Umeshagundua sababu za kuchapwa utotoni kula kwa watu?

Umeshagundua sababu za kuchapwa utotoni kula kwa watu?

Naomba nitoe kisa ,mko safarini iko vzr , mabasi , kaja wa karanga unanunua, kaja juice unayo, aya mandazi Umo , mishikaki pale singida huyo , huoni kama mtoto hana hela tu ila umejizaa mwenyewe??
 
Naomba nitoe kisa ,mko safarini iko vzr , mabasi , kaja wa karanga unanunua, kaja juice unayo, aya mandazi Umo , mishikaki pale singida huyo , huoni kama mtoto hana hela tu ila umejizaa mwenyewe??
Mkuu umeandika huku ukiwa unakata gogo au?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hatari sana. Mimi hapa itaniokoa chaji kuisha
Unahama forums tu.Mara unakuwa mshauri wa waliopigwa vibuti.Hatujakaa sawa unabishana na jamaa kuhusu mgao wa umeme.Wakikutukana,unahamia jukwaa la mapicha unamsifu Kipanya.Ukitahamaki,saa kumi na nusu alfajiri unamsoma Nyerere alivyohutubia UNO.😂😂😂😂
 
Unahama forums tu.Mara unakuwa mshauri wa waliopigwa vibuti.Hatujakaa sawa unabishana na jamaa kuhusu mgao wa umeme.Wakikutukana,unahamia jukwaa la mapicha unamsifu Kipanya.Ukitahamaki,saa kumi na nusu alfajiri unamsoma Nyerere alivyohutubia UNO.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mbona unanisema sasa
 
Back
Top Bottom