Umeshawahi ku date na mwanaume wa hivi?

Umeshawahi ku date na mwanaume wa hivi?

Mwanaume ambae ukiachana nae anakwambia nirudishie vitu vyangu vyote nilivyokununulia 😂 utasema alikununulia vitu vya mamilioni kumbe ulikua unamvumilia tu na umasikini wake.
Alafu vitu alivyokununulia unaweza kumlipa ata mara 10 yake.
Kumbe mnagegedwagwa na wanaume maskini 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kama ni vya maskini we rudisha ili ww tajiri ubaki na utajiri wako sipendagi kbs watu wa namna yako hivi kwani mkiachana na mtu akaomba vitu alivyokupa ni dhambi si urudishe kisha ukae kimya tu ajabu wakati anakupa ulikuwa unamsifia ni mwamba leo mmesigana anavitaka unadai ni maskini tu ulikuwa unamvumilia pengne hata yeye alikuwa anakuvumilia tu na ww una yako acha gubu rudidha mali za mwenzio uende zako.
 
Kama ni vya maskini we rudisha ili ww tajiri ubaki na utajiri wako sipendagi kbs watu wa namna yako hivi kwani mkiachana na mtu akaomba vitu alivyokupa ni dhambi si urudishe kisha ukae kimya tu ajabu wakati anakupa ulikuwa unamsifia ni mwamba leo mmesigana anavitaka unadai ni maskini tu ulikuwa unamvumilia pengne hata yeye alikuwa anakuvumilia tu na ww una yako acha gubu rudidha mali za mwenzio uende zako.
Hahaha, kama mtu hajiwezi,na hilo alilijua,alimganda wa nini? Ya nini apokee huku anajua anapewa pengine vya wizi? Hapo ni kujifaliji tu. Pengine huenda amekomba kila kitu,ndani kweupe. Na godolo na kitanda ukute mshikaji kabeba. Si pengine alikuwa na funguo au kapewa apumzike? Mwenzie kaenda kwa madanga yake, jama nae kavuta Kiriku na kuhamisha vyake,anarudi anakuta michupi tu inaning'inia kwenye hanger, na ni ile ilochanika chanika,alizonunua jama kabeba. Atajua cha kuzifanyia mbele ya safari.
 
Mwanaume ambae ukiachana nae anakwambia nirudishie vitu vyangu vyote nilivyokununulia 😂 utasema alikununulia vitu vya mamilioni kumbe ulikua unamvumilia tu na umasikini wake.
Alafu vitu alivyokununulia unaweza kumlipa ata mara 10 yake.
Hukuwa una mvumilia kwa umaskini wake! He was the best you could have 🤣🤣. Wanawake hawadate na mwanaume kisa kamuonea huruma, kungekuwa kuna better guy kumdhid ungesem yes kwa huyo bettter dude.
 
Rejesha vitu nongwa z nn? Kama rahidi ivyo jinunulie ww.






KAZI ni kipimo cha UTU
 
Mwanaume ambae ukiachana nae anakwambia nirudishie vitu vyangu vyote nilivyokununulia 😂 utasema alikununulia vitu vya mamilioni kumbe ulikua unamvumilia tu na umasikini wake.
Alafu vitu alivyokununulia unaweza kumlipa ata mara 10 yake.
Umeshampiga chini vitu vyake unataka vya nini sasa, yeye kakununulia kwa sababu anajua upo committed kwake......
 
Kama unaona Ni ngumu basi fanyeni hivi; Yeye aanze kukurudishia vitu ulivyompa na yeye akachukue alivyokupa wewe
 
Mwanaume ambae ukiachana nae anakwambia nirudishie vitu vyangu vyote nilivyokununulia 😂 utasema alikununulia vitu vya mamilioni kumbe ulikua unamvumilia tu na umasikini wake.
Alafu vitu alivyokununulia unaweza kumlipa ata mara 10 yake.
Ni kama vitu gani alikununulia akaja kuvidai ambavyo wewe unaweza kumnunulia mara 10 yake.
 
Back
Top Bottom