Mohamedex121
JF-Expert Member
- Jan 27, 2022
- 1,725
- 3,271
Ukishindwa kufanikiwa Dar basi hakuna sehemu utayoweza kufanikiwa. Huu mji hauhitaji nguvu nyingi bali ni akili tu uweze kupata pesa za kusurvive. Ukiangalia kwa umakini Dar imejaa wageni wengi kutoka nje ya nchi wapo hapa kutafuta maisha ukienda nchi zingine ukiwaambia habari za Dar wanakuambia Dar kuzuri sana hasa kwenye utafutaji. Huu mji unafursa kwa kijana anayeanza maisha.
Shida inakuja apa, vijana wengi kuendeleza starehe na wanawake kwenye huu mji ndio maana unakuta wengi wao wana maisha magumu hawafikirii kesho yao unakuta siku zinakwenda kijana hata kujenga anashindwa na kipato anapata freshj shida ni kuendeleza starehe na wanawake maana huu mji unavishawishi vingi sana usipokuwa makini lazima ufeli lakini kwa kijana mwenye malengo huu mji utamfaa katika harakati za utafutaji kikubwa akae mbali na starehe na wanawake
Shida inakuja apa, vijana wengi kuendeleza starehe na wanawake kwenye huu mji ndio maana unakuta wengi wao wana maisha magumu hawafikirii kesho yao unakuta siku zinakwenda kijana hata kujenga anashindwa na kipato anapata freshj shida ni kuendeleza starehe na wanawake maana huu mji unavishawishi vingi sana usipokuwa makini lazima ufeli lakini kwa kijana mwenye malengo huu mji utamfaa katika harakati za utafutaji kikubwa akae mbali na starehe na wanawake