Nedlloyd
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 10,361
- 27,215
Kweli leo umeamka Kama Fresh Mana sio kwa ushauri huu❤️nimeamka fresh tu ili mradi napumua dogo,nambie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli leo umeamka Kama Fresh Mana sio kwa ushauri huu❤️nimeamka fresh tu ili mradi napumua dogo,nambie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We si umesema uume unakusumbua umekua mzito,hawa watoto utapataje sasa[emoji15][emoji849]
Tatizo akili zetu kuondoka Ni kukimbia mapungufu ya mwenzio na utakimbia pia huko unakoenda Mana ushakuwa mkimbizi😂Tunakufa kiboya kweli yaan,ifikie hatua tujifunza kumwacha aende😏
Fursa gani hizo
😃😃😃😃sahihi madammeKama unaamini kapm katakupa uvuguvugu zama mkuu
😂😂za miuno halisi sio ile yakoFursa gani hizo
Ukiachika usitake kila aliyeolewa naye aachike! Hiyo ni roho ya uchoyoHii ndiyo Siri kubwa iliyopo na inayowatafuna wanandoa.Umeoa au umeolewa Kwa harusi yenye mbwembwe kibao huku mmefichiana makucha...kimbembe mmeanza kuishi uliyedhani ni maria mama mtakatifu kumbe ni mwajuma ndala ndefu🤣uliyedhani ni yohana kumbe ni Petro kumkataa yesu mara tatu kabla ya jogoo kuwika.😳
Binadamu hubadilika bhana,tena hubadilika kuwa adui.Sasa watu badala ya kuachana wanaendelea kuvumilia,eti ndoa ya kanisani watu watasemaje au nikimwacha Mali tutagawana.☹️ Wee bhana we...hata ukimwachia vyote ukajinusuru na kesi za mauaji kama mwanza embu mwachie vyote sepa.Nenda kaanze na mkeka.Kwanza kaburini hatuzikwi navyo viache🙄
Watu kuongea ni kawaida,wanaongea yanapita.inakuwa ni kipindi Cha mpigo tu unasemwa wee,wanatulia.
Kuishi na mtu mzima asiyethamini ndoa inahitaji jitihada ya hali ya juu sana.Wewe unajitoa mhanga kuitunza ndoa Yako mwenzio kichwani anawaza hata akiniacha nitapata mwingine.Yaan maana yake alipo bado hajaridhika bado anasafari ndefu.Unamkumbatia hakumbatiki ....mwache aende,usiogope kitu,aibu fedheha tumeumbiwa na ndo maisha yenyewe.Watoto Mungu hulea tu popote ...mbona wengine tumekua ivoivo tu🙄😏🤜
Nasikia naye swalha na said waliambiwa ivoivo na wenye mdomo mtakatifu kama wako ndo mwishowe wakapewa zawadi Ile.Kama Yako imesimama imara mshukuru Mungu usiwe tu na mdomo mrefu mkuuUkiachika usitake kila aliyeolewa naye aachike! Hiyo ni roho ya uchoyo
Unataka ukakate miuno na to yeye 🤣🤣🤣🤣 ujipange mwana mwanamke anajua kugegegdana huyo na anapenda kupelekewa moto😂😂za miuno halisi sio ile yako