Mimi mstaarabu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 262
- 577
Kama binadaamu kuna wakati mtu unapitia magumu mpaka hujui nani wa kukusaidia hata kimawazo.
Leo nimeanzisha thread hii ili tushare mambo au changamoto mbalimbali ambazo tunapitia sisi viumbe wa Mungu.
Orodhesha changamoto na jinsi ulivofanikiwa kutatua ili umsaidie mtu mwingine huko aliko.
1. Changamoto ya ajira.
2. Changamoto ya mapenzi.
3. Changamoto ya biashara au maisha kiujumla
Leo nimeanzisha thread hii ili tushare mambo au changamoto mbalimbali ambazo tunapitia sisi viumbe wa Mungu.
Orodhesha changamoto na jinsi ulivofanikiwa kutatua ili umsaidie mtu mwingine huko aliko.
1. Changamoto ya ajira.
2. Changamoto ya mapenzi.
3. Changamoto ya biashara au maisha kiujumla