Umepigwa na kijana mdogo aibu imekupata - Mbaraka Mwinshehe, kama anamwimbia Putin!

Umepigwa na kijana mdogo aibu imekupata - Mbaraka Mwinshehe, kama anamwimbia Putin!

NATO wakipigana na Putin vita itakwisha baada ya wiki mbili, Putin kwisha habari yake.

Mbabe gani anategemea silaha kutoka Iran?
NATO silaha zote anamalizia ukraine,, ujerumani kabaki na vifaru 50 tu,, itachukua miaka mingi sana NATO ku replenish stock yao ya silaha,, wanachoomba sasa kusitokee vita tena mfano ya north korea na south korea, au china na Taiwan, jambo ambalo litawalazimu waingilie na hatakuwa na silaha za kutosha na hivyo usalama wao kama nchi utakuwa exposed ,
Nchi pekee hapa duniani yenye capacity ya kufanya mass production kubwa ya silaha ni china, iwe manowari, jetfighter, vifaru, rada, etc.
Warusi wameamua kufanya war of attrition,, bleeding NATO to the maximum,, end product ni a weakened West,jambo litakalopelekea the rise of chinese as a new superpower,,
So wakati west wameelekeza attention zote kupambana na Russia,, wao wachina wanaji position vizuri kiuchumi na kijeshi,, by the time west wanashituka imeshakua too late,, so Russia waneamua kwenda na beat hata kwa miaka 10,then watakaa chini na china , kufanya mahesabu, ili wajue nani ni nani katika dunia hii,,
By the way,, hii vita ni either Russia ashinde au ukraine ipotee,, no other option🤷🏽‍♂️
 
Hivi iran na korea kaskazini au china wana silaha gani kali kuipa urusi itwange ukraine? Iran yenyewe ni hohe hahe haina wataalamu wa kuunda silaha kali na za kisasa duniani, itawezaje kuipa silaha urusi? Labda itoe silaha zake za kale kuingezea urusi. Yaani urusi isaidiwe na iran? Maana yake nchi za NATO zinatengeneza silaha kali sawa na za iran. Lini iran ime advance kwenye silaha za kisasa za kidijitali mpaka iisaidie urusi ambayo iko juu kijeshi? Iran hana uwezo wa kijeshi kuisaidia urusi
 
NATO silaha zote anamalizia ukraine,, ujerumani kabaki na vifaru 50 tu,
Warusi wameamua kufanya war of attrition,, bleeding NATO to the maximum,, end product ni a weakened West,jambo litakalopelekea the rise of chinese as a new superpower
By the way,, hii vita ni either Russia ashinde au ukraine ipotee,, no other option🤷🏽‍♂️
Ukraine hashindi hii vita kwa ajili ya silaha anazopewa, zaidi ni kwa ajili ya uzembe na ukosefu wa umakini wa wanajeshi wa Urusi. Hii ndio siri kubwa ya ushindi wa Ukraine.

Sanasana kilichomsaidia sana Ukraie ni Juvelin za USA, ambayo ni silaha ndogo ya kuweka begani lakini ameitumia very effectively, na imependwa hadi watoto wanaozaliwa Ukraine wanapewa jina Juvelin wa kiume na Juvelina wa kike!

Germany alikuwa na vifaru vingapi hadi abakiwe na 50 tu kwa kuwa amempa Ukraine? In any case haya mavifaru wanayotoa kwa Ukraine ni ya zamai ambayo nao wanajua haina maana hata kuwa nayo. Si umesikia Ukraine anasema kuna silaha wanapewa za mwaka 47 hazifai kitu?

Halafu, yaani Putin a-risk kupinduliwa na hata kuuwawa ili kuiwezesha China kuwa super power? I say analaysis yako bwaa ina walakini. Putin is in serious trouble ndani ya Urusi kwa ajili hii vita, eti iwe kwa mapenzi yake na Mchina? Heee!

Point ya mabadiliko itakuwa Ukraine akipewa Patriots na USA. Subiri mziki wake, maana Mrusi hataweza tena kumpiga makombora Ukraine

Na kama isingekuwa ATO kumkataza, Urusi sasa hivi angekuwa anapata kichapo ndani ya Urusi. Ni kwa vile tu NATO wanamwambia Ukraine ukianza kumchapa ndani ya Urusi tutasimamisha misaada ya silaha. Kwa hiyo Mrusi ndio anapaswa kumshukuru zaidi NATO, anamwokoa na kichapo kibaya hata zaidi

Na kuhusu

By the way,, hii vita ni either Russia ashinde au ukraine ipotee,, no other option🤷🏽‍♂️
Umesahau option moja - Putin kupinduliwa na kukimbia toka Urusi, au kuuwawa ndani ya Urusi. Watch this space, anytime utasikia Putin is no more. The Russian vultures are closing in
 
Hivi iran na korea kaskazini au china wana silaha gani kali kuipa urusi itwange ukraine? Iran yenyewe ni hohe hahe haina wataalamu wa kuunda silaha kali na za kisasa duniani, itawezaje kuipa silaha urusi? Labda itoe silaha zake za kale kuingezea urusi. Yaani urusi isaidiwe na iran? Maana yake nchi za NATO zinatengeneza silaha kali sawa na za iran. Lini iran ime advance kwenye silaha za kisasa za kidijitali mpaka iisaidie urusi ambayo iko juu kijeshi? Iran hana uwezo wa kijeshi kuisaidia urusi
I say, naona hutambui uwezo wa kijeshi wa Iran wewe. Iran ana jeshi na tekinolojia ya kijeshi alivyoandaa kupambana na USA, ndipo alipofikia, na ndio maana USA na Israel wanamwogopa sana

Drone zote zinazoisambaratisha Ukraine na hasa miundombinu ya umeme ni za Iran. Yaani ziko accurate anapiga hadi transformer toka masafa ya mbali (precision targeting). Ndio maana Zelensky yuko Marekani kuomba patriots maana anazidiwa na drones na makombora ya Iran

Sasa hivi Iran anapeleka wanajeshi kwenye hizi sehemu za Ukraine zilizomegwa na Urusi kwa ajili ya kuwafundisha Urusi kutumia silaha zake. Usimuone Iran kuwa mnyonge bwana. Angalia hapa
 
Ukraine hashindi hii vita kwa ajili ya silaha anazopewa, zaidi ni kwa ajili ya uzembe na ukosefu wa umakini wa wanajeshi wa Urusi. Hii ndio siri kubwa ya ushindi wa Ukraine.

Sanasana kilichomsaidia sana Ukraie ni Juvelin za USA, ambayo ni silaha ndogo ya kuweka begani lakini ameitumia very effectively, na imependwa hadi watoto wanaozaliwa Ukraine wanapewa jina Juvelin wa kiume na Juvelina wa kike!

Germany alikuwa na vifaru vingapi hadi abakiwe na 50 tu kwa kuwa amempa Ukraine? In any case haya mavifaru wanayotoa kwa Ukraine ni ya zamai ambayo nao wanajua haina maana hata kuwa nayo. Si umesikia Ukraine anasema kuna silaha wanapewa za mwaka 47 hazifai kitu?

Halafu, yaani Putin a-risk kupinduliwa na hata kuuwawa ili kuiwezesha China kuwa super power? I say analaysis yako bwaa ina walakini. Putin is in serious trouble ndani ya Urusi kwa ajili hii vita, eti iwe kwa mapenzi yake na Mchina? Heee!

Point ya mabadiliko itakuwa Ukraine akipewa Patriots na USA. Subiri mziki wake, maana Mrusi hataweza tena kumpiga makombora Ukraine

Na kama isingekuwa ATO kumkataza, Urusi sasa hivi angekuwa anapata kichapo ndani ya Urusi. Ni kwa vile tu NATO wanamwambia Ukraine ukianza kumchapa ndani ya Urusi tutasimamisha misaada ya silaha. Kwa hiyo Mrusi ndio anapaswa kumshukuru zaidi NATO, anamwokoa na kichapo kibaya hata zaidi

Ukraine hashindi hii vita kwa ajili ya silaha anazopewa, zaidi ni kwa ajili ya uzembe na ukosefu wa umakini wa wanajeshi wa Urusi. Hii ndio siri kubwa ya ushindi wa Ukraine.

Sanasana kilichomsaidia sana Ukraie ni Juvelin za USA, ambayo ni silaha ndogo ya kuweka begani lakini ameitumia very effectively, na imependwa hadi watoto wanaozaliwa Ukraine wanapewa jina Juvelin wa kiume na Juvelina wa kike!

Germany alikuwa na vifaru vingapi hadi abakiwe na 50 tu kwa kuwa amempa Ukraine? In any case haya mavifaru wanayotoa kwa Ukraine ni ya zamai ambayo nao wanajua haina maana hata kuwa nayo. Si umesikia Ukraine anasema kuna silaha wanapewa za mwaka 47 hazifai kitu?

Halafu, yaani Putin a-risk kupinduliwa na hata kuuwawa ili kuiwezesha China kuwa super power? I say analaysis yako bwaa ina walakini. Putin is in serious trouble ndani ya Urusi kwa ajili hii vita, eti iwe kwa mapenzi yake na Mchina? Heee!

Point ya mabadiliko itakuwa Ukraine akipewa Patriots na USA. Subiri mziki wake, maana Mrusi hataweza tena kumpiga makombora Ukraine

Na kama isingekuwa ATO kumkataza, Urusi sasa hivi angekuwa anapata kichapo ndani ya Urusi. Ni kwa vile tu NATO wanamwambia Ukraine ukianza kumchapa ndani ya Urusi tutasimamisha misaada ya silaha. Kwa hiyo Mrusi ndio anapaswa kumshukuru zaidi NATO, anamwokoa na kichapo kibaya hata zaidi

Na kuhusu


Umesahau option moja - Putin kupinduliwa na kukimbia toka Urusi, au kuuwawa ndani ya Urusi. Watch this space, anytime utasikia Putin is no more. The Russian vultures are closing in
Putin apinduliwe?,, Hii ngumu sana, kwasasa kila watu wa magjaribi wanaoingia Russia, wanakuwa kwenye spotlight,, sure, marekani hakosi sleeper cell ndani ya Russia,, vilevile Russia hakosi sleeper cell ndani ya marekani,, na ndo maana JFK alikula shaba ya kichwa back then,,
I mean when things get too messy,, Russia pia wana capabilities za kuhit ndani kabisa ya US,,
By the way hata ziara ya zelensiky kwenda US,, Ilipangwa aje aibukie washington DC,, warusi wakaleak infor kabla hata hajaanza safari,, hii inaonyesha Russia iko na watu ndani ya US government,, which means once shit start hitting the fan,, lots of things could happen, bothway
 
NATO silaha zote anamalizia ukraine,, ujerumani kabaki na vifaru 50 tu,, itachukua miaka mingi sana NATO ku replenish stock yao ya silaha,, wanachoomba sasa kusitokee vita tena mfano ya north korea na south korea, au china na Taiwan, jambo ambalo litawalazimu waingilie na hatakuwa na silaha za kutosha na hivyo usalama wao kama nchi utakuwa exposed ,
Nchi pekee hapa duniani yenye capacity ya kufanya mass production kubwa ya silaha ni china, iwe manowari, jetfighter, vifaru, rada, etc.
Warusi wameamua kufanya war of attrition,, bleeding NATO to the maximum,, end product ni a weakened West,jambo litakalopelekea the rise of chinese as a new superpower,,
So wakati west wameelekeza attention zote kupambana na Russia,, wao wachina wanaji position vizuri kiuchumi na kijeshi,, by the time west wanashituka imeshakua too late,, so Russia waneamua kwenda na beat hata kwa miaka 10,then watakaa chini na china , kufanya mahesabu, ili wajue nani ni nani katika dunia hii,,
By the way,, hii vita ni either Russia ashinde au ukraine ipotee,, no other option🤷🏽‍♂️
Kwamba stock ya NATO inaishia Ukraine? Hivi umeona hata ndege moja wanayotumia NATO imepelekwa hapo Ukraine? Hizo Artillery shells ndio unaona wanaishiwa? Au hata drone zao hapo hawajapeleka zaidi ni magari na na hizo art shells jamaa unachekesha sana.
 
US military aid to ukraine for December
Screenshot_20221222-171804.png
 
Putin apinduliwe?,, Hii ngumu sana, kwasasa kila watu wa magjaribi wanaoingia Russia, wanakuwa kwenye spotlight,, sure, marekani hakosi sleeper cell ndani ya Russia,, vilevile Russia hakosi sleeper cell ndani ya marekani,, na ndo maana JFK alikula shaba ya kichwa back then,,
I mean when things get too messy,, Russia pia wana capabilities za kuhit ndani kabisa ya US,,
By the way hata ziara ya zelensiky kwenda US,, Ilipangwa aje aibukie washington DC,, warusi wakaleak infor kabla hata hajaanza safari,, hii inaonyesha Russia iko na watu ndani ya US government,, which means once shit start hitting the fan,, lots of things could happen, bothway
Nimegundua kuwa haya mambo huyaelewi kabisa, unaleta story za kijiweni ndio tuna discuss. Mbona unaandika vitu vya ajabu sana humu, kama vile naongea na form one? Haiwezekani huyu ni wewe, nakufahamu
 
Ni mjinga pekee anayeamin ,Urusi inapigana na Ukraine.

Nadhan umenielewa !!

NATO nzima inapigana na Urusi, nahapo walipo Wameshatumia potentials zao zote za kijeshi !!
Wewe ndiye mjinga maradufu, putin mara kadhaa anasema atakayeingilia hiyo vita na yeye atajumuishwa, kama ni NATO inapigana kwanini Putin haendi kushambulia taifa lolote la Nato ?
 
Wewe ndiye mjinga maradufu, putin mara kadhaa anasema atakayeingilia hiyo vita na yeye atajumuishwa, kama ni NATO inapigana kwanini Putin haendi kushambulia taifa lolote la Nato ?
Kwann ashambulie Sasa ??

Waambie waingize majeshi yao Ukraine na iwe official, uone moto wake
 
Mkuu, Urusi lazima ashinde tu yaaan ije mvua au Jus, Urusi nilazima ashinde.

Kinyume na hapo Kuna vita ya Tatu ya Dunia.

Na hamna anayetaka vita hiyo
Hama kitu ya namna hiyo. Putin bwana ameshakwisha habari yake. Kwa sasa anachotafuta ni namana ya kumaliza hili huku heshima yake ikibaki. Ameanza hata kutoa kauli za kulia poo. Na kuna Warusi wanaona kosa lake ni fursa, wakimwondoa saa hizi wataungwa mkono ndani na nje ya Urusi. Putin amebanwa sana, believe me. Inasemekana anamwomba Macron wa Ufaransa amsaidie wayamalize ki utu uzima

Lakini Putin is finished kaput, na Urusi wanaogopa sana vikwazo vitawaumiza sana ni afadhali Putin aondoke

Ukraine inaua karibu askari 500 wa Urusi kwa siku. Nato itakuwa inaua wangapi?
 
Biden told why Ukraine will not receive all the requested weapons

Zelensky went to the US to beg for money and the latest weapons. However, Biden turned him down, writes Bloomberg.

“The idea that we will give Ukraine material resources that are fundamentally different from what is already going there will have the prospect of splitting NATO, splitting the European Union and the rest of the world,” Biden said at a press conference at the White House.

Washington will supply only the weapons that Kyiv needs for its defense, but long-range tactical missile systems, for example, are out of the question. “We're going to give Ukraine what it needs so it can defend itself so it can excel and succeed on the battlefield,” Biden said before turning to Zelensky and joking, “His answer is yes.”
 
Hama kitu ya namna hiyo. Putin bwana ameshakwisha habari yake. Kwa sasa anachotafuta ni namana ya kumaliza hili huku heshima yake ikibaki. Ameanza hata kutoa kauli za kulia poo. Na kuna Warusi wanaona kosa lake ni fursa, wakimwondoa saa hizi wataungwa mkono ndani na nje ya Urusi. Putin amebanwa sana, believe me. Inasemekana anamwomba Macron wa Ufaransa amsaidie wayamalize ki utu uzima

Lakini Putin is finished kaput, na Urusi wanaogopa sana vikwazo vitawaumiza sana ni afadhali Putin aondoke

Ukraine inaua karibu askari 500 wa Urusi kwa siku. Nato itakuwa inaua wangapi?
Mkuu wewe unafatilia habari hizo Kwa vyombo vya wamagharibi??.
 
Back
Top Bottom