TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,087
- 3,156
Kuna vijana mimi nawaona wa hovyo sana,utakuta kaoa mke ana Taaluma yake ,yeye maisha yake ni yakubangaiza mwenzangu na mimi kama sio zaidi ya mimi lakini anamzuia mke wake asifanye kazi kwa kuajiriwa na anakuwa mbogo,ukimuangalia mwanamke kachokaaa na Ana taaluma yake Angeweza kupambana akapata ajira mambo yakaenda ila anaishia kukaa nyumbani.
Wazazi wake walimsomesha ili iweje sasa kwa muktadha wa elimu yetu,?
Wapeni uhuru wake zenu kufanya kitu wanajisikia amani maana wanakuwaga msaada sana hawa mara nyingi ukibakiwa na buku mia mbili zako.
Unafanya hivyo kwa faida gani na ili iweje?, kama hutati afanye kazi kwa watu basi mpe biashara inayoeleweka aifanye.
Ni ushamba
Wazazi wake walimsomesha ili iweje sasa kwa muktadha wa elimu yetu,?
Wapeni uhuru wake zenu kufanya kitu wanajisikia amani maana wanakuwaga msaada sana hawa mara nyingi ukibakiwa na buku mia mbili zako.
Unafanya hivyo kwa faida gani na ili iweje?, kama hutati afanye kazi kwa watu basi mpe biashara inayoeleweka aifanye.
Ni ushamba