LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Feminist mmoja kutoka nchini Marekani ali safiri hadi visiwa vya Papua New Guinea kufanya mahojiano Na mwanaume mmoja ambae anatoka katika Kabila la binadamu wanao Kula nyama ZA watu ( Cannibalists) ambao pia wana wanatawaliwa Na mfumo dume
Baada ya maswali mengi, Feminist huyo alimuuliza Cannibalist huyo swali hili.
Feminist : From your perspective, is there any difference between a male person and a female person.
Cannibalist: Not at all at all at all. There is no any difference between a man and a woman.
Feminist: Then Why do u think there is no any difference between a man and a woman.
Cannibalist: Because they all taste the same.
FEMINIST AKAZIMIA KWA MSHITUKO...
Anyways pamoja Na kwamba habari hii Ina ogofya but Kuna kitu unaweza kujifunza.
Je unadhani Kwa perspective ya Cannibalist huyu, mwanamke Na mwanaume wanaweza kuwa Sawa?
Baada ya maswali mengi, Feminist huyo alimuuliza Cannibalist huyo swali hili.
Feminist : From your perspective, is there any difference between a male person and a female person.
Cannibalist: Not at all at all at all. There is no any difference between a man and a woman.
Feminist: Then Why do u think there is no any difference between a man and a woman.
Cannibalist: Because they all taste the same.
FEMINIST AKAZIMIA KWA MSHITUKO...
Anyways pamoja Na kwamba habari hii Ina ogofya but Kuna kitu unaweza kujifunza.
Je unadhani Kwa perspective ya Cannibalist huyu, mwanamke Na mwanaume wanaweza kuwa Sawa?