Umepigwa na kijana mdogo aibu imekupata - Mbaraka Mwinshehe, kama anamwimbia Putin!

Umepigwa na kijana mdogo aibu imekupata - Mbaraka Mwinshehe, kama anamwimbia Putin!

Synthesizer

Platinum Member
Joined
Feb 15, 2010
Posts
12,699
Reaction score
22,598
Sikiliza huu wimbo huu wa Mbaraka Mwinshehe, ambao ni ujumbe murua kwa Putin katika hili suala la vita na Ukraine



Hiloo oooh,
Ulijidai wewe mbabe sana aah,
Leo umepigwa na kijana mdogo
Aibu imekupata

Kiko wapi sasa
Ulichokuwa ukijidai nacho ooh,
Je ungepambana na mimi kaka (NATO?)
Kilema ungekipata....

Ngebe na majivuno yako yamekwisha sasa, heshima iko wapi?


Hili ni fundisho kwa bullies wote, kwamba msidharau wembamba wa reli. Kuna watu mlimshabikia saa Putin humu JF, kuwa atatoa fundisho nk, kiko wapi sasa? Angepigana na NATO ingekuwaje, ikiwa Ukraine tu inampa shida namna hii?

Mliona wapi jogoo la shamba likawika mjini?
 
Sikiliza huu wimbo huu wa Mbaraka Mwinshehe, ambao ni ujumbe murua kwa Putin katika hili suala la vita na Ukraine



Hiloo oooh,
Ulijidai wewe mbabe sana aah,
Leo umepigwa na kijana mdogo
Aibu imekupata

Kiko wapi sasa
Ulichokuwa ukijidai nacho ooh,
Je ugepambana na mimi kaka (NATO?)
Kilema ungekipata....

Ngebe na majivuno yako yamekwisha sasa, heshima iko wapi?

Hili ni fundisho kwa bullies wote, kwamba msidharau wembamba wa reli. Kuna watu mlimshabikia saa Putin humu JF, kuwa atatoa fundisho nk, kiko wapi sasa? Angepigana na NATO ingekuwaje, ikiwa Ukraine tu inampa shida namna hii?

Mliona wapi jogoo la shamba likawika mjini?
Hili nalo mkalitizame"
 
Sikiliza huu wimbo huu wa Mbaraka Mwinshehe, ambao ni ujumbe murua kwa Putin katika hili suala la vita na Ukraine



Hiloo oooh,
Ulijidai wewe mbabe sana aah,
Leo umepigwa na kijana mdogo
Aibu imekupata

Kiko wapi sasa
Ulichokuwa ukijidai nacho ooh,
Je ugepambana na mimi kaka (NATO?)
Kilema ungekipata....

Ngebe na majivuno yako yamekwisha sasa, heshima iko wapi?

Hili ni fundisho kwa bullies wote, kwamba msidharau wembamba wa reli. Kuna watu mlimshabikia saa Putin humu JF, kuwa atatoa fundisho nk, kiko wapi sasa? Angepigana na NATO ingekuwaje, ikiwa Ukraine tu inampa shida namna hii?

Mliona wapi jogoo la shamba likawika mjini?

Putin anapigana na dunia nzima ndio maana hata mwanajeshi wa Tanzania alikuwemo kwenye ndege ya Ukraine iliyotunguliwa
 
Putin anapigana na dunia nzima ndio maana hata mwanajeshi wa Tanzania alikuwemo kwenye ndege ya Ukraine iliyotunguliwa
Putin anapiganaa na Ukraine bwana, kipigo anakipata. Kwani dunia nzima ndio imefanya Putin asiwe na hata viatu vya wanajeshi wake?

Putin kaanza kupigwa na Ukraine kabla hata hawajaanza kupata silaha toka nje.
 
Ni mjinga pekee anayeamin ,Urusi inapigana na Ukraine.

Nadhan umenielewa !!

NATO nzima inapigana na Urusi, nahapo walipo Wameshatumia potentials zao zote za kijeshi !!
NATO wakipigana na Putin vita itakwisha baada ya wiki mbili, Putin kwisha habari yake.

Mbabe gani anategemea silaha kutoka Iran?
 
NATO nzima inapigana na Urusi, nahapo walipo Wameshatumia potentials zao zote za kijeshi !!
Weee, Biden anawaambia Ukraine tuna silaha za kuwawezesha kusambaratisha hadi jengo la Kremlin, lakini tukiwapa hizo silaha mkampiga Mrusi kiasi hicho, Putin anaweza kuingia wazimu akafyatua silaha za nuclear kwa sababu ataona he has nothing to lose.

Kwa hiyo bwana, Ukraine bado haijapewa zile ngoma nzito kwa kuhofia tapatapa za mfa maji Putin asije akatuharibia dunia
 
Sikiliza huu wimbo huu wa Mbaraka Mwinshehe, ambao ni ujumbe murua kwa Putin katika hili suala la vita na Ukraine



Hiloo oooh,
Ulijidai wewe mbabe sana aah,
Leo umepigwa na kijana mdogo
Aibu imekupata

Kiko wapi sasa
Ulichokuwa ukijidai nacho ooh,
Je ugepambana na mimi kaka (NATO?)
Kilema ungekipata....

Ngebe na majivuno yako yamekwisha sasa, heshima iko wapi?

Hili ni fundisho kwa bullies wote, kwamba msidharau wembamba wa reli. Kuna watu mlimshabikia saa Putin humu JF, kuwa atatoa fundisho nk, kiko wapi sasa? Angepigana na NATO ingekuwaje, ikiwa Ukraine tu inampa shida namna hii?

Mliona wapi jogoo la shamba likawika mjini?

😂 😂 😂
 
Ukraine imefanywa kwa makusudi kuwa buffer zone kwenye vita ya wababe wa dunia.......hatari ipo kwenye kuvuka mstari wa mwenzio.
 
😁😁napenda vita inavyoenda kwa mwendo wa Kobe wakati huo Putin anakaza mpka misuli wa mwisho yani kila akiwaza afanye nini anaona tu mitambo ya nuclear yani anatumia silaha kuangusha majengo mpaka ya shule jamaa ana mbinu za kishamba sana ni kam Putin ana vina saba vya Kimeru.
 
Putin hapigani na zelensk pekee, anapigana na mataifa mengi ndani ya ukraine. Isingekuwa mataifa hayo yenye nguvu za kijeshi ukraine ingeshatekwa siku nyingi isingefika miezi kumi tangu vita kuanza
 
Putin hapigani na zelensk pekee, anapigana na mataifa mengi ndani ya ukraine. Isingekuwa mataifa hayo yenye nguvu za kijeshi ukraine ingeshatekwa siku nyingi isingefika miezi kumi tangu vita kuanza
Hivyo ni visingizio tu. Kwani ukianzisha vita unamwambia adui yako asipigane na silaha za wengine? Wewe umelianzisha limalize, Ukraine anachopewa ni silaha ambazo zinaelekea kulingana na za Urusi

Mbona Urusi anachukua silaha kwa Iran na North Korea, hilo linakubalika ila kwa Ukraine halikubaliki?

Tulipogigana na Idd Amin, tulipewa silaha hadi na Algeria, na inasemekana bila Algeria tungepigwa kama watoto. Ghadafi alimpa silaha Idd Amin. ANC walichukua silaha toka Urusi na China. Si vita bwana!

Tatizo ni pale askari wa nchi nyigine wanapoingia, lakini sio silaha. Putin anakojolea watu halafu yeye ndio analalamika, ebooo?
 
Ila kwa upande mwengine hii stori ilitokea kweli pale Morogoro kwenye hiyo miaka ya Sabini.
Hahaha!

Da, hadi Mbaraka akaitungia wimbo, naona huyo jamaa alikuwa mwamba sana basi. Halafu Mbaraka anasema ugepigana na mimi kilema ugekipata! Yaani huyu Mbaraka kwa hivi vijembe alipaswa waoane na mama kama asingekufa 😀
 
Kama vipi mataifa yenye nguvu za kijeshi yaache kuipa silaha na fedha ukraine. Zelensk atakimbia nchi, hana uwezo wa kupambana na urusi.
 
Kama vipi mataifa yenye nguvu za kijeshi yaache kuipa silaha na fedha ukraine. Zelensk atakimbia nchi, hana uwezo wa kupambana na urusi.
Kama vipi IRAN aache kuipa silaha urusi vita inaisha leo
 
Back
Top Bottom