Umeoa halafu unamzuia binti wa watu asifanye kazi na huna uwezo wowote kifedha. Unafanya hivyo kwa faida gani na ili iweje?

Umeoa halafu unamzuia binti wa watu asifanye kazi na huna uwezo wowote kifedha. Unafanya hivyo kwa faida gani na ili iweje?

TheForgotten Genious

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2014
Posts
2,087
Reaction score
3,156
Kuna vijana mimi nawaona wa hovyo sana,utakuta kaoa mke ana Taaluma yake ,yeye maisha yake ni yakubangaiza mwenzangu na mimi kama sio zaidi ya mimi lakini anamzuia mke wake asifanye kazi kwa kuajiriwa na anakuwa mbogo,ukimuangalia mwanamke kachokaaa na Ana taaluma yake Angeweza kupambana akapata ajira mambo yakaenda ila anaishia kukaa nyumbani.

Wazazi wake walimsomesha ili iweje sasa kwa muktadha wa elimu yetu,?
Wapeni uhuru wake zenu kufanya kitu wanajisikia amani maana wanakuwaga msaada sana hawa mara nyingi ukibakiwa na buku mia mbili zako.

Unafanya hivyo kwa faida gani na ili iweje?, kama hutati afanye kazi kwa watu basi mpe biashara inayoeleweka aifanye.

Ni ushamba
 
Kuna vijana mimi nawaona wa hovyo sana,utakuta kaoa mke ana Taaluma yake ,yeye maisha yake ni yakubangaiza mwenzangu na mimi kama sio zaidi ya mimi lakini anamzuia mke wake asifanye kazi kwa kuajiriwa na anakuwa mbogo,ukimuangalia mwanamke kachokaaa na Ana taaluma yake Angeweza kupambana akapata ajira mambo yakaenda ila anaishia kukaa nyumbani.

Wazazi wake walimsomesha ili iweje sasa kwa muktadha wa elimu yetu,?
Wapeni uhuru wake zenu kufanya kitu wanajisikia amani maana wanakuwaga msaada sana hawa mara nyingi ukibakiwa na buku mia mbili zako.

Unafanya hivyo kwa faida gani na ili iweje?, kama hutati afanye kazi kwa watu basi mpe biashara inayoeleweka aifanye.

Ni ushamba
Sio ushamba tu ni ujuha wa hali ya juu
 
uchoyo tu,,yani nikae tu nyumbani hakikisha unanilipa walau 300k kwa mwezi,,hapo huduma zingine zote unatoa mwenyewe hadi nguo za ndani unaninunulia🤒🤒
hiyo 300k inakua ya kazi gani?
 
Kuna vijana mimi nawaona wa hovyo sana,utakuta kaoa mke ana Taaluma yake ,yeye maisha yake ni yakubangaiza mwenzangu na mimi kama sio zaidi ya mimi lakini anamzuia mke wake asifanye kazi kwa kuajiriwa na anakuwa mbogo,ukimuangalia mwanamke kachokaaa na Ana taaluma yake Angeweza kupambana akapata ajira mambo yakaenda ila anaishia kukaa nyumbani.

Wazazi wake walimsomesha ili iweje sasa kwa muktadha wa elimu yetu,?
Wapeni uhuru wake zenu kufanya kitu wanajisikia amani maana wanakuwaga msaada sana hawa mara nyingi ukibakiwa na buku mia mbili zako.

Unafanya hivyo kwa faida gani na ili iweje?, kama hutati afanye kazi kwa watu basi mpe biashara inayoeleweka aifanye.

Ni ushamba
Sisi jambo TV tumeongea na huyo kijana. Majibu yale ni haya

Anahofia mke wake akipata kipato kikubwa atamkimbia kuolewa na wenzake wanaojiweza

Anaogopa kuliwa na walionavyoana

kijana kasema mwanamke akipata pesa hua mbogo, huwezi tena kum control kwani yeye ndo analipa Bill zote. Na inahitaji mwanamke mwenye akili kuishi na mwanaume maskini
 
Sisi jambo TV tumeongea na huyo kijana. Majibu yale ni haya

Anahofia mke wake akipata kipato kikubwa atamkimbia kuolewa na wenzake wanaojiweza

Anaogopa kuliwa na walionavyoana

kijana kasema mwanamke akipata pesa hua mbogo, huwezi tena kum control kwani yeye ndo analipa Bill zote. Na inahitaji mwanamke mwenye akili kuishi na mwanaume maskini
Ni kweli mwanamke akipata pesa anakuwa na nguvu kuzidi, cha maana hapo ni kuhakikisha unakuwa na kipato zaidi yake, kumzuia kufanya kazi wakati mwenyewe huna kazi ni kutesa watoto, muache afanye kazi wakat wewe unaumiza akili kutengeneza michongo
 
Sisi jambo TV tumeongea na huyo kijana. Majibu yale ni haya

Anahofia mke wake akipata kipato kikubwa atamkimbia kuolewa na wenzake wanaojiweza

Anaogopa kuliwa na walionavyoana

kijana kasema mwanamke akipata pesa hua mbogo, huwezi tena kum control kwani yeye ndo analipa Bill zote. Na inahitaji mwanamke mwenye akili kuishi na mwanaume maskini
Suluhu ni yeye kuonesha jitihada za kupambana,yamkini kuna wanawake wengi wanamna hiyo,lakini mwanaume huwezi kuishi kwa hofu,pia haya mambo ni tabia na ethnicity huchangia na unaa,mwanamke kuna vitu anavihitaji hawezi kumwambia mwanaume kila kitu,kama ndivyo amfungulie biashara inayoeleweka sio kumzuia,siku akipata changamoto ndani kunakuwa kama tanuri la moto lakini mwanamke akiwa na kipato inamsaidia,hawa ni backup
 
Ni kweli mwanamke akipata pesa anakuwa na nguvu kuzidi, cha maana hapo ni kuhakikisha unakuwa na kipato zaidi yake, kumzuia kufanya kazi wakati mwenyewe huna kazi ni kutesa watoto, muache afanye kazi wakat wewe unaumiza akili kutengeneza michongo
Ni kanuni mwanaume kupambana zaidi ya mwanamke
 
Back
Top Bottom