Umeniharibia maisha! ...what?

I may be walking slowly, But I never walk backwards! and Whenever I walk backwards, Its for a long jump!!
hahahaha nimekusoma wangu!!
Its for a "long Jump" sio? ok ok!
 
Reactions: RR
unafanya kitu kizuri sana sana, c mzazi mwenzio? nani ale hizo pesa, hebu kula pesa huko.
Hahahah nimegundua sie wengine tunajomasikinisha wenyewe kwa kujitia twajua kususa loh! Mie nlimsusia mpaka vya kwangu! Laiti ningemjua Matty mapema hakuna rangi angeachaiona mbaba yule.
 
Kama uko poa....mimi poa sana....
Yaani lijamaa lilisigina roho yako hivihivi......ila usilichune kama afanyavyo Maty....kuna siku utalipa....

kuna tofauti kati yangu na Maty swir, Maty huyo ni mzazi mwenzie, cdhubutu hata kukaa nae sec 1.
 

Umeona eeeee mtu anakuacha kwa mbwembwe halafu baadae eti lol, huyu baba aliniacha kwa mbwembwe jama. Sasa eti anakumbuka lol. wonders shall never end ooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
 
Hahaha kwa hiyo mzazi mwenzie ni kwenye pesa tu eh? "kwenye kutoa naniino" hakuna cha mzazi mwenzie si ndio?

Naniino si aliiacha mwenyewe sina makosa mie kabisa, pesa zake nakula cause anataka kunigeuza mi ndondocha lake la mapenzi pambaf zake
 
kweli kabisa hiyo bold, unajua nachoshangaa anataka nini wakati anajua ushachukuliwa? ni walewale waharibifu tu
 
kama ulikuwepo mpenzi, umekaa na wako mara simu grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr mbona ameshaharibu vya kutosha tu, maana mtu akiona hivyo haamini kama nyinyi hamkumbushiagi
shoga achana nae kabisa atakuharibia uhondo wake, tena afadhali kenda zake ,wanaume wako wengi na siku hizi kila mtu handsome sijui ni hizo scrub????? hahahahaha hapa lazima babu ajibu
 
Hahahah nimegundua sie wengine tunajomasikinisha wenyewe kwa kujitia twajua kususa loh! Mie nlimsusia mpaka vya kwangu! Laiti ningemjua Matty mapema hakuna rangi angeachaiona mbaba yule.

ucrudie tena kamwe.
 
May ask y swt?? Nanusa harufu ya wewe kuogopa sumaku yake...

nope nope...sasa narudiana nae wa nn, ingekuwa tuna mtoto ningecheza game kama ya Maty, sasa huyu hana faida yoyote kwangu sana sana "ataniharibia maisha"
 
nope nope...sasa narudiana nae wa nn, ingekuwa tuna mtoto ningecheza game kama ya Maty, sasa huyu hana faida yoyote kwangu sana sana "ataniharibia maisha"

Sijasema urudiane nae....ila nimesema unaogopa ukikaa nae karibu mtarudiana.....trying to say you not over him...
Ila naishia hapa...right?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…