Umeoa halafu unamzuia binti wa watu asifanye kazi na huna uwezo wowote kifedha. Unafanya hivyo kwa faida gani na ili iweje?

Umeoa halafu unamzuia binti wa watu asifanye kazi na huna uwezo wowote kifedha. Unafanya hivyo kwa faida gani na ili iweje?

Kuna wengine hata ukisema utawatimizia mahitaji yao ama utampa reasonable allowance on top ya kumtimizia mahitaji yake lakini bado wanaona wamenyimwa uhuru. Muhimu ni kukubaliana kwanza juu ya vipaumbele vyenu.

Dhana ya kuamini eti kufanya kazi ndo only way kuboresha maisha ya familia ni potofu sana, tunawaona wahindi na waarabu wengi tu wake zao wapo majumbani na bado wao ndo wanaomiliki mabiashara makubwa na kuwa na vipato vikubwa kuliko kina sie. Jambo la msingi ni nyinyi mtu mbili kukubaliana kwenye ujinga na werevu basi!
Tamaduni zetu,hali zetu,imani zetu,hivi ni misingi yakuzingatia,mwanamke hata umpe kila kitu lakini bado atahitaji kuwa na kitu kwa nguvu zake mwenyewe,lakini kupata ajira ni takwa la kisheria kwa kila mmoja wetu,umechukulia mfano wa hindi na waarabu,hawa watu wana utamaduni wao hasa katika kuishi kiujamaa na kutengeneza Generation wealth,sisi huku hatuna,
 
Tamaduni zetu,hali zetu,imani zetu,hivi ni misingi yakuzingatia,mwanamke hata umpe kila kitu lakini bado atahitaji kuwa na kitu kwa nguvu zake mwenyewe,lakini kupata ajira ni takwa la kisheria kwa kila mmoja wetu,umechukulia mfano wa hindi na waarabu,hawa watu wana utamaduni wao hasa katika kuishi kiujamaa na kutengeneza Generation wealth,sisi huku hatuna,
Sijui unapesa "Sisi" unamaanisha nani na nani, mi ninachofahamu ukiongelea watanzania tu hatuna imani wala tamaduni zinazofanana completely. Ukiangalia kiundani zaidi utagundua kuna jamii zinatofautiana kwa mbali sana katika haya mawili ndani ya hii hii Tanzania moja. Mfano, Maasai hafanani na Mluguru na wote wawili wanatofauti sana na watu wa pwani.

Kimsingi si sawa kusema "utamaduni wetu waTanzania" kwa kuwa hatuna tamaduni moja. Concept ya kuwa mwanamke anaridhika only akiwa na chake mwenyewe mimi kwenye jamii yangu haipo coz wanawake wengi katika jamii yangu ni mama wa nyumbani na wameridhika na hilo, role yao katika hili ni kubwa sana katika jamii.
 
Kuna vijana mimi nawaona wa hovyo sana,utakuta kaoa mke ana Taaluma yake ,yeye maisha yake ni yakubangaiza mwenzangu na mimi kama sio zaidi ya mimi lakini anamzuia mke wake asifanye kazi kwa kuajiriwa na anakuwa mbogo,ukimuangalia mwanamke kachokaaa na Ana taaluma yake Angeweza kupambana akapata ajira mambo yakaenda ila anaishia kukaa nyumbani.

Wazazi wake walimsomesha ili iweje sasa kwa muktadha wa elimu yetu,?
Wapeni uhuru wake zenu kufanya kitu wanajisikia amani maana wanakuwaga msaada sana hawa mara nyingi ukibakiwa na buku mia mbili zako.

Unafanya hivyo kwa faida gani na ili iweje?, kama hutati afanye kazi kwa watu basi mpe biashara inayoeleweka aifanye.

Ni ushamba
Jirani mbona unaifatilia sana ndoa yangu!!!!!!
 
Sijui unapesa "Sisi" unamaanisha nani na nani, mi ninachofahamu ukiongelea watanzania tu hatuna imani wala tamaduni zinazofanana completely. Ukiangalia kiundani zaidi utagundua kuna jamii zinatofautiana kwa mbali sana katika haya mawili ndani ya hii hii Tanzania moja. Mfano, Maasai hafanani na Mluguru na wote wawili wanatofauti sana na watu wa pwani.

Kimsingi si sawa kusema "utamaduni wetu waTanzania" kwa kuwa hatuna tamaduni moja. Concept ya kuwa mwanamke anaridhika only akiwa na chake mwenyewe mimi kwenye jamii yangu haipo coz wanawake wengi katika jamii yangu ni mama wa nyumbani na wameridhika na hilo, role yao katika hili ni kubwa sana katika jamii.
Kila mmoja ana uhuru wa kufanya kazi,kuwa na kipato na mali zake binafsi hata sheria ya ndoa inaeleza wazi,suala la tamaduni lililozungumziwa ni kwa namna gani tamaduni zetu huchangia hilo kwa kiasi kikubwa,hivyo misingi ya haki izingatiwe hiyo ndio mantiki,otherwise wakubwliane kiroho safi nasio kumzuia.
 
Roho mbaya tu. Wanaogopa mwanamke akowa na kipato atakuwa na nguvu ya kusimamia haki zake.
Sema atakuwa na jeuri ya kumuondoa mwanaume maisha I mwake. Nyie wanawake dawa yenu ni kuwa Taliban tuu. Tumewaendekeza mpaka Leo hii eti mwanamke amamwambia mwanaume "nipige kama wee mwanaume" shenz type ingekuwa Kandahar au Kabul ulishadesidhwa zamaniii
 
Sema atakuwa na jeuri ya kumuondoa mwanaume maisha I mwake. Nyie wanawake dawa yenu ni kuwa Taliban tuu. Tumewaendekeza mpaka Leo hii eti mwanamke amamwambia mwanaume "nipige kama wee mwanaume" shenz type ingekuwa Kandahar au Kabul ulishadesidhwa zamaniii
Ukorofi huo😂
 
Back
Top Bottom