Umepanga chumba kimoja unaoa ili iweje?

Vyumba vingi unataka kuanzisha shule au
 
Kikubwa uhai tu.

Mtoa mada tuletee familia ambayo ilipoteza watoto kwa sababu tu wazazi walikuwa wanakaa chumba kimoja ?

Hata ukiwa na nyumba kuubwa ya vyumba 6 bado utalaa kwemye chumba kimoja na mkeo
 
Hao wakwe wanakuja kwako kifanya nini na wanajua uko single room.

Ukiwa unaishi chumba kimoja ndgu, jamaa na marafiki watakuweka kundi la asienacho, wala usitegemee ugeni wowote wa kukupa presha ndgu yangu, hamna ndgu anamtembelea pangu pakavu.
 
Mtoa mada upo sahihi sema genye hazinaga mipango hasa kwa wastaarabu wasiopenda uzinzi na kubaruza pasipo ndoa
 
Inategemea na watu na jinsi mnavobarikiwa.

Lkn, kama mwanaume hauwezi jisikua fresh kuanzisha familia kwenye single room. Inatokea kwa sababu maisha yamekataa na inabidi kila mtu afunge mkanda.

Binafsi, napambana, na hii kazima ifanikiwe, by the tyme naanza kuishi na soulmate wangu niwe atleast kwa chumba na sebule na by the time Mtoto wa kwanza anaaza kwenda shule, niwe kwa full house au niko kwangu.

Otherwise. Ubachelor hauui.
 
Kuna kuoa Halafu kuna kuishi na mwanamke..!!

Sijui unazungumzua wepi, Mana huko kote ni kuoa sikuhizi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…