Umepigwa na kijana mdogo aibu imekupata - Mbaraka Mwinshehe, kama anamwimbia Putin!

Umepigwa na kijana mdogo aibu imekupata - Mbaraka Mwinshehe, kama anamwimbia Putin!

Kama vipi mataifa yenye nguvu za kijeshi yaache kuipa silaha na fedha ukraine. Zelensk atakimbia nchi, hana uwezo wa kupambana na urusi.
Put in alisema yeyote atakae shiriki kumsaidia ukraine atakutana na moto
leo hii mnakili kua ukraine anapata support ya west mbona fashist ame shindwa kutekeleza alichosema kwa hao jamaa

Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app
 
Twende mbele turudi nyuma lakini ukweli ni kwamba majeshi ya fashisti Putin yanatembezewa kichapo kikali mno 🥱🥱

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom