Umeshakutana na shida gani kwenye gari lako upewe suluhisho?

Mounting hizo πŸ˜€
 

Shukran mkuu
 
Aina ya gari ni toyota porte...
Mtumiaji alikua haridhishwi na ulaji wa mafuta, likabadilishwa plug lkn tatizo halikuisha. Baadae fundi akasema amegundua kuwa gari limetolewa masega, mwenye gari akanunulishwa kibuyu cha masega ni kikachomewa. Matokeo yake mwenye gari anasema imeongeza km kama 3 hivi kwenye lita moja ya wese. Lkn sasa kuna tatizo jingine limejitokeza...
Kwanza hili gari used ya tanzania. Kabla ya kuchomewa hicho kibuyu cha masega gari lilikua limetulia sana halina kelele lkn siku hizi gari lina kelele sana ukiliwasha, kuna kama kamlio fulani cha kugonga hivi. Lakini pia gari linatetemeka hasa ukiweka gia, haya yote hayakuwepo mwanzo. Naomba msaada
 
Uskan kutetemeka.
Mara Engine Mounting ... hola.
Mara plugs ... hola.
Mara alignment .. hola.
Mara plug wire ... hola.
Kitu kipo bandani kimepaki.
Au tairi moja ina ka uvimbe somewhere, try to check that
 
Au tairi moja ina ka uvimbe somewhere, try to check that

Ishawahi kunitokea miaka nyuma kidogo

Gari ndogo ikuwa inatetemeka usukani

Nlifanya kila kitu lakini wapi

Ila siku nliyobadili tairi nkakuta kiuvimbe

Na ndo ulikuwa mwisho wa tatizo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nibadilishe alternator?
Sasa 180,000 na January hii naitoa wapi mie?
Usiishi kwa kuclamisha kwani January inahusiana nini na wewe kukosa 180K.

Wewe save pesa ukanunue. Ilibidi kopa.
 
IST UKIWEKA TU D UNANZE KUONDOKA INASHTUKA NAKULIA 'KUUU" shida itakuwa ni nini ?
 
[emoji16][emoji16] , ndio
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jini hilooo...linakunywaa mafutaa!

Tatizo la gari kuwa nzito ukiwasha AC yani hata speed inachelewa kuchanganyaa.. shida ni nini???
Pia nauliza mtu anaweza kurepair sensor za milango na belts???
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jini hilooo...linakunywaa mafutaa!

Tatizo la gari kuwa nzito ukiwasha AC yani hata speed inachelewa kuchanganyaa.. shida ni nini???
Pia nauliza mtu anaweza kurepair sensor za milango na belts???
Daaah, kwahiyo si tunaendesha majini, kweli jamani?!
 
Mercedes benz c class w204 yenye M271 engine ina ulaji mbaya wa mafuta (high fuel consumption), inakula kati 6.5-7.2km/litre mjini.

Nimefanya au kucheki vifuatavyo:
[emoji736]Diagnosis (hakuna error au tatizo limeonekana kwenye engine au gearbox au components zinazoendana na hiyo mifumo, hata values ziko poa)
[emoji736]Service (engine oil, filter, air filter, ac filter)
[emoji736]Plugs zimebadilishwa
[emoji736]Alignment, tyre pressure pia iko sawa

[emoji777]alternator pulley haiko sawa ni ya kubadili ila bado haijabadilishwa (sina hakika kama hii ni sababu au la!)

Sijagusa oxygen sensor wala MAF sensor sababu mashine haijasoma chochote ila forums huko mbele kuna mtu alisema ilileta mabadiliko makubwa baada ya kubadili MAF sensor.

Msaada please kwa mtu mwenye idea au uzoefu wa kitu kama hiki kabla sijachokonoa gari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…