Umeniharibia maisha! ...what?


Umesahau ile kitu 'no free lunch?'.....Haya weee!
 
Leo Mamito naona umeamua "kufunguka" asubuhi asubuhi, siku itaisha kweli?

Itaisha kwa sababu lile bomu nililombomu jana naenda kula lunch kuku wa kienyeji mzimaaaa, nikonge roho pambaf zake
 
Reactions: Mbu
Itaisha kwa sababu lile bomu nililombomu jana naenda kula lunch kuku wa kienyeji mzimaaaa, nikonge roho pambaf zake
muonee huruma mtoto wa mwanamke mwenzio bi dada!
 
Halafu watu wa aina hii wanapenda wakuharibie kila kitu, hata mchuchu uliyenae akasirike au akuache ndio atatulia... poa lakini cha muhimu mwanao usimnyime haki ya kuwa na baba yake tu

kama ulikuwepo mpenzi, umekaa na wako mara simu grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr mbona ameshaharibu vya kutosha tu, maana mtu akiona hivyo haamini kama nyinyi hamkumbushiagi
 

wacha kabisa, sasa wangu alikuwa ni mtu wa makampani, hamuwezi kukaa wawili hivi labda iwe kwake but kama mnatoka kuburudika lazima atafute frnds zake mlianzishe, bac frnds wanakuja na ma gfnds zao, tunaanza kufahamiana hapo, cku nilipoachwa wadada mackini wananical kwa huruma kweli kuniuliza nn kimetokea jamani mbona tunackia hivi na hivi na tulivyokuwa tunaona manapendana? ilikuwa kama nikimic kwenye kampani wadada wanamuuliza nyamayao yupo wapi mbona leo upo mwenyewe jibu alilokuwa anawapa ni kwamba "nimetemana nae"...akiulizwa y? "bac tu nimeamua iwe hivyo"....baada ya cku chache mmoja wa wadada akaniambia fulani ameshapata gfnd mwingine ndio cku hizi tunakuwa nae, nilikaaga chuo likizo yote ya miezi miwili pombe na mie, mie na pombe, halafu sasa hivi anajifanya nyooo nyooo.
 
muonee huruma mtoto wa mwanamke mwenzio bi dada!

I may be walking slowly, But I never walk backwards! and Whenever I walk backwards, Its for a long jump!!
 
Reactions: Mbu
Kweli kabisa hommie, hasa ukizingatia Mungu si Athumani.
Na ukizingatia kua sisi hatutaki kukiona kile alichokiona "Mtema Kuni" Si unamuona bibie Maty hapo juu anavyofunguka?
Sijui ndo keshaharibiwa maisha?
 
Mkienda mtakiona cha mtema kuni....(sijawahi ona binadamu anatema kuni, pamoja na umri wangu wote huu)
Subiri siku ya Iddi, ndo utafaidi kuona mtu anatema kuni
 
Nanyamaza asee....naheshimu sredi ya umbu......

Hahahhaha wapi kibatani cha like lol, yaani nikimkubalia nakua na faida mbili kwanza nimepunguza maana ukikaa sana zinajaa, pili ndio hivyo tena.

Habaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaarrrrr yake. Utu uzima raha sana asee
 
Reactions: Mbu

unafanya kitu kizuri sana sana, c mzazi mwenzio? nani ale hizo pesa, hebu kula pesa huko.
 
Na ukizingatia kua sisi hatutaki kukiona kile alichokiona "Mtema Kuni" Si unamuona bibie Maty hapo juu anavyofunguka?
Sijui ndo keshaharibiwa maisha?

Niharibiwe mara ngapi, halafu bado anataka kukazia uharibifu wake yaani aongeze tena na tena na tena
 
Reactions: Mbu
Hapo atamsingizia shetani kumbe maruhani aliyanunulia udi mwenyewe! Mwe mapenzi yana vitukoh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…