Umeoa mke mwenye miaka 25+? Usitegemee mafanikio

Umeoa mke mwenye miaka 25+? Usitegemee mafanikio

Mapenzi hayapo kwenye vitabu wala hayana kanuni hivyo ukishindana nayo utarukwa na akili, tafuta pesa kijana.
Ushauri mzuri. Japo mapenzi yakikuendea kombo hata hiyo hela huwezi kuitafuta
 
Mmmh... Kuna jamaa alioa mwanamke under 24 sasa ndio yuko 25 ila hapa mtaani kuna mijamaa inajisevia hatari halafu mwanaume ni kama 39++
 
Mwenyezi Mungu ndio anapanga maisha ya kila kiumbe wake, na usisahau ilo....
Lkn mwenyezi mungu ametuasa kutumia maarifa. Ndiyo maana tunaelimishana. Kumbuka andiko hili :"watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"
 
Mmmh... Kuna jamaa alioa mwanamke under 24 sasa ndio yuko 25 ila hapa mtaani kuna mijamaa inajisevia hatari halafu mwanaume ni kama 39++
Bahati mbaya yake huyo, ameoa kahaba by nature. Hakufanya vetting vya kutosha
 
Wewe leo unakuwa mwanaume kesho unakuwa mwamke acha hiyo tabia siyo nzuri acha kucheza naakili za watuuu................
.inaonekana we bado mtoto ukikuwa utaacha hiyo Tabia
 
Baadhi ya mikosi na laana za kutofanikiwa kimaisha, huletwa na Michepuko kweli kabisa.
Watu walio wengi hawalitambui hilo, watu huchukua mikosi na kuambatana nayo majumbani bila Wao Kujua.
Hili, nilishuhudia Mrembo mmoja aliyeokoka Church, baadae akasema yy alikuwa anatumiwa na shetani. Yaani Ni mzuri kweli na ukimtongoza alikuwa hawezi kukataa, lakini ukilala naye lazima utapoteza Pesa nyingi au kupata ajali au hata kupata misukosuko kazini au kwenye biashara zako.
Sio kila umuonaye Ni mzuri wa kurukia, wengine Ni Agents wa Shetani waliobeba mambo Mengi sana.
 
Lkn mwenyezi mungu ametuasa kutumia maarifa. Ndiyo maana tunaelimishana. Kumbuka andiko hili :"watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"
[emoji57] [emoji57] [emoji57] mungu wewe unamjua ????
 
Kuoa ni kama karata inategemea umelamba ipi, ulipolamba tu na mchezo ukamalizwa, kama umelamba joka basi umekufanalo na kama ni "A" basi bahati ni ako, in between ni chance nyingine pia, muombe mungu kama unamuamini, na heshimu mipaka yake awez kukurupa, umri unafasi ndogo sana ktk kurely in (this) one factor.
Kwa wanaomuamin mungu hasa waislam wanapo pakupigia mfano kwa mtume wao, alioa mwanamke wa miaka 40 na akaenjoy wkt yy ana 25 yrs na pia alioa binti mbich alietoka kuvunja ungo less than 13 years bt greater than 9 years. Wote walimuheshim na waislam wanarely hapa kama kiigizo chao.. Faida ya kipekee kiumri ni bikra kwa (kwa wengi behaved, japo nowdaus imekua nadra), kukuzalia idadi ya watoto unaowahitaji, kukuhushim labda kwa aibu ya kumzid umri na kupendeza kwili kwa mda mrefu ( other things hold costants).
Umechambua na kunyumbua vizuri mkuu. Asante
 
Huyu anacheza naakili zenuuu...... Huyu sindio alipost anamimba ya msafisha kuchaaa!!!!! Teh

Mods piga banned hii mutuuu
 
Wewe umepitia wangapi,ukadanganya wangapi,umejeruhi wangapi, na umebeba mikosi kiasi gani? Biashara bila mteja haiuzwi bana na ile habari huwa kuna mwanaume na mwanamke,acha kuji console adui wa mafanikio yako ni wewe mwenyewe.
 
Baadhi ya mikosi na laana za kutofanikiwa kimaisha, huletwa na Michepuko kweli kabisa.
Watu walio wengi hawalitambui hilo, watu huchukua mikosi na kuambatana nayo majumbani bila Wao Kujua.
Hili, nilishuhudia Mrembo mmoja aliyeokoka Church, baadae akasema yy alikuwa anatumiwa na shetani. Yaani Ni mzuri kweli na ukimtongoza alikuwa hawezi kukataa, lakini ukilala naye lazima utapoteza Pesa nyingi au kupata ajali au hata kupata misukosuko kazini au kwenye biashara zako.
Sio kila umuonaye Ni mzuri wa kurukia, wengine Ni Agents wa Shetani waliobeba mambo Mengi sana.
Asante mkuu kwa kuongezea nyama uzi wangu. Mwenye masikio na asikie
 
Hawa washachukua laana na mikosi toka wanaume tofauti tofauti waliokuwa wapenzi wao huko nyuma. Na wengine wameacha machozi ya machungu kwa wanaume walio wekeza nguvu na rasilimali zao kwa wanawake hao wakijua watawaoa. Lakini mwishowe wakasalitiwa.

Kuna swali linaulizwa na wengi, "kwanini ndoa za miaka ya zamani zilidumu kuliko za sasa? " Jibu: wanawake wa zamani walijitunza na hivyo waliolewa wakiwa mabikra.

Hawa wa siku hizi wanakuwa washaharibiwa kila tundu asilia la mwilini ndiyo wanaolewa. Halafu ndiyo unaoa mwanamke kama huyu, kisha utegemee mafanikio na utangamano katika ndoa? Migogoro na mikosi itakuandama tu.

Mfano mtu ashatembea na mijanaume mikubwa kiumri kuliko babako mzazi tangu akiwa na miaka 15, unategemea k imelegea kiasi gani? Hata ufanyeje utaishia kuonekana una kibamia. Unategemea hisia za kimapenzi ashapoteza kiasi gani? Kiharage kimekomaa mpaka kimeota magamba kama ya pelege. Unategemea ashachukua laana kiasi gani? Nyingine ziliingia kwa kunyonya, nyingine kwa kuruka ukuta na nyingine kuonyesha utupu kwa mtu mzima kuliko babake mzazi.

Wanawake wengi sana zaidi ya 95% ktk umri wa 25+ wanakuwa washapata mimba lakini huzitoa. Halafu anakuja humu na kujinasibu kwa kubana pua "nina miaka 26 sina mtoto". KE wa namna hii inabidi aulizwe ulimpeleka wapi mtoto? Kwenye nafsi yake lazima atakumbuka idadi kubwa ya watoto aliyowatupa chooni.

Ndugu yangu mwanamke wa namna hii utakuwa kila Unalolifanya linadunda maana umeoa nuksi.


USHAURI:
Ukitaka kuoa, oa mwanamke ambaye ni chini ya miaka 25 kiumri. Ana madhambi na laana chache. Na kila mipango utakayoipanga itafanikiwa kwa kuwa hakuna kikwazo ktk ndoa yako.

(JF ni mtambo wa kurekebisha tabia)
umesema kwel kabsa
 
Hawa washachukua laana na mikosi toka wanaume tofauti tofauti waliokuwa wapenzi wao huko nyuma. Na wengine wameacha machozi ya machungu kwa wanaume walio wekeza nguvu na rasilimali zao kwa wanawake hao wakijua watawaoa. Lakini mwishowe wakasalitiwa.

Kuna swali linaulizwa na wengi, "kwanini ndoa za miaka ya zamani zilidumu kuliko za sasa? " Jibu: wanawake wa zamani walijitunza na hivyo waliolewa wakiwa mabikra.

Hawa wa siku hizi wanakuwa washaharibiwa kila tundu asilia la mwilini ndiyo wanaolewa. Halafu ndiyo unaoa mwanamke kama huyu, kisha utegemee mafanikio na utangamano katika ndoa? Migogoro na mikosi itakuandama tu.

Mfano mtu ashatembea na mijanaume mikubwa kiumri kuliko babako mzazi tangu akiwa na miaka 15, unategemea k imelegea kiasi gani? Hata ufanyeje utaishia kuonekana una kibamia. Unategemea hisia za kimapenzi ashapoteza kiasi gani? Kiharage kimekomaa mpaka kimeota magamba kama ya pelege. Unategemea ashachukua laana kiasi gani? Nyingine ziliingia kwa kunyonya, nyingine kwa kuruka ukuta na nyingine kuonyesha utupu kwa mtu mzima kuliko babake mzazi.

Wanawake wengi sana zaidi ya 95% ktk umri wa 25+ wanakuwa washapata mimba lakini huzitoa. Halafu anakuja humu na kujinasibu kwa kubana pua "nina miaka 26 sina mtoto". KE wa namna hii inabidi aulizwe ulimpeleka wapi mtoto? Kwenye nafsi yake lazima atakumbuka idadi kubwa ya watoto aliyowatupa chooni.

Ndugu yangu mwanamke wa namna hii utakuwa kila Unalolifanya linadunda maana umeoa nuksi.


USHAURI:
Ukitaka kuoa, oa mwanamke ambaye ni chini ya miaka 25 kiumri. Ana madhambi na laana chache. Na kila mipango utakayoipanga itafanikiwa kwa kuwa hakuna kikwazo ktk ndoa yako.

(JF ni mtambo wa kurekebisha tabia)
Dada zako wote wemeolewa wakiwa chini ya miaka 25?
 
Back
Top Bottom