The mission 2017
JF-Expert Member
- Aug 14, 2017
- 1,748
- 3,229
Mimi hua sidai hata kidogo, hata kuumia kua nilimpa kitu fulani siwezi.
Na vinakuaga na msaada sana pale ninapo taka kupasha makabichi 😄, me be like hivi ile saa haijachakaa tu, umefika wakati tununue nyingine dear x 😄
Anya way hii sio kwa kila X, kuna wale ma x exceptional ni basi tu tuliachanaga
Na vinakuaga na msaada sana pale ninapo taka kupasha makabichi 😄, me be like hivi ile saa haijachakaa tu, umefika wakati tununue nyingine dear x 😄
Anya way hii sio kwa kila X, kuna wale ma x exceptional ni basi tu tuliachanaga