Kb Ulayaulaya
JF-Expert Member
- Jan 5, 2023
- 727
- 1,059
Saa Kuna hoja Gani Kwa wenye akili mtambuka.Kaa kwa kutulia na kujikita katika hoja.
Ulichokihitaji nifanye mimi nimekieleza kwa undani ndani ya andiko langu.Saa Kuna hoja Gani Kwa wenye akili mtambuka.
Tumieni elimu yenu vizuri Kwa manufaa ya Taifa.
Na sio hivyo ulivyo mkuu.
Mda mwingine Kuna mambo sio ya kushare.
Mnakwama wapi.unataka tujifunze nn kwenye hiyo picha๐ค.
We ungetiririka vile uonavyo.
Hoja hujibiwa kwa hoja na siyo viroja.Mtoa mada ni mpuuzi wa kupuuzwa
Mjifunze uandishi na mawasiliano ya kimkakati! Hata kama ni propaganda jifunzeni toka kwa Wachina basi au hata Rwanda tu hapo.Ndugu zangu Watanzania,
Hapa chini ni picha ya Mama mzazi wa Mheshimiwa Dkt Tulia Acksoni Mwansasu ,speaker wa Bunge letu pamoja na Rais wa umoja wa mabunge Duniani yaani IPU. Tukio hili la kugusa hisia za watu na ambalo liliteka hisia za watu wengi sana mitandaoni na DUNIA nzima kwa ujumla wake lilitokea mara baada ya Dkt Tulia kurejea Nchini kama Rais mpya wa IPU.
Ambapo ni katika tukio hilo ambapo Dada wa Taifa,fahari ya nyanda za juu kusini,msomi Nguli wa sheria kuwahi kutokea nyanda za juu kusini na chaguo la wana Mbeya alionyeshwa upendo wa kipekee kabisa kutoka kwa Mama yake huyu Mzazi aliyeamua kumpakata Mwanae kwa upendo na hisia kali sana na kumpongeza kwa kuchaguliwa kwake na kuiheshimisha Mbeya na Tanzania nzima kwa ujumla wake..
Bila shaka Mama huyu na mama yetu aliyemleta DUNIANI speaker wetu kijana kabisa na mwenye akili kubwa ,mfano wa kuigwa kwa watoto wengi wa kike wanaosoma na mwenye moyo wa ukarimu,huruma,upendo, unyenyekevu,utu na ucha Mungu alimkumbusha mama yake na kumrejesha mbali sana kimawazo.
Bila shaka Mama yetu aliwaza mapito na magumu aliyopitia kimaisha katika kumlea mwanae mpaka kufika hapo alipofika ,mahali ambapo Dunia ikakubali uwezo wake na kumpatia Urais wa IPU kwa kishindo.bila shaka alikuwa anajionea kwa macho yake matendo makuu ya Mungu,bila shaka alikuwa anaona maneno yaliyoandikwa katika kitabu cha Samweli kuwa Mungu humuinua mnyonge kutoka mavumbini na kumpandisha mhitaji kutoka jaani ili kumketisha pamoja na wakuu , yakitimia kama ndoto machoni pake.
Bila shaka mama yetu ndani ya moyo wake alikuwa akibubujikwa na machozi ya furaha na shukurani kwa Mungu wake ,kwa kumkumbuka na kumuinulia Mwanae kama Nuru katikati ya giza kama ambavyo Mungu alimkumbuka Hana ambaye alikuwa ni Tasa na ambaye alikuwa akilia kila siku ili Mungu ampatie mtoto na hatimaye Mungu akajibu Maombi ,kwa kumpatia watoto na miongoni mwake ni Samweli aliyekuja kuwa mfalme.
Akina Mama wanapaswa kupewa heshima yao na kuheshimiwa sana.tunapaswa kuwapenda Mama zetu.jiulize ni mangapi amepitia Mama huyu katika kumsomesha mwanae mpaka kumfikisha alipofika? Ikumbukwe ya kuwa mama huyu na familia yake hakuwa tajiri wala kumiliki utajiri.lakini kwa uweza wa Mungu alihakikisha mtoto wake anatimiza ndoto zake za kielimu mpaka mwisho.
Ni kupitia tumbo la Mama huyu mpole na mkarimu leo Dunia inafaidika na akili na kipawa cha uongozi cha Mwanae Dkt Tulia,leo watu wanapata tabasamu na matumaini katika maisha yao baada ya kusaidiwa na kufikiwa na mkono wa huruma wa mwanae Dkt Tulia,leo mabinti wa kike mkoani mbeya wanasoma huku mfano wao ukiwa Dkt Tulia.
leo yatima ,wajane na wazee wasio jiweza mkoani Mbeya wanapata matumaini na kuishi kwa furaha kwasababu ya kusaidiwa kwa hali na mali na Dkt Tulia,leo maelfu ya watu mkoani Mbeya wanaishi bila wasiwasi na kuwa na uhakika wa kupata matibabu wakiumwa baada ya kuwa wamegawiwa bure kabisa Bima za afya, na wengine kujengewa nyumba huku wengine wakipewa na kuwezeshwa mitaji ya kufanyia biashara zao za kuwapatia na kuwaingiza kipato cha kila siku.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Pole sana ndugu yangu naona upo nyuma ya wakati sana maana hayo unayoyaeleza yalishafanyika muda mrefu sana. Ambapo Taifa zima linafahamu kwa undani dkt Tulia ni nani na ametoka wapi na njia ipi amepita kufika hapo alipo leo hii kuwa Rais wa IPU. Kwa hiyo usikosoe kwa kukurupuka kabla ya kuuliza .Mjifunze uandishi na mawasiliano ya kimkakati! Hata kama ni propaganda jifunzeni toka kwa Wachina basi au hata Rwanda tu hapo.
Makala ambazo ungeweza kuandika hapa:
- Toka familia umasikini mpaka kuongoza bunge
- Safari ya Tulia kupelekea IPU
- Mila na tamaduni za Kinyakyusa katika karne ya ishirini na moja
- Fungamanisha Tulia na uongozi wa wanawake Tanzania
- Elezea hatua kwa hatua safari ya Tulia kurudi kwao (mwandishi itabidi aambatane na Tulia toka Dodoma hadi kwao)
Moja kati ya makala haya yangepata mwitikio mzuri zaidi kuliko hili andiko. Makala za namna hizi zimeshapitwa na wakati, ulimwengu huu watu wanataka kufahamu viongozi wao wewe umekazana tu na sifa. Mwaka ni 2024 sio 1947.
Propaganda sio kazi nyepesi.
Mjifunze!
unaowasifia kwa maandiko marefu wanakuona kikaragosiHoja hujibiwa kwa hoja na siyo viroja.
Kwa mfano angekuwa kibonge ingekuwaje?Ndugu zangu Watanzania,
Hapa chini ni picha ya Mama mzazi wa Mheshimiwa Dkt Tulia Acksoni Mwansasu ,speaker wa Bunge letu pamoja na Rais wa umoja wa mabunge Duniani yaani IPU. Tukio hili la kugusa hisia za watu na ambalo liliteka hisia za watu wengi sana mitandaoni na DUNIA nzima kwa ujumla wake lilitokea mara baada ya Dkt Tulia kurejea Nchini kama Rais mpya wa IPU.
Ambapo ni katika tukio hilo ambapo Dada wa Taifa,fahari ya nyanda za juu kusini,msomi Nguli wa sheria kuwahi kutokea nyanda za juu kusini na chaguo la wana Mbeya alionyeshwa upendo wa kipekee kabisa kutoka kwa Mama yake huyu Mzazi aliyeamua kumpakata Mwanae kwa upendo na hisia kali sana na kumpongeza kwa kuchaguliwa kwake na kuiheshimisha Mbeya na Tanzania nzima kwa ujumla wake..
Bila shaka Mama huyu na mama yetu aliyemleta DUNIANI speaker wetu kijana kabisa na mwenye akili kubwa ,mfano wa kuigwa kwa watoto wengi wa kike wanaosoma na mwenye moyo wa ukarimu,huruma,upendo, unyenyekevu,utu na ucha Mungu alimkumbusha mama yake na kumrejesha mbali sana kimawazo.
Bila shaka Mama yetu aliwaza mapito na magumu aliyopitia kimaisha katika kumlea mwanae mpaka kufika hapo alipofika ,mahali ambapo Dunia ikakubali uwezo wake na kumpatia Urais wa IPU kwa kishindo.bila shaka alikuwa anajionea kwa macho yake matendo makuu ya Mungu,bila shaka alikuwa anaona maneno yaliyoandikwa katika kitabu cha Samweli kuwa Mungu humuinua mnyonge kutoka mavumbini na kumpandisha mhitaji kutoka jaani ili kumketisha pamoja na wakuu , yakitimia kama ndoto machoni pake.
Bila shaka mama yetu ndani ya moyo wake alikuwa akibubujikwa na machozi ya furaha na shukurani kwa Mungu wake ,kwa kumkumbuka na kumuinulia Mwanae kama Nuru katikati ya giza kama ambavyo Mungu alimkumbuka Hana ambaye alikuwa ni Tasa na ambaye alikuwa akilia kila siku ili Mungu ampatie mtoto na hatimaye Mungu akajibu Maombi ,kwa kumpatia watoto na miongoni mwake ni Samweli aliyekuja kuwa mfalme.
Akina Mama wanapaswa kupewa heshima yao na kuheshimiwa sana.tunapaswa kuwapenda Mama zetu.jiulize ni mangapi amepitia Mama huyu katika kumsomesha mwanae mpaka kumfikisha alipofika? Ikumbukwe ya kuwa mama huyu na familia yake hakuwa tajiri wala kumiliki utajiri.lakini kwa uweza wa Mungu alihakikisha mtoto wake anatimiza ndoto zake za kielimu mpaka mwisho.
Ni kupitia tumbo la Mama huyu mpole na mkarimu leo Dunia inafaidika na akili na kipawa cha uongozi cha Mwanae Dkt Tulia,leo watu wanapata tabasamu na matumaini katika maisha yao baada ya kusaidiwa na kufikiwa na mkono wa huruma wa mwanae Dkt Tulia,leo mabinti wa kike mkoani mbeya wanasoma huku mfano wao ukiwa Dkt Tulia.
leo yatima ,wajane na wazee wasio jiweza mkoani Mbeya wanapata matumaini na kuishi kwa furaha kwasababu ya kusaidiwa kwa hali na mali na Dkt Tulia,leo maelfu ya watu mkoani Mbeya wanaishi bila wasiwasi na kuwa na uhakika wa kupata matibabu wakiumwa baada ya kuwa wamegawiwa bure kabisa Bima za afya, na wengine kujengewa nyumba huku wengine wakipewa na kuwezeshwa mitaji ya kufanyia biashara zao za kuwapatia na kuwaingiza kipato cha kila siku.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ng'wana adakลซlaga halฤซnina! โค๏ธNdugu zangu Watanzania,
Hapa chini ni picha ya Mama mzazi wa Mheshimiwa Dkt Tulia Acksoni Mwansasu ,speaker wa Bunge letu pamoja na Rais wa umoja wa mabunge Duniani yaani IPU. Tukio hili la kugusa hisia za watu na ambalo liliteka hisia za watu wengi sana mitandaoni na DUNIA nzima kwa ujumla wake lilitokea mara baada ya Dkt Tulia kurejea Nchini kama Rais mpya wa IPU.
Ambapo ni katika tukio hilo ambapo Dada wa Taifa,fahari ya nyanda za juu kusini,msomi Nguli wa sheria kuwahi kutokea nyanda za juu kusini na chaguo la wana Mbeya alionyeshwa upendo wa kipekee kabisa kutoka kwa Mama yake huyu Mzazi aliyeamua kumpakata Mwanae kwa upendo na hisia kali sana na kumpongeza kwa kuchaguliwa kwake na kuiheshimisha Mbeya na Tanzania nzima kwa ujumla wake..
Bila shaka Mama huyu na mama yetu aliyemleta DUNIANI speaker wetu kijana kabisa na mwenye akili kubwa ,mfano wa kuigwa kwa watoto wengi wa kike wanaosoma na mwenye moyo wa ukarimu,huruma,upendo, unyenyekevu,utu na ucha Mungu alimkumbusha mama yake na kumrejesha mbali sana kimawazo.
Bila shaka Mama yetu aliwaza mapito na magumu aliyopitia kimaisha katika kumlea mwanae mpaka kufika hapo alipofika ,mahali ambapo Dunia ikakubali uwezo wake na kumpatia Urais wa IPU kwa kishindo.bila shaka alikuwa anajionea kwa macho yake matendo makuu ya Mungu,bila shaka alikuwa anaona maneno yaliyoandikwa katika kitabu cha Samweli kuwa Mungu humuinua mnyonge kutoka mavumbini na kumpandisha mhitaji kutoka jaani ili kumketisha pamoja na wakuu , yakitimia kama ndoto machoni pake.
Bila shaka mama yetu ndani ya moyo wake alikuwa akibubujikwa na machozi ya furaha na shukurani kwa Mungu wake ,kwa kumkumbuka na kumuinulia Mwanae kama Nuru katikati ya giza kama ambavyo Mungu alimkumbuka Hana ambaye alikuwa ni Tasa na ambaye alikuwa akilia kila siku ili Mungu ampatie mtoto na hatimaye Mungu akajibu Maombi ,kwa kumpatia watoto na miongoni mwake ni Samweli aliyekuja kuwa mfalme.
Akina Mama wanapaswa kupewa heshima yao na kuheshimiwa sana.tunapaswa kuwapenda Mama zetu.jiulize ni mangapi amepitia Mama huyu katika kumsomesha mwanae mpaka kumfikisha alipofika? Ikumbukwe ya kuwa mama huyu na familia yake hakuwa tajiri wala kumiliki utajiri.lakini kwa uweza wa Mungu alihakikisha mtoto wake anatimiza ndoto zake za kielimu mpaka mwisho.
Ni kupitia tumbo la Mama huyu mpole na mkarimu leo Dunia inafaidika na akili na kipawa cha uongozi cha Mwanae Dkt Tulia,leo watu wanapata tabasamu na matumaini katika maisha yao baada ya kusaidiwa na kufikiwa na mkono wa huruma wa mwanae Dkt Tulia,leo mabinti wa kike mkoani mbeya wanasoma huku mfano wao ukiwa Dkt Tulia.
leo yatima ,wajane na wazee wasio jiweza mkoani Mbeya wanapata matumaini na kuishi kwa furaha kwasababu ya kusaidiwa kwa hali na mali na Dkt Tulia,leo maelfu ya watu mkoani Mbeya wanaishi bila wasiwasi na kuwa na uhakika wa kupata matibabu wakiumwa baada ya kuwa wamegawiwa bure kabisa Bima za afya, na wengine kujengewa nyumba huku wengine wakipewa na kuwezeshwa mitaji ya kufanyia biashara zao za kuwapatia na kuwaingiza kipato cha kila siku.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Nimejifunza kuwa tulia ni Mwanamke mwenye sura.......... Japo ana pesaNdugu zangu Watanzania,
Hapa chini ni picha ya Mama mzazi wa Mheshimiwa Dkt Tulia Acksoni Mwansasu ,speaker wa Bunge letu pamoja na Rais wa umoja wa mabunge Duniani yaani IPU. Tukio hili la kugusa hisia za watu na ambalo liliteka hisia za watu wengi sana mitandaoni na DUNIA nzima kwa ujumla wake lilitokea mara baada ya Dkt Tulia kurejea Nchini kama Rais mpya wa IPU.
Ambapo ni katika tukio hilo ambapo Dada wa Taifa,fahari ya nyanda za juu kusini,msomi Nguli wa sheria kuwahi kutokea nyanda za juu kusini na chaguo la wana Mbeya alionyeshwa upendo wa kipekee kabisa kutoka kwa Mama yake huyu Mzazi aliyeamua kumpakata Mwanae kwa upendo na hisia kali sana na kumpongeza kwa kuchaguliwa kwake na kuiheshimisha Mbeya na Tanzania nzima kwa ujumla wake..
Bila shaka Mama huyu na mama yetu aliyemleta DUNIANI speaker wetu kijana kabisa na mwenye akili kubwa ,mfano wa kuigwa kwa watoto wengi wa kike wanaosoma na mwenye moyo wa ukarimu,huruma,upendo, unyenyekevu,utu na ucha Mungu alimkumbusha mama yake na kumrejesha mbali sana kimawazo.
Bila shaka Mama yetu aliwaza mapito na magumu aliyopitia kimaisha katika kumlea mwanae mpaka kufika hapo alipofika ,mahali ambapo Dunia ikakubali uwezo wake na kumpatia Urais wa IPU kwa kishindo.bila shaka alikuwa anajionea kwa macho yake matendo makuu ya Mungu,bila shaka alikuwa anaona maneno yaliyoandikwa katika kitabu cha Samweli kuwa Mungu humuinua mnyonge kutoka mavumbini na kumpandisha mhitaji kutoka jaani ili kumketisha pamoja na wakuu , yakitimia kama ndoto machoni pake.
Bila shaka mama yetu ndani ya moyo wake alikuwa akibubujikwa na machozi ya furaha na shukurani kwa Mungu wake ,kwa kumkumbuka na kumuinulia Mwanae kama Nuru katikati ya giza kama ambavyo Mungu alimkumbuka Hana ambaye alikuwa ni Tasa na ambaye alikuwa akilia kila siku ili Mungu ampatie mtoto na hatimaye Mungu akajibu Maombi ,kwa kumpatia watoto na miongoni mwake ni Samweli aliyekuja kuwa mfalme.
Akina Mama wanapaswa kupewa heshima yao na kuheshimiwa sana.tunapaswa kuwapenda Mama zetu.jiulize ni mangapi amepitia Mama huyu katika kumsomesha mwanae mpaka kumfikisha alipofika? Ikumbukwe ya kuwa mama huyu na familia yake hakuwa tajiri wala kumiliki utajiri.lakini kwa uweza wa Mungu alihakikisha mtoto wake anatimiza ndoto zake za kielimu mpaka mwisho.
Ni kupitia tumbo la Mama huyu mpole na mkarimu leo Dunia inafaidika na akili na kipawa cha uongozi cha Mwanae Dkt Tulia,leo watu wanapata tabasamu na matumaini katika maisha yao baada ya kusaidiwa na kufikiwa na mkono wa huruma wa mwanae Dkt Tulia,leo mabinti wa kike mkoani mbeya wanasoma huku mfano wao ukiwa Dkt Tulia.
leo yatima ,wajane na wazee wasio jiweza mkoani Mbeya wanapata matumaini na kuishi kwa furaha kwasababu ya kusaidiwa kwa hali na mali na Dkt Tulia,leo maelfu ya watu mkoani Mbeya wanaishi bila wasiwasi na kuwa na uhakika wa kupata matibabu wakiumwa baada ya kuwa wamegawiwa bure kabisa Bima za afya, na wengine kujengewa nyumba huku wengine wakipewa na kuwezeshwa mitaji ya kufanyia biashara zao za kuwapatia na kuwaingiza kipato cha kila siku.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kama yalishafanyika hili andiko lina haja gani gani? Tunarudi kulekule umuhimu wa mawasiliano na mahusiano na umma ya kimakakati.Pole sana ndugu yangu naona upo nyuma ya wakati sana maana hayo unayoyaeleza yalishafanyika muda mrefu sana. Ambapo Taifa zima linafahamu kwa undani dkt Tulia ni nani na ametoka wapi na njia ipi amepita kufika hapo alipo leo hii kuwa Rais wa IPU. Kwa hiyo usikosoe kwa kukurupuka kabla ya kuuliza .
Kwa sura yake hiyo mbaya sijui hata mumeo anapataje hisiaNimejifunza kuwa tulia ni Mwanamke mwenye sura.......... Japo ana pesa
SurePunguza uchawa ww hivi kitu cha ajabu hapo ni nn sasa sisi tunapokwenda kwa wazazi anakukumbaitia na machozi ya kilio cha furaha tuseme nn ..kwako lazima iwe ajabu maana kama mm tu nakuona huna maana kwa uchawa wako wazazi wako watakua wanajuta hata kukuzaaa.
Andika wewe kile unachokiona kinafaa na wala usitake watu wote wafanye kile unachokitaka na kukiwaza wewe.Kama yalishafanyika hili andiko lina haja gani gani? Tunarudi kulekule umuhimu wa mawasiliano na mahusiano na umma ya kimakakati.
Mother's Day ni May 12 jumapili hii, andiko hili kama lingekuwa kupelekea siku ya kina mama duniani lingekuwa na tija na maana sana. Tulia na mama yake wanapata kufahamika katika muktadha chanya siku ambayo ni maalumu. Hiki kilichoandika kimefanikisha nini?
Rhetorical questions, unauhakika shughuli zote za kimawasiliano kumruhusu Tulia zilikuwa na ufanisi? IWD na 16 Days za Activism zimepita was Tulia part of the discussion? Did she set the agenda?
Jifunze propaganda!