Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Murua kabisa.Huu ni muda wa kuingia pangoni kulala.Niko poa ndugu yangu...za weekend?
Haswaa...ndio muda wenyewe huu vitanda vinatuitaMurua kabisa.Huu ni muda wa kuingia pangoni kulala.
Sasa, changamoto ya JF,utapanda kitandani Ila utachati hadi lukwili.ππππHaswaa...ndio muda wenyewe huu vitanda vinatuita
Mkuu umeandika huku ukiwa unakata gogo au?Naomba nitoe kisa ,mko safarini iko vzr , mabasi , kaja wa karanga unanunua, kaja juice unayo, aya mandazi Umo , mishikaki pale singida huyo , huoni kama mtoto hana hela tu ila umejizaa mwenyewe??
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hatari sana. Mimi hapa itaniokoa chaji kuishaSasa, changamoto ya JF,utapanda kitandani Ila utachati hadi lukwili.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilikuwa nasubiria mje wenzangu mnielewesheMkuu umeandika huku ukiwa unakata gogo au?
πππNilikuwa nasubiria mje wenzangu mnieleweshe
Na alaaniwe aliolivumbua kama.mbogaKabichi halivumiliki kulwaπ€£π€£
Unahama forums tu.Mara unakuwa mshauri wa waliopigwa vibuti.Hatujakaa sawa unabishana na jamaa kuhusu mgao wa umeme.Wakikutukana,unahamia jukwaa la mapicha unamsifu Kipanya.Ukitahamaki,saa kumi na nusu alfajiri unamsoma Nyerere alivyohutubia UNO.ππππ[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hatari sana. Mimi hapa itaniokoa chaji kuisha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mbona unanisema sasaUnahama forums tu.Mara unakuwa mshauri wa waliopigwa vibuti.Hatujakaa sawa unabishana na jamaa kuhusu mgao wa umeme.Wakikutukana,unahamia jukwaa la mapicha unamsifu Kipanya.Ukitahamaki,saa kumi na nusu alfajiri unamsoma Nyerere alivyohutubia UNO.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapana,nakataa!Angalia kwenye kioo,utamuona ninayemsema!ππππ[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mbona unanisema sasa
Connection na gogo ni ipi?, concept iko ??Mkuu umeandika huku ukiwa unakata gogo au?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimekuona weweHapana,nakataa!Angalia kwenye kioo,utamuona ninayemsema![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unajua lkn matako hua yanasingiziwa tu mkuu,maana yenyewe yanatumikaga Kama spika tu mchawi tumbo.Connection na gogo ni ipi?, concept iko ??
Mimi kwenye glasi ya maji na kukuota.Hivi huko hamna mganga anitibu?ππππ[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimekuona wewe
Mimi mwenyewe mganga unataka mganga gani tena[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mimi kwenye glasi ya maji na kukuota.Hivi huko hamna mganga anitibu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Inshaallah!Kumbe kuku wangu hawatoenda mbali.Naaguliwa,kisha napewa supu ya kuku!π€²Mimi mwenyewe mganga unataka mganga gani tena[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa maana mikono haina kosa tatzo n kichwani au co ?Unajua lkn matako hua yanasingiziwa tu mkuu,maana yenyewe yanatumikaga Kama spika tu mchawi tumbo.
Kumbe je[emoji1787][emoji1787] hapa umefika ni wewe tu kueleza yanayokusibuInshaallah!Kumbe kuku wangu hawatoenda mbali.Naaguliwa,kisha napewa supu ya kuku![emoji2969]