INJECTION TECHNICIAN
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 356
- 794
Ni gari aina gani mkuuHaina nguvu ya kuovertake hata ukanyage kibati hadi mwisho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni gari aina gani mkuuHaina nguvu ya kuovertake hata ukanyage kibati hadi mwisho
Carina old modelNi gari aina gani mkuu
Gari kutoa moshi mweupe, ilipinduka matairi juu, hakuna leakage kwenye engine, naambiwa oil ilingia kwenye exszost ndo mana inaunguza oil je ni sahihi?Ka Ushakutana na shida yoyote kwenye gari yako ikakutatiza share Hapa Usaidiwe
Mie ya kwangu ililala hvo hvo ila ikaanza kunisumbua inamisi hovyo na kupandisha oil kwenye plug. Ikabidi mpaka niifunge ring piston tu.Gari kutoa moshi mweupe, ilipinduka matairi juu, hakuna leakage kwenye engine, naambiwa oil ilingia kwenye exszost ndo mana inaunguza oil je ni sahihi?
Hili nalo Ni tatizo la Gari aina gani?Upo wewe ndugu. Nimekumiss
Ahsante mkuuWheel alignment ni uwekaji (setting) wa matairi katika ufanyakazi wa urari. Kama tairi haziko katika urari (alignment) ukinyoosha uskani gari itaenda kushoto au kulia. Kwa ufupi wheel alignment inahusiana na
wheel alignment inahusiana na suspension ya gari hasa sehemu zinazoshikilia tairi. Hivyo unapofanya wheel alignment tairi haiguswi.
Wheel balance inahusiana na ujazo wa tairi linapotoka kiwandani. Kama tairi halina ujazo uliyojaa kwa vipimo sawa basi litasawazishwa kwa kuongezewa baadhi ya vitu na hii ndiyo wheel balance.
Dalali za kuwa gari yako inahitaji wheel alignment ni gari kwende kushoto au kulia ili hali uskani upo katikati.
Dalili za kuwa gari yako inahitaji wheel balance ni uskani wa gari kutetemeka unapofikia speed fulani na pia tairi kuisha sehemu mmoja pia inaweza kuwa dalili.
Samahani mkuu ni gari gani kama hutojaliNikiwasha ac nitatembea baada ya muda gari itajizima, haitowaka mpaka battery icchajiwe.
Kuhusu battery nishaipima sehemu tofauti haina shida, why nikiwasha ac inajizima?
Kuna fundi alisema alibadilisha jino la altenator, na akasema alternator haina, mwingine akasema alternator haina shida.
kuna mmoja akabadilisha kifaa sikumbuki jina.
Hii ni mara nyingi mafundi washanilia hela sana.
Nimeipaki, siku ikinilazimu kutumia inabidi nisshushe vioo.
Nawaza mvua zikianza itakuwaje?
Maana mwenyewe kinanisave hatari kwenye mafuta.
Nikiwa na 10,000 nauhakika wa kwenda na kurudi.
Ila kuna jini hapa mpaka nitoke niwe na 30,000.
Fafanua vizuri ikitembea inakuwa free, yaani, gear haziingii au wewe ndiye unayehisi kama gear hazi-engage?Suzuki Escudo engine G 16 automatic transmission ikitembea inakuwa kama ipo free mafundi huku kjijini wanasema ni tatizo la gearbox utatuzi wengine wanasema nifunge gearbox nyingine wengine wanasema kuwa ndani ya gearbox huwa kuna plates za kubadili tu nipo kijijini sijui kipi ni sahihi
Mkuu angalia balance ya upepo pia. Kama moja ya tyre ina pressure kubwa kuliko nyingine hilo tatizo haliepukiki.Hii ni gari gani inatetema hivyo kama mayele?
Gari kutoa moshi mweupe hapo kuna gasket zinavuja oil inachanganyikana na mafuta. Au coolant inavuja. Au fuel injector imekufa hivo kupelekea gari kutumia mafuta mengi kwa umbali mdogo.Gari kutoa moshi mweupe, ilipinduka matairi juu, hakuna leakage kwenye engine, naambiwa oil ilingia kwenye exszost ndo mana inaunguza oil je ni sahihi?
Hadi leo hajakujibu hii😁😁😁Wewe Mbute bora ukauke uwe bhutaga sasa. Gari ile inatetemeka ikiwa Silence ikianza kutembea inatulia tuliiiii unapiga hadi 160 safi. Tatizo ikisimama tu lazima utoe kwenye D uweke kwenye P au N ndio hutosikia mtetemo lkn ikiwa imesimama ikawa engaged kwenye D ni kasheshe
System ya umeme ina shida na prolly alternator. Vua hio kitu weka ingine utakuja kunishukuru. Najua laki na 80 inakuuma ila lipa hio hela weka alternator ingine. Umeme ukiwa hautoshi au unafuliwa chini ya kiwango ndio shida kama hizo hujitokeza provided battery sio chakavu.
Hahahahah mkuu gari inatetemeka ana hakika bearing ziko sawa pamoja na mountings? Kama viko byee basi afanye mpango wa wheel balance. Isipofaa hapo acheki mfumo mzima wa uchomaji kuanzia air filter, fuel filter, nozzle, oxygen sensor, plugs n.k.Gari la bro wangu likiwa kwenye speed linatetemeka amelipeleka kwa mafundi tofauti but wote wamechemka wa mwisho alimuambia achange tire kachange lakini tatizo bado lipo, shauri chochote mkuu.