Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndio maana halisi ya 'Ubaya Ubwela'.Mwanaume ambae ukiachana nae anakwambia nirudishie vitu vyangu vyote nilivyokununulia 😂 utasema alikununulia vitu vya mamilioni kumbe ulikua unamvumilia tu na umasikini wake.
Alafu vitu alivyokununulia unaweza kumlipa ata mara 10 yake.
unaandika vitu vya kusisimuasisimua mishipaKama mlisex mwambie afanye juu chini azitoe mbegu alizokumwagia ndo urudishe hicho anachokidai
Binafsi nitakudai hata penzi nililokupa enzi za uhai wetuMwanaume ambae ukiachana nae anakwambia nirudishie vitu vyangu vyote nilivyokununulia 😂 utasema alikununulia vitu vya mamilioni kumbe ulikua unamvumilia tu na umasikini wake.
Alafu vitu alivyokununulia unaweza kumlipa ata mara 10 yake.
Asante kwa taarifaUsirudishe kilichoenda kwa mganga hakirudi!
poleMwanaume ambae ukiachana nae anakwambia nirudishie vitu vyangu vyote nilivyokununulia 😂 utasema alikununulia vitu vya mamilioni kumbe ulikua unamvumilia tu na umasikini wake.
Alafu vitu alivyokununulia unaweza kumlipa ata mara 10 yake.
Unavyosema unamvumilia , unamaanisha nin? na kwanini umvumilie?, kwamba unataka kusema hana hadhi ya kuwa na wewe unampa favour tuu 🤔, Na kama hana hiyo hadhi kwanini wenye hadhi yako hawakufuati?Mwanaume ambae ukiachana nae anakwambia nirudishie vitu vyangu vyote nilivyokununulia 😂 utasema alikununulia vitu vya mamilioni kumbe ulikua unamvumilia tu na umasikini wake.
Alafu vitu alivyokununulia unaweza kumlipa ata mara 10 yake.
Bas ndo utalipa sasa🤒Sijawai kumruhusu animwagie mtu mwenyewe hana hela ya nini animwagie anitie gundu!
Acha hizoooo lo
Ningekuwa mie ningekichana chana ndo nikakupa. 🤣🤣Jana hapa nimetoka kuchukua chandarua nilichomnunulia X wangu,ni baada ya kuzinguana
🤣🤣🤣 Baba Mchungaji umefanya nimecheka. Lol.Kuna ID zingine hua zinaandika nyuzi tatanishi sana aisee....😜
Kwani weni Me au Ke...🤔
Kipindi hiki jf inapitia wakati mgumu sana mama mchungaji...🤣🤣🤣🤣 Baba Mchungaji umefanya nimecheka. Lol.
Mi mwenyewe nimetatanishika sababu siku zote nikionaga hiyo Id najuaga huwa ni Me.
Hahahaa. Twende nayo tu hivyo hivyo Baba Mchungaji tutafika. 🤣🤣Kipindi hiki jf inapitia wakati mgumu sana mama mchungaji...🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] em leta Mr Vochaa hiyo invoiceNakuletea invoice
Ningekujazia watylu,nikikasirika nakuwa wa bluuNingekuwa mie ningekichana chana ndo nikakupa. 🤣🤣