotaka. Kama unavojua manzi wa chuo kizazi wakaagza cocktail mara jameson, wakaagza chakula nk. Bila kusahau snap zilihusika sana me nawacheki tu wanavyo tapatapa.

Bili kuja ikasoma kama 350k nikamwambia manzi kwa kumzingua nataka tuondoke wote akasema wapi? Nikamwambia tukalale hotelini akanambia you can’t have me for free..[emoji119]. Nikamwambia bill yote hii bado unilipishe?. Sio unanitunuku? ofcoz sikua na nyege nae wala nini, nikamwuliza unataka sh. Ngap? Jibu lake likafanya pombe zote zitoke kichwani[emoji23][emoji23].

Dada bila aibu akasema anataka 200,000 taslimu, nikamwambia acha ungeseleee kumkaziaa kidogo akasema 100k top

yule dada nilikua namwonaga mstaarabu sana kumbe ni muuza mbususuu aisee kweli kazi iendeleee, mwanaume kama huna pesa kula manzi ni ngumu sana kwa zama hizi.
hii sasa ndio inaitwa lost opportunity.... sasa kama 350k imeenda kwa vinywaji sii u might as well made it a cool 1 million and just have a foursome with them ladies wewe
 
Back
Top Bottom