Umepitia/Unapitia changamoto gani tangu umalize chuo mpaka sasa?

Umepitia/Unapitia changamoto gani tangu umalize chuo mpaka sasa?

Nilikosa kibarua nkawa sina hata geto naishi porini, baadae kwa ugumu sana nkaja kupata kichumba yaan kijistoo cealing board hakuna upande wa pili choo. Watu wana sifa akiwa anakunya unamsikia anahema na kujamba kana kwamba amekula mbigili, alafu harufu kali kichizi. Nilkua nakereka sana. Alhamdulillah nilivuka.
Asee! Sio poa.
 
Ila usimtishe sio lazima kila Mtu apite njia ngumu ili kuishi Kuna watu they never employed anywhere lakini hawaijui njaa muhimu nikumuomba Mungu nothing impossible
Things are unpredictable sametimes even hope means nothing remember that!!
 
Kuhusu ajira ilikuwa kipengele kidogo , nilisota kiaina mtaani, andika sana barua cha kushangaza nilikuwa hata sijibiwi japo kimaisha sikusota sana sababu nilikuwa nina sapoti ya ndugu hivyo ilisaidia kubalance stress


Niliomba sana Mungu naye akanibariki na Internship, baada ya muda akanifungulia njia zaidi nikapata ajira na kuanza kula mshahara huku life linasonga, sijajipata kivile ila nashukuru nilipo ni kwema na-pay bills na kusaidia wengine.

Kuhusu mapenzi nilisota kiaina, ilinibidi nirudi kwenye makoloni yangu ya chuo hata baada ya kumaliza maana mtaani vilikuwa vipengele vingi😁 bora wale niliowaacha school walionijua jobless hivyo kiaina walini-bless bila vizinga vya kijinga

Mengineyo, wakati wa Mungu ndio wakati sahihi ukimtumainia atakupigania, cha msingi weka nia na bidii bila kuhofia.
 
Kuhusu ajira ilikuwa kipengele kidogo , nilisota kiaina mtaani, andika sana barua cha kushangaza nilikuwa hata sijibiwi japo kimaisha sikusota sana sababu nilikuwa nina sapoti ya ndugu hivyo ilisaidia kubalance stress


Niliomba sana Mungu naye akanibariki na Internship, baada ya muda akanifungulia njia zaidi nikapata ajira na kuanza kula mshahara huku life linasonga, sijajipata kivile ila nashukuru nilipo ni kwema na-pay bills na kusaidia wengine.

Kuhusu mapenzi nilisota kiaina, ilinibidi nirudi kwenye makoloni yangu ya chuo hata baada ya kumaliza maana mtaani vilikuwa vipengele vingi😁 bora wale niliowaacha school walionijua jobless hivyo kiaina walini-bless bila vizinga vya kijinga

Mengineyo, wakati wa Mungu ndio wakati sahihi ukimtumainia atakupigania, cha msingi weka nia na bidii bila kuhofia.
Comment ina Mungu na hapohapo ina mizagamuo, aisee Mungu anatupenda sana.

Tunamuomba Mungu ili tuwe na uwezo wa kunjunja pisi kali?? Kumtumikia yeye zaidi? Kusaidia wengine au ni nini??

Maana mtu unamuomba Mungu halafu hapohapo unachomekea mizagamuo alooo.
 
Nilivyomalz intern nilikuwa cna insh ikabd nijitolee mambo yalikuw magum na wadau wakawa wananishaur niache Ila ckukata tamaa nikaendelea yan vile hard working na uaminifu nikaajiliwa hapohapo nilipokuwa najitolea kikubwa focus na kutokata tamaa na kumshirikisha Mungu kwny kila hatua
 
Comment ina Mungu na hapohapo ina mizagamuo, aisee Mungu anatupenda sana.

Tunamuomba Mungu ili tuwe na uwezo wa kunjunja pisi kali?? Kumtumikia yeye zaidi? Kusaidia wengine au ni nini??

Maana mtu unamuomba Mungu halafu hapohapo unachomekea mizagamuo alooo.
Ukisoma vizuri utaona kuwa kipindi kinachozungumziwa ni baada ya chuo na nimeweka wazi muda huo,

na ndio maana nikanukuu kabisa " walinijua jobless" nikimaanisha kipindi ambacho nimetoka chuo na sielewi nafanyaje ila baada ya kuskuti nikamuomba Mungu naye akanibariki kwa kunipa riziki, maisha baada ya kupata mchongo sijayafafanua

Sasa ukianza kunilisha maneno nashangaa, unatoa wapi ujasiri huo
 
Ukisoma vizuri utaona kuwa kipindi kinachozungumziwa ni baada ya chuo na nimeweka wazi muda huo,

na ndio maana nikanukuu kabisa " walinijua jobless" nikimaanisha kipindi ambacho nimetoka chuo na sielewi nafanyaje ila baada ya kuskuti nikamuomba Mungu naye akanibariki kwa kunipa riziki, maisha baada ya kupata mchongo sijayafafanua

Sasa ukianza kunilisha maneno nashangaa, unatoa wapi ujasiri huo
Unajitetea kwangu?? Jitetee kwa Mungu wako.

Mimi sijaongelea maisha ya wapi na wapi nimeinyumbua comment yako hapo kwamba mabebez walikua wanakubless mbususu na wakati huohuo ulikua ukiomba mibaraka kwa muumba na muumba akakupa utakacho japo umesema sicho ulichotaka ila si haba.
 
Acha tu nimeanza masters yangu MBA since 2021 changamoto za ada,ujana na majukumu ya watoto wawili mpaka sasa sijamaliza,ada Sasa semester ya mwisho ndo imekuwa ngumu mikopo nadaiwa kuanzia garage mpaka dukani mpaka najuta kusoma MBA....ooh God please hii MBA ije inilipe maana inanitesa sana familia inakula wali kama wanafunzi waa boarding
 
Kikubwa ni kutokata tamaa hasa kipindi umemalz chuo unatafuta kaz ni maumivu lakin endelea kupambana na kuomba Mungu muda wako utafika tu.
 
Back
Top Bottom