Mimi mstaarabu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 262
- 577
Let's pray to God but things are not easy.Kam binadaamu kuna wakati mtu unapitia magumu mpaka hujui nani wa kukusaidia hata kimawazo.
Leo nime open thread hii ili tushare mambo au changamoto mbalimbali ambazo tunapitia sisi viumbe wa mungu.
Orodhesha cjangamoto na jinsi ulivofanikiwa kuSOLVE ILI IMASAIDIE MTU MWINGINE HUKO ALIPO
1.changamoto ya ajira
2.changamoto ya mapenzi
3.changamoto ya biashara au maisha kiujumla
Je wewe Mimi mstaarabu ni changamoto zipi unazopitia?1.changamoto ya ajira
2.changamoto ya mapenzi
3.changamoto ya biashara au maisha kiujumla
Napitia changamoto nyingi tu sometimes nakua na depression na sijui kwa jinsi gani naweza kupona mfano lwa sasa nina stress za biashara mf wateja wamekua wachche skuizJe wewe Mimi mstaarabu ni changamoto zipi unazopitia?
2020Chuo ulimaliza lini mkuu
Utamaliza tu uje uonje joto la jiwesijamaliza bado, ila nikiangalia wanangu waliomaliza natamani nisimalize😂
Dah ok sio mbaya tupambane tu mkuu hakuna namna wote tupo hali moja2020
Pole kwa changamoto unazopitia.Napitia changamoto nyingi tu sometimes nakua na depression na sijui kwa jinsi gani naweza kupona mfano lwa sasa nina stress za biashara mf wateja wamekua wachche skuiz
Utamaliza tu uje uonje joto la jiwe
Pole kwa changamoto unazopitia.
Depression na stress ni hali za kawaida za kihisia hasa unapokabiliwa na changamoto fulani, ila waweza jiweka sawa kwa:
- Kufanya mazoezi ya mwili kama kutembea au kukimbia
- Kupata usingizi wa kutosha wa angalau masaa saba kwa siku: Na tambua kuwa usingizi bora huandaliwa ( kula mapema angalau iwe masaa 2 kabla ya ule muda wako wa kulala, punguza au acha matumizi ya kahawa hasa wakati wa jioni.
Simtishi nampa ukweli wa hali halisi ya maisha. Hata mimi nilipokuwa chuo nilijuwa biashara ni rahisi ila sasa naanza kuamini biashara ngumu sana aiseeMbona unampa vitisho?
Things are not easy better give him hopeSimtishi nampa ukweli wa hali halisi ya maisha. Hata mimi nilipokuwa chuo nilijuwa biashara ni rahisi ila sasa naanza kuamini biashara ngumu sana aisee
Zipo mfano kama umeanzisha mahuaiano na Jini kabula. Lazima changamoto ziwepo[emoji23]Kumbe kuna changamoto za mapenz nilikua sijui