Umeniharibia maisha! ...what?


LOL! astghafirullah!!!...ha hhhahha...Nyamayao unaua!!!!!!!
 
Respect....

ha ha ha, 'Safe Bruv!'
  • sijamharibia mtu maisha...
  • sijamharibia mtu siku yake...
  • sijamharibia mtu appettite yake...
  • sijamharibia mtu mood yake...
...Life Goes On bana!
 


Nimeipenda hii...wajameni haya mambo ni ..Sacrifice...Confidence..Sacrifice..Accepts outcome!
 
Ubarikiwe mamaaa wa mapampas kwa kufunguka hahahahaha! Maty story yako itawafunza wengi sana nimefurahi ulivyo muwazi na ulivyoweza kuanza maisha yako bila bugudha ya mtu, watu hawa jamani ila dawa ushaipata sasa hivi
 
Mamii akiingia humu umekwisha
 
pole CPU sikujua na ww umo katika kuharibiana, miezi mitano ni mingi sana kwa dunia ya sasa, atakuwa maybe keshaamua la kuamua, ni bora ungeongea nae kabisa ili ujue umesimamia wapi, ili uweze kuendelea na maisha
 
Reactions: Mbu
MJ1,Maty, Nyamayao.....mmepita mapito ya dunia,na mna story hata za kuwapa wajukuu wenu, wengine hata hatukupata hiyo nafasi ya kupitia hapa na pale ili kuelewa maisha yanaendaje, unakuja pata matatizo ndani ya ndoa hata hujui broken heart ni nini, mpaka unaamua kufanya maamuzi unayoona wewe ndio yanafaa, yote hii ni kukosa experience ya mahusiano mbalimbali.....Kwa kweli sijilaumu kwa kuwahi kuolewa ila nawish ningepitapita ili nielewe inakuwaje???? yaaani mtu anakuachaje??? hii haijanikuta maishani Kizuri zaidi mmepitia na sasa mnaendelea na maisha yenu as if nothing happened nawapa hongera sana na wengi watakaopitia humu watajifunza mengi kwenye posts zenu
 

Dunia ni uwanja wa fujo,...mpaka utapohadithiwa yaliyowakumba wenzako ndipo utapojua kumbe lako cha mtoto tu!
wale wanaokata tamaa haraka haraka, natarajia watapowasoma 'vingunge' hawa kidogo watakuwa na ujasiri wa kutuliza mioyo yao...

Muhimu kila mtu akumbuke maamuzi yake ya awali (mabaya/mazuri) ndiyo yaliyomfikisha hapo alipo.
Hakuna aliyekuharibia maisha, ni wewe mwenyewe uliamua kutumia 'shortcut' kufika hapa ulipo...

After the storm, enjoy the colors of the Rainbow! ....Piga moyo konde, maisha yanaendelea!...'baada ya dhiki faraja!'....
 
Hahahha Gaga bana...........hapa mioyo imefunguka mpenzi.......... karibu jifunze.
Usiombee kupitia huko kwani experience yake kwa muda ule si nzuri hata kidogo mwe mie ctamani kujikumbukisha kipindi kile maana nlikoma kama sindano halafu anokukondesha anaungana na ulimwengu kukushangaa kwa nini wakonda!! ah acheni kabisa .................... halafu wengine wamejaaliwa sura za wizi (upooooleee, so innocent) kiasi kwamba tulikuwa twaonekana sie ndo mabedui.......mpaka ukweli ujulikane!! umechoka hadi unywele
 
Kweli kabisa kabla hujasikia ya wenzako unaweza dhani wewe ndio una matatizo twashukuru sana
 

Haahahaha mbu bana eti vingunge lol. Mimi naweza kusema huyu wangu ni mharibifu kwa kweli au sijui anaingiaga jf huyu mwe! huwezi amini jana natoka tu ofcn kanipigia simu kama kawaida yake anakumbushia eti lini tutakumbushia, hivi huyu ni mzima kweli wajameni? nikisema ni mharibifu nakosea? na ameniambia nitafanya kila njia mpaka iwe haiwezekani wewe tu ndio uwe mbishi wengine wote nikiwafata hawawezi nikatalia kabisa.

Niliumia kwa kweli pamoja na yote aliyonifanyia je ningekufa kweli kipindi kile? anaanzaje kunitamkia hivyo tena? Basi kama kawaida yangu huwa sina muda wa kubishana nae nibishane nae kwa maneno napata faida gani? sana sana napoteza tu sauti yangu. Nikajichekesha na kumwambia unajua nimeishiwa nitumie basi kiasi fulani, akaniuliza we pesa zako unapelekaga wapi kila siku unaishiwa? nikamwambia unanitumia hunitumii? kama hutaki basi na usinipigie tena simu habari za mtoto kawaulize walimu wake huko. Baada ya dk 5 ikaingia msg toka m-pesa B97..... imethibitishwa umepokea kiasi fulani kutoka kwa ..... Yaani anafanya yote hayo mpaka kutumia pesa zake ili tu anipate, wadada nadhani mnaelewa mbaba kama hajaonja basi atafanya kila kitu mradi tu uvutike. sa ndio anavyonifanyia sasa huyu mbaba nimekuwa ni kipya gani sasa? Nadhani kimoyo moyo anasema utaingia tu kwenye line

So kila siku nagundua wanawake tunafanywa wajinga sana kwa kweli yaani mtu anakaa huko akikumbuka huyo anaomba. Na nimegundua wanawake wengi huwa hawapingi na ndio maana wamezoea na kuendeleza mchezo wao wa kutufanya vyombo vya starehe.

Wadada tuwe na misimamo ili tuheshimike, tunalalama tu tunatendwa tunatendwa kumbe wenyewe ndio tunawaendekeza hawa watu. Huyu wangu namwonea huruma kwani hajui aliko lala mi ndio nimeamkia huko huko.

Naaamini kuna wadogo zangu wengi tu humu, jifunzeni kupitia mifano ya sisi dada zenu
 
Duh mbona mkasa! hapo hata ukikumbushia nae ni wewe mwenyewe kwa hamu zako hakuna wa kukuharibia maisha hapo, sasa hivi una akili timamu hakuna kutumiwa kijinga, wewe unamtumia na yeye anakutumia ipasavo "mnatumiana" utu uzima dawa ati....kwani bado yuko single?
 

Habari yako Maty.....nachelea kuweka maoni yangu hapo......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…