Tyrone Kaijage
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 1,617
- 3,405
Nadhani unajua kabla ya kumeguka hii dunia ILIKUA TUFE MOJA.
Na ndo maana Haiti ni kisiwa, Jamaica NI kisiwa na hyo new Papua NI kisiwa.
Labda ungeniambia hizo nchi zipo katikati ya bara la America kusini
Bro unazungumzia nadharia gani Sayansi au Historia?
Kwa hiyo unataka kusema, wale weusi wa New Papua Guinea ni tangu enzi ya Pangea era[emoji23][emoji23][emoji1373][emoji1373]?