Mambo ni vipi?
Weekend ilopita kuna manzi mmoja hv alinishangaza sana, ipo hv..
Huyu manzi nafahamiana nae tu ni kitambo tulibadilishanaga namba ila hatukuwa intouched zaid ya kuview status lkn sio kuchat wala call.
Hebu weka namba yake hapa. Pengine kuna wengine wanaweza ona 100k si mbaya
Nipe namba uone navomtafuna buree kabisa, pesa labda itokee tu .
Mh 350K kuwanywesha watu ambao huko chuo wanashonwa na mtu anayewafanyia assignment? Kuna uzi jamaa anaomba hela ya kula
Kwani alikuwa hatoi kwa mkopo? [emoji12][emoji12]
Angekuta ngenyee zipo maximum hata zaid ya hio ningempa[emoji23][emoji23]
Jf hii πππ350k bill????? dah
Oyaaa sikuhz wanataka before yan unampa cash anakupa mchongo, kutuma kwa simu hawataki. Na mshikaj wangu alipata dem maison pale toto shombe kali wakakubaliana 150k jamaa akawa hana cash akamwambia nakutumia kwa simu. Huwezi amini dada aligoma akasema kama hana cash bhs, ikabd jamaa aende nae atm akadraw ndo kumpa.
haha hao mabitch wa club za masaki wanakuaga na misimamo kinoma. huko mabaharia ambao bado tupo uchumi wa kati wa chini tunaendaga kula kwa macho tu.Oyaaa sikuhz wanataka before yan unampa cash anakupa mchongo, kutuma kwa simu hawataki. Na mshikaj wangu alipata dem maison pale toto shombe kali wakakubaliana 150k jamaa akawa hana cash akamwambia nakutumia kwa simu. Huwezi amini dada aligoma akasema kama hana cash bhs, ikabd jamaa aende nae atm akadraw ndo kumpa.
Hahahaha! Inasikitisha sanaBill 350! Wanawake ni sumu ya maendeleo
Zaid ya msikitikoHahahaha! Inasikitisha sana
Zaid y maskitikoHahahaha! Inasikitisha sana