ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Jamaa zina vichwa ngumu kama ukoko wa ugali jingaz sana hizo njemba.Ni mjinga pekee anayeamin ,Urusi inapigana na Ukraine.
Nadhan umenielewa !!
NATO nzima inapigana na Urusi, nahapo walipo Wameshatumia potentials zao zote za kijeshi !!
Ila kwa upande mwengine hii stori ilitokea kweli pale Morogoro kwenye hiyo miaka ya Sabini.
Hahaha!
Da, hadi Mbaraka akaitungia wimbo, naona huyo jamaa alikuwa mwamba sana basi. Halafu Mbaraka anasema ugepigana na mimi kilema ugekipata! Yaani huyu Mbaraka kwa hivi vijembe alipaswa waoane na mama kama asingekufa 😀
Okay, western media inasema Urusi wamerudishwa nyuma na wameachia maeneo baada ya kipigo. Vyombo vya Urusi vinasemaje, karibu Urusi wanateka Kiev?Mkuu wewe unafatilia habari hizo Kwa vyombo vya wamagharibi??.
Mkuu Elungata hii ni kweli. NATO hawataki Ukraine wapige ndani ya Urusi, na wanajua wakiwapa hizo silaha za masafa marefu nao wataanza kupiga ndani ya Urusi. Ndio maana hadi leo Mrusi akilipuliwa ndani Ukraine hawasemi ni wao kwa kuwa wamekatazwa.Biden told why Ukraine will not receive all the requested weapons
Zelensky went to the US to beg for money and the latest weapons. However, Biden turned him down, writes Bloomberg.
“The idea that we will give Ukraine material resources that are fundamentally different from what is already going there will have the prospect of splitting NATO, splitting the European Union and the rest of the world,” Biden said at a press conference at the White House.
Washington will supply only the weapons that Kyiv needs for its defense, but long-range tactical missile systems, for example, are out of the question. “We're going to give Ukraine what it needs so it can defend itself so it can excel and succeed on the battlefield,” Biden said before turning to Zelensky and joking, “His answer is yes.”
Sasa Aljazira ndo source yako, hao hawapatan na warusi !!.Okay, western media inasema Urusi wamerudishwa nyuma na wameachia maeneo baada ya kipigo. Vyombo vya Urusi vinasemaje, karibu Urusi wanateka Kiev?
Anyway, mie niko zaidi Aljazira. Au nao ni westerm mededia?
Vita ni pamoja na uwezo wa kiongozi wa nchi ku-organize misaada ya kijeshi. Hata Uingereza bila Marekani angepigwa na Hitler. Sasa huwezi kumlaumu Mwingereza eti hakuwa fair kwenye WW2 kwa sababu alisaidiwa na USA, wewe una theory za namna gani? Unataka usawa kwenye vita mura?Kama vipi mataifa yenye nguvu za kijeshi yaache kuipa silaha na fedha ukraine. Zelensk atakimbia nchi, hana uwezo wa kupambana na urusi.
Hawapatani pia na USA kwa kuwa USA wanapatana na Israel. Usiniamnie ElJazira wameanza mapenzi na USA kwa sababu tu ya vita ya Ukraine.Sasa Aljazira ndo source yako, hao hawapatan na warusi !!.
Habari zao zote ni ,kumponda mrusi
Hivi Ukrain anavyopewa vifurushi vya misaada na baadhi ya mataifa ya magaribi ndio kumaanisha Urusi anapigana na NATO?! Pro Putins' ideology msitafute mgongo wa kupumulia, anayewanyoosha ni Zelensky na jeshi lake tiifu.Putin hapigani na zelensk pekee, anapigana na mataifa mengi ndani ya ukraine. Isingekuwa mataifa hayo yenye nguvu za kijeshi ukraine ingeshatekwa siku nyingi isingefika miezi kumi tangu vita kuanza
Inawezekana maana walikuwa wanatupiana sana madongo enzi zile.Kuna Mtu alinijaza eti huu wimbo ni dongo kwa JUMA KILAZA wa pale Morogoro mtaa wa FIRE wkt huo Mbaraka anakaa Nunge!
Tuko tayari kutaja nchi zinazoisaidia Ukraine, ila hatuko tayari kutaja nchi zinazoisaidia Urusi. Kwanza hata vita vyenyewe alishambulia kutokea Belarus.Putin hapigani na zelensk pekee, anapigana na mataifa mengi ndani ya ukraine. Isingekuwa mataifa hayo yenye nguvu za kijeshi ukraine ingeshatekwa siku nyingi isingefika miezi kumi tangu vita kuanza
Wewe na akili zako unaamini Ujerumani imebakia na vifaru 50?NATO silaha zote anamalizia ukraine,, ujerumani kabaki na vifaru 50 tu,, itachukua miaka mingi sana NATO ku replenish stock yao ya silaha,, wanachoomba sasa kusitokee vita tena mfano ya north korea na south korea, au china na Taiwan, jambo ambalo litawalazimu waingilie na hatakuwa na silaha za kutosha na hivyo usalama wao kama nchi utakuwa exposed ,
Nchi pekee hapa duniani yenye capacity ya kufanya mass production kubwa ya silaha ni china, iwe manowari, jetfighter, vifaru, rada, etc.
Warusi wameamua kufanya war of attrition,, bleeding NATO to the maximum,, end product ni a weakened West,jambo litakalopelekea the rise of chinese as a new superpower,,
So wakati west wameelekeza attention zote kupambana na Russia,, wao wachina wanaji position vizuri kiuchumi na kijeshi,, by the time west wanashituka imeshakua too late,, so Russia waneamua kwenda na beat hata kwa miaka 10,then watakaa chini na china , kufanya mahesabu, ili wajue nani ni nani katika dunia hii,,
By the way,, hii vita ni either Russia ashinde au ukraine ipotee,, no other option[emoji2375]
Labda sio marekani hii tuijuayo, marekani ya kihiroshima.Weee, Biden anawaambia Ukraine tuna silaha za kuwawezesha kusambaratisha hadi jengo la Kremlin, lakini tukiwapa hizo silaha mkampiga Mrusi kiasi hicho, Putin anaweza kuingia wazimu akafyatua silaha za nuclear kwa sababu ataona he has nothing to lose.
Kwa hiyo bwana, Ukraine bado haijapewa zile ngoma nzito kwa kuhofia tapatapa za mfa maji Putin asije akatuharibia dunia
Na kama isingekuwa ATO kumkataza, Urusi sasa hivi angekuwa anapata kichapo ndani ya Urusi. Ni kwa vile tu NATO wanamwambia Ukraine ukianza kumchapa ndani ya Urusi tutasimamisha misaada ya silaha.
Kwa hiyo huyo "Bwana mdogo Ukraine" kashinda ama???
NATO silaha zote anamalizia ukraine,, ujerumani kabaki na vifaru 50 tu,, itachukua miaka mingi sana NATO ku replenish stock yao ya silaha,, wanachoomba sasa kusitokee vita tena mfano ya north korea na south korea, au china na Taiwan, jambo ambalo litawalazimu waingilie na hatakuwa na silaha za kutosha na hivyo usalama wao kama nchi utakuwa exposed ,
Nchi pekee hapa duniani yenye capacity ya kufanya mass production kubwa ya silaha ni china, iwe manowari, jetfighter, vifaru, rada, etc.
Warusi wameamua kufanya war of attrition,, bleeding NATO to the maximum,, end product ni a weakened West,jambo litakalopelekea the rise of chinese as a new superpower,,
So wakati west wameelekeza attention zote kupambana na Russia,, wao wachina wanaji position vizuri kiuchumi na kijeshi,, by the time west wanashituka imeshakua too late,, so Russia waneamua kwenda na beat hata kwa miaka 10,then watakaa chini na china , kufanya mahesabu, ili wajue nani ni nani katika dunia hii,,
By the way,, hii vita ni either Russia ashinde au ukraine ipotee,, no other option[emoji2375]
Poland alitoa vifaru vyake vya zamani aina ya T-72 sababu alikua kashaangiza vifaru vipya 200 vya Abraham toka Marekani pia wameorder toka South Korea vifaru 1000 vipya.Poland naye vifaru vyake Vingi vimepotezwa huko Ukraine juzi wameagiza vifaru huko Korea kusini ujerumani ndo hali mbaya kabisa na uwezo wa kufanya mass production ya silaha hana